Ombi kwa vijana ambao wapo katika ndoa, watoto ndio ndugu zako

Ombi kwa vijana ambao wapo katika ndoa, watoto ndio ndugu zako

Huna uvumilivu na hupendi maisha ya ushirikiano.Kwa ufupi,wewe unapenda kula "ebhitoke na ensenene" peke yako.Nchi ya ujamaa hii, remember?
Ili yanikuta kama ya MTOA POST.
kaamka saa 9 kutuletea Uzi wa mwanamke, ukute yupo nae ndani muda huu.

Muombee shetani asimpande "wakachinjana bureee"

#YNWA
 
Huo ushauri kawape animalistic wenzako, Ukristu unatufundisha Mwanamke na Mwanaume wanaungana na kuwa mwili mmoja na kuanzisha Familia iliyobarikiwa na Mungu, na namba one priority ya Mwanaume kwenye Ndoa ni Familia yake i.e Mke na Watoto, hao ndugu unaowaongelea kwani wao hawana Familia zao hadi wewe utake kuwaweka mbele ya Familia yako ?
It's ok but not very much alright!Kuwa makini.Njia ni ndefu na nyembamba.
 
It's ok but not very much alright!Kuwa makini.Njia ni ndefu na nyembamba.

Inategemea na choice zako na imani yako, hata hao ndugu wanaweza kukudhurumu na kukuzulu pia mifano iko mingi kila mahali.

Hivyo Kikristu namba one priority ya Mwanaume kwenye Ndoa ni Familia yake yaani Mke na Watoto wake na ukifanya hivyo utaona baraka na utabarikiwa pamoja na Familia yako itakuwa yenye upendo, amani na furaha, ndugu siyo Familia yako wana zao pia wajali hizo familia zao wawaweke kwanza pia wake na watoto wao kila mtu akifanya hivyo utaona matatizo yatapungua sana tu na hata mwishowe kuwa na Taifa imara na lenye upendo na hofu ya Mungu kwani kama hakuna Familia imara kwa maana ya Mke, Mume na watoto hakuna Taifa imara na ndugu ni ndugu wanabakia kuwa hivyo haujawachagua lkn siyo Familia yako, Familia Kikristu ni Mke, Mume na Watoto kama mkibarikiwa kuwa nao …
 
Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.

Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.

Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.

EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.

2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.

FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.

2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.

3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.

Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.

Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Pole sana mkuu kwa yaliyokusibu. Kwenye kikao cha wanawake tulitoa mwongozo kwamba...Kama ukipata chansi ya kumuumiza mwanaume umiza hadi mama yake tumbo la uzazi liume. Kwa sababu wanaume mna chansi nyingi za kutuumiza na huwa mnazitumia vizuri sana. Pole mnoo
 
Kila mtu ana experience yake kwenye hizi ndoa. Tuushi nao kwa akili sana wakuu.
 
Hivi mnadhani hao watu watu wa zamani walikua na mapenzi ya dhati kiasi hicho??

Mkuu nilichokuja kugundua ni kua walikua na uvumilivu wa hali ya juu sana. Wazee wetu wamelea sana watoto wasio wao. Mtoto anakuja kujua huyo sio mzee wake halisi baadae sana na labda hata mzee mwenyewe ashafariki.

Sio kua walikua waaminifu sana kama tunavyodhani ila walifichiana sana madhaifu watoto wasijue. Hilo kizazi hiki cha utandawqzi ndo hakiwezi na ndo hapo tunafeli.
 
Wewe bwana, huenda in real life ni kapole tu hakana shida na mtu. Njoo huku sasa, unatamani ukalabue makofi[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka hiyo ukalabue makofi,
Umeandika kweli lakini, mimi ni mpole sana.
 
Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.

Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.

Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.

EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.

2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.

FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.

2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.

3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.

Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.

Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Mkuu

Umejidanganya sana!!

Mwanamme hana ndugu mkuu labda mama yake tu!!

Watoto hata uwajali vipi wakiwa wakubwa watasema hakuna kama mama!!

Wanaume tunapowekeza nguvu KWA wanawake na WATOTO ni tunabet tu!!!

Ingekua hivyo wanaume sisi tusingekufa KWA presha,sukari,na sonona na wazee wa kiume wangekua wengi tambua hilo!!!

MWANAMKE ANAISHI na mwanamme KWA maigizo tu ILI alee watoto na kujenga uchumi na ndoto zikikamilika mwanamme anatengwa kisaikolojia yaani unaachwa mpweke ujifie naturally!!!


Hiki nimekiona live KWA macho yangu na KWANGU dalili naziona KABISA!!!

Wanaume wote humu Duniani hatuna chetu zaidi ya starehe tutakazofanya !!!


Chukua hiyo mkuu kwenye malezi endelea ku bet labda ubahatishe mtoto mmoja tena mara nyingi wa kike akujali labda mkuu!!

Ukweli mchungu sana HUO!!!
 
Husband Appreciation Dinner



Your circle matters. Ukiwa na mtu ana mawazo kama mleta mada unam cut off...who needs such negativity in their lives
 
Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.

Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.

Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.

EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.

2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.

FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.

2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.

3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.

Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.

Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Umesahau moja la muhimu kuliko yote,usimsahau Mungu katika kila jambo....
 
Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.

Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.

Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.

EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.

2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.

FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.

2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.

3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.

Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.

Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Si usioe tuu
 
Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.

Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.

Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.

EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.

2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.

FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.

2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.

3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.

Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.

Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.


One Man down
 
Back
Top Bottom