Ombi kwa vijana ambao wapo katika ndoa, watoto ndio ndugu zako

Ombi kwa vijana ambao wapo katika ndoa, watoto ndio ndugu zako

Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.

Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.

Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.

EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.

2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.

FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.

2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.

3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.

Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.

Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
We unajua aje kwamba watoto ni wako 100%
 
Maisha ya ndoa ni vibweka sana.Unaoa mke kwa wema tu.Huyo mke anazaa jamaa fulani wanaitwa watoto wako/wenu.Hapo bado haujapigwa changa la macho/kubambikwa.Bas,maisha yanaendelea.Lakini,huyo mke na hao jamaa zake wa kuitwa watoto,wote wanakuvizia .Wana-buy buy time watwae kila kilichotafutwa nawe na watokomee kusikojulikana.Huoni kama maisha ya ndoa ni vibweka?🙏😂😂😂😂😂
Hahaha
 
Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%.
Mkuu, hapa umekosea kidogo. Ipo hivi, zamani kuachika ilikuwa ni aibu kwa bibi zetu kwa maana mwanamke anaonekana hakulelewa vizuri huko kwao tofauti na sasa wanakwambia, I'm single and happy.

Halafu ndoa za zamani zilikuwa zinatokana na friendly families. Watu wanaoana kwa ukabila halafu wanajuana wazazi wao mpaka wifi na mashemeji, tofauti na sasa vijana wanakutana Vyuoni na Facebook.

Binti kabla hajaenda kwa mume, mama zake wanamwambia "Eliza mwanangu unaenda kwenye ukoo wa watu, tunaomba usitutie aibu huko," lakini siku hizi mwanamke anaambiwa "Ukiolewa kuwa makini sana na mawifi zako!"

Sasa kwa scenarios kama hizi unategemea ndoa za kisasa kudumu?
 
Mkuu umefika salama?
Yah. Ila nimekuja kujuwa ndoa now ni biashara na utumwa. Ila mm leo nampenda sana maa yangu ia sijui baba yangu ana hali gani uko alipo. Wanawake unatakiwa uwe nae sana kwa makini. Mm niliambiwa baba yako kakutelekeza ila now nmekuja kujuwa mama ndo alizingua. WANAWAKE NI CHOMBO CHA STAREHE TU AKUNA KUWAONEA HURUMA TENA
 
Ili yanikuta kama ya MTOA POST.
kaamka saa 9 kutuletea Uzi wa mwanamke, ukute yupo nae ndani muda huu.

Muombee shetani asimpande "wakachinjana bureee"

#YNWA
Siwezi kufika huku bado kuna watu wananitaji. Siwezi kuwa mpuuzi kiasi hicho. Anaenda kwao na mm naendelea na maisha yangu 😂😂😂😂😂
 
Mkuu, hapa umekosea kidogo. Ipo hivi, zamani kuachika ilikuwa ni aibu kwa bibi zetu kwa maana mwanamke anaonekana hakulelewa vizuri huko kwao tofauti na sasa wanakwambia, I'm single and happy.

Halafu ndoa za zamani zilikuwa zinatokana na friendly families. Watu wanaoana kwa ukabila halafu wanajuana wazazi wao mpaka wifi na mashemeji, tofauti na sasa vijana wanakutana Vyuoni na Facebook.

Binti kabla hajaenda kwa mume, mama zake wanamwambia "Eliza mwanangu unaenda kwenye ukoo wa watu, tunaomba usitutie aibu huko," lakini siku hizi mwanamke anaambiwa "Ukiolewa kuwa makini sana na mawifi zako!"

Sasa kwa scenarios kama hizi unategemea ndoa za kisasa kudumu?
😂😂 ndo kizazi cha sasa hicho chapa ilale tu
 
It's ok but not very much alright!Kuwa makini.Njia ni ndefu na nyembamba.
Ajakutana na kitu kizito uyo. Mke au demu wake maraika. Ajachapiwa bado uyo. Atakuja kuukumbuka huu uzi na kkuanza kujielezea humu
 
Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujipenda wenyewe.

Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizozipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizotuzunguka. Maana vitu vingi vinajirudia sana, imekuwa sasa ndio maisha yenyewe hayo.

Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaa navyo mbali na fanya mambo haya;

EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.

2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama huwezi tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma, furahia uwepo wako duniani, asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.

FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako na watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.

2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena, mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.

3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya siri, usimwambie kila kitu unachofanya.

Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nimeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta bikra una asilimia 60% tu.

Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndio mana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndoa zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaoa na mimi nataka kuowa.

Jipende sana mwenyewe maana ndio maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata muda wa kustarehe fanya starehe na ukipata muda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako, nasisitiza.
Ahsante Sana Rafiki, Nasaha zako ni mzuri nazitunza ktk diary ili nisizisahau.
 
Mkuu ishi maisha yako NDOA ni tamu sana japo ina hekaheka ,

Namba 2 kule kwenye kuepuka
Ni hivi

Mwanamke akikusalit kamwe hupaswi kumsamehe hata kidogo.

Una move on then unaendelea kuchenjua huko nje
 
Yah. Ila nimekuja kujuwa ndoa now ni biashara na utumwa. Ila mm leo nampenda sana maa yangu ia sijui baba yangu ana hali gani uko alipo. Wanawake unatakiwa uwe nae sana kwa makini. Mm niliambiwa baba yako kakutelekeza ila now nmekuja kujuwa mama ndo alizingua. WANAWAKE NI CHOMBO CHA STAREHE TU AKUNA KUWAONEA HURUMA TENA
Umeshamsamehe mzee wako?
 
Back
Top Bottom