Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Ili yanikuta kama ya MTOA POST.Huna uvumilivu na hupendi maisha ya ushirikiano.Kwa ufupi,wewe unapenda kula "ebhitoke na ensenene" peke yako.Nchi ya ujamaa hii, remember?
Dah! That's so horrible!π€Mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa kwa asilimia mia. Naombeni ushauri
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo, Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu. Mnamo Mwaka 2015 Nilikutana na binti wa kimakonde wakati nipo nmepata kazi yangu ya kwanza kwa wahindi, kama Full Stack Developer maana nilisoma...www.jamiiforums.com
It's ok but not very much alright!Kuwa makini.Njia ni ndefu na nyembamba.Huo ushauri kawape animalistic wenzako, Ukristu unatufundisha Mwanamke na Mwanaume wanaungana na kuwa mwili mmoja na kuanzisha Familia iliyobarikiwa na Mungu, na namba one priority ya Mwanaume kwenye Ndoa ni Familia yake i.e Mke na Watoto, hao ndugu unaowaongelea kwani wao hawana Familia zao hadi wewe utake kuwaweka mbele ya Familia yako ?
Iweni na huruma!Ili umuelewe mapito yake,soma post # 19 utabaki umeduwaa!Ili yanikuta kama ya MTOA POST.
kaamka saa 9 kutuletea Uzi wa mwanamke, ukute yupo nae ndani muda huu.
Muombee shetani asimpande "wakachinjana bureee"
#YNWA
AseeeeePole kwa yaliyokusibu, naona hujalala kabisa,
Huyo Mwanamke aliyeuvunja vunja moyo wako nampa cheers [emoji1635]
Aluta continua.
It's ok but not very much alright!Kuwa makini.Njia ni ndefu na nyembamba.
Pole sana mkuu kwa yaliyokusibu. Kwenye kikao cha wanawake tulitoa mwongozo kwamba...Kama ukipata chansi ya kumuumiza mwanaume umiza hadi mama yake tumbo la uzazi liume. Kwa sababu wanaume mna chansi nyingi za kutuumiza na huwa mnazitumia vizuri sana. Pole mnooHabari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.
Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.
Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.
EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.
2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.
FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.
2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.
3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.
Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.
Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Wewe bwana, huenda in real life ni kapole tu hakana shida na mtu. Njoo huku sasa, unatamani ukalabue makofiπ€£π€£Pole kwa yaliyokusibu, naona hujalala kabisa,
Huyo Mwanamke aliyeuvunja vunja moyo wako nampa cheers [emoji1635]
Aluta continua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka hiyo ukalabue makofi,Wewe bwana, huenda in real life ni kapole tu hakana shida na mtu. Njoo huku sasa, unatamani ukalabue makofi[emoji1787][emoji1787]
MkuuHabari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.
Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.
Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.
EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.
2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.
FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.
2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.
3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.
Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.
Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Umesahau moja la muhimu kuliko yote,usimsahau Mungu katika kila jambo....Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.
Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.
Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.
EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.
2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.
FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.
2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.
3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.
Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.
Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Si usioe tuuHabari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.
Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.
Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.
EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.
2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.
FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.
2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.
3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.
Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.
Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.
Habari JF: Natumaini ni wazima wa afya na mchaka mchaka unaendelea wa kutafuta maisha na amani ya moyo, msisahau pia na kujioenda wenyewe.
Nilikuwa na mawazo au ushauri kidogo kutokana na changamoto nilizo zipitia mimi na zengine tunaziona kwa ndugu zetu au familia zilizo tuzunguka, Maana vitu vingi vinajirudia sana imekuwa sasa ndo maisha yenyewe hayo.
Kama upo katika ndoa epuka vitu vifuatavyo, kaanavyo mbali na fanya mambo haya.
EPUKA
1. Kama mke wako anakupenda, anakueshimu, anakusikiliza hata kwa kukuongopea au kukuzuga na kuna amani ndani katika nyumba usimfuatilie au usimchunguze.
2. Ukiona amekucheat au ana mtu nje, Kama unaweza kuachana nae au unaweza kumsamehe. Fanya maamuzi hapo au kama uwezi. Tafuta na wewe mtu wa nje uenjoy maisha yako. Maana maisha hayarudi tena nyuma furahia uwepo wako duniani asikufanye ukawa na mawazo na mtoto wa mtu kisa mapenzi. Usikubali mtu akukoseshe amani katika maisha yako.
FANYA HIVI
1. Fanya kazi kwa nguvu zote na penda sana familia yako na ndugu zako, watoto wako maana ndio ndugu zako wa kweli.
2. Mwanamke sio ndugu yako, ndugu zako ni watoto wako. Nasisitiza tena. Mwanamke sio ndugu yako, mwanamke hatosheki. Utampa kila kitu mwisho wa siku atakufanyia jambo ambalo hutoamini katika maisha yako. Mwanamke ni chombo cha starehe tu. Tena usije kumuonea huruma hata chembe.
3. Sio kila kitu unamwambia, jitahidi baadhi ya mambo unamwambia na baadhi fanya sili, usimwambie kila kitu unachofanya.
Tuendelee:
Nimekutana na vitu vingi sana na vengine nimeonana navyo na vengine nmeona kwa marafiki na vengine vimenitokea mimi mwenyewe. Kama mwanamke haujamkuta na bikra, una asilimia 60% tu. Mama zetu zamani walikuwa wanachaguliwa wanaume na wanakuwa wanaume wa kwanza kwao ndomana mpaka kesho wanakuwa pamoja 100%. Ndo zimekuwa sasa kama sehemu ya kufichia watu maovu yao au umri umeenda kachoka kukaa nyumbani au rafiki yangu kaolewa au kaowa na mimi nataka kuowa.
Jipende sana mwenyewe maana ndo maisha yako, ukipata mda wa kufurahi furahi na ukipata mda wa kustarehe fanya starehe na ukipata mda wa kutulia tulia. Penda sana kufanya mazoezi na kujali mwili wako nasisitiza.