Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo bora kama huo uwanja!!Je kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
Je kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
💯 kwa 💯Naunga hoja mkono
Inaitwa legacy ya kufa kufaana 😂😂😂Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.
Kidumu CCM
#matege
Usisahau na dagaa tena kwenye lami zinakauka vizuri Sana bila mchanga.Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.
Kidumu CCM
#matege
Dharau ipi naunga mkono hoja Ili nyasi zisiote tukapata hasara kama ule wa gaboriteHiyo ni dharau kubwa watanzania,dharau kubwa kwa walipa kodi
Hayo ni matumizi mbadala ya usikuHata mkitaka kujamiiana usiku ni RUKSA.
Mwenye picha atuwekee huo uwanja hapa.
Fursa tele we njoo sehemu ya kuanikia ipoUkiachana na hilo,naomba kujuzwa fursa za kiuchumi zilizoko hapo Chato.Hivi karibuni nitahamishiwa huko kikazi.
Huku niliko nilikuwa najishughulisha sana na kilimo cha karanga,mahindi na ufuta. Sasa huko Chato mmetaja panalimwa mahindi,mpunga na mihogo kwa wingi.Je,ni kata zipi zinafanya vyema kwenye kilimo cha mazao hayo? Na je,ardhi inaweza kuniruhusu kuendeleza kilimo cha karanga na ufuta huko?
Ujamuelewa mtoa mada ule uwanja ukiachwa hivi hivi utaharibika kwa nyasi nk.Wananchi wakipewa kuanikia mazao watausafisha na watautunza hadi ikifika muda wa kutumika tenaNaona historia inajirudia! Huenda wewe mleta mada ni kijana uliyezaliwa awamu ya Mkapa! Kama umekula chumvi kidogo, utajua kwamba historia hujirudia, ulipojengwa KIA (Kilimanjaro International Airport) ulipomalizika, ulikosa ndege maana EMBAKASI ya Nairobi ndiyo ilikuwa inajulikana/inavuma. Lawama nyingi sana na kashfa kemkem /kejeri zilitolewa kwamba serikali imekurupuka kujenga KIA! Enzi hizo watalii wa mbuga na vivutio vyetu walikuwa wanatua Nairobi/EMBAKASI! Safari zinapangwa kuanzia huko, Hata mlima Kilimanjaro ilikuwa unapandiwa upande wa Kenya!
To cut a long story short, sasa hivi KIA Inafanya vizuri Sana.
Kwa hiyo subiri kidogo Chato itatoboa,usikejeri
Mpala leo hii kwa wakazi wa kuanzia nzega mpaka tinde nao hufanya hivyo hivyo 😀Umenikumbusha miaka ya 2004, 2005, 2006 Maeneo ya Maseyu na vijiji fulani kabla ya kufika Morogoro ukitokea Dar walikuwa wanaanika mazao yao kandokando ya highway ya Dar - Moro (nje ya ule mchirizi wa njano)
Senge unataka kuanika matako?laana ya mungu itakufikia ulipo pumbavuSasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.
Kidumu CCM
#matege
Mchawi tindikali.....Mara Paap Jiwe anafufuka
walianika majumbani, ila tatizo mazao yalichanganyika na vijiwe/mchanga.Kuanika pale airport kero ya michanga kwenye mpunga ndio basi tena. Nadhani umeelewa.Mfano mzuri wa resource sharing- with proper schedulling mukulima anafaidi ,msafiri anafaidi.Je kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
Siyo mbaya sirkali ingewatoza angalau 200/=@mkulima kwa siku itapata mapato kuliko kukaa bila kazi ya kutua ndegeSasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.
Kidumu CCM
#matege