Acha uongo na ujinga wewe,Acha ubaguzi kwa misingi ya aina yoyote Ile,Hakuna wa kuuza Taifa letu Wala Rasilimali zetu zilizopo ndani ya ardhi yetu kwa maslahi yake binafsi.mali na Rasilimali zetu za asili zipo katika mikono salama ya mzalendo wa kweli na aliyetukuka kiuadilifu mh Dr mama Samia suluhu Hassani,ndio maana watanzania Ni wenye utulivu , uvumilivu na subira kwa kuwa Wana Imani kubwa Sana na Rais wetu.