Ommy Dimpoz amkana baba yake

Ommy Dimpoz amkana baba yake

Sema watu utazama zaidi negativity, hivi kwa mfano mzazi alikutelekeza then ukalazimika ukapambana na hadi ukatoboa kwa hasira, Mimi binafsi kama positive man lazima nikurespect mzazi kwamba kunitelekeza kwako ndipo kumenifanya nifanikiwe, maana ungenilea vyema nisingekaza ningekuwa labda bodaboda, dereva au muajiriwa fulani masikini hivi.
So dimpos, diamond, Elon musk, luck dube wawashukuru baba zao kutokuwa karibu nao kumewafanya watoboe.
Tafadhali badilisha usemi wako,inamaana sisi madereva bodaboda hatuna maana si ndio...!
 
Na Mimi sijawahi kusikia mzazi akaenda kumng'ang'ania ubaba au umama kwa mtoto teja

Ommy mama yake kafariki akiwa la pili huko, ina maana hizo sumu alilishwa wapi

Kama alimtafuta mzee na kumpata na bado akaonesha kwamba watoto aliozaa nje kwake ni extra tu, ulitaka jamaa afanyaje

Nina wasiwasi kama hata umelelewa malezi ya single parenting let alone kumuona hata mtu wako wa karibu kapitia. Ungefuta haya maneno

Naomba kueleweshwa...Ommy kasema ana wadogo zake wawili ...Huyu Mzee aliwatelekeza wote ...je hao wawili wote Baba Yao huyu Mzee?

Aliwatelekeza wote watatu?how?...
 
Wanawake ni Wangese tu, Kuanzia Hawa mpaka wale.
Mwanaumwe mwenue akili timamu huwez kumtupa Mzee wako kwa Visa vyake na Mkewe(Mamaako)
Wanawake wana maudhi na ni wanafiki sana watakupotosha leo lakini badae utajuta sanaaa utamlilia saana Baba yako akiwa amekwisha tangulia mbele za haki.

Huwa nashauri sana Msamaha upite kwa haraka hasa kati ya wanafamilia pind mmoja anapojirudi bila kujali ukubwa wa kosa lake na maumivu aliyosababisha kwa Maana damu yake ni sehemu ya wanafamilia. Siku akipotea lazima familia itikisike japo hakuonekana wa thaman alipokua hai.
Aga namsubir Boya Diamond siku atakapopanua domo misri ya Simba aliekumbwa na Majanga.
Mkuu inaonekana upo biased,

Ingawa ommy anachofanya binafsi naona siyo sahihi, lakini at least tuwe balanced na kuheshimu uamuzi wake.

Ommy alichosema baada ya mama yake kufariki, mzee alimkatia line na hakutaka kubeba jukumu la malezi, sasa hapa mwanamke anahusikaje?
 
Kuna mambo mengine wanawake wanayatengeneza wenyewe mimi mwanangu sijawahi hata mgusa zaidi ya kupewa picha mbili tatu tena kwa mbinde sana, mama yake ni kiburi tuu kimemjaa kisa kwao uwezo upo mtu anakaa kibaha anataka kuandikisha clinic lugalo nikahoji huko kibaha hakuna hospitali??

Akajibu ooh kugalo hospitali tunayoitumia familia nikamwambia huoni kwamba utajitesa na mambo ya nauli akadai atapelekwa na mamaake mdogo usafiri upo nikatulia nisikilizie siku ya clinic sasa anataka nauli sijui sasa hapo nilimpaga hela ya vifaa ili akiamua kwenda mambo yakae sawa siku ya kwenda anataka nauli hela ya clinic vifaa ile anadai alikula so jumla 270k kila kitu nikamwambia sina hela iyo nilichukia sana.

Ila ni kama ilikuwa sababu akaniambia namchukulia kama ana njaa sana basi nitulize nione kama ataniomba tena, akanilia buyu nikajua labda hasira za mimba mwee ndo ikawa ntolee iyo..nikimwambia nikutumie hela za kujikimu anadai Bi mkubwa wake kashalipa hana shida mapaka anajifungua ni kuchuniwa.. mwenyewe nikaona nibalansi shobo tu..
Mkuu kwa muda huu jipange dogo akianza shule komaa wewe ndio ulipe ada kwa namna yoyote ile.Ukikwepa na hapo huyo mtoto umemkosa.
 
kuna huyu halafu kuna na yule mwingine wa tandale[emoji1][emoji1]

yaani hawa pamoja na kutoboa maisha kwa hatua fulani bado roho zao zimejaa magadi.

mimi ninavyojua tajiri hana kisirani,hawa ndugu zetu bado hali ni tia maji tia maji.
 
Tatizo la wazazi wanashirikisha watoto na kuwajaza sumu
Hapo mtoto lazima aende kwa baba na kutafuta ukweli huku akijua atakutana na maneno ya ukweli kuhusu mama yake


Wengi wa kina mama huwa wanajikosha kwa watoto pindi wanapovuruga ndoa zao (sio wote)
Unakuta mama anaongea na watoto na kusema baba kawatupa kumbe yeye ndio alichepuka, Baba kuona hivyo kakimbia kwa aibu ila kesi inamuangukia yeye

Kana mama mbona hamsemi ukweli yanapotokea ya kutokea?
Inaweza kuwa sababu nyingi nyingine ila kuachana au mmoja kuondoka lazima kuwepo na kitu kilichomsukuma kuondoka nyumbani
Ila watoto mnapokuwa waulizeni wazazi ukweli badala ya kumkataa mzazi kisa umepata maisha mazuri

Na wazee waache kujipendekeza au kulalamika bali waseme ukweli mtupu hata kama ni mchungu
Sawa mama alizingua, alipokufa jee alishindwa hata kutokea mara moja moja kinafki? [emoji849] wanaume bana basi na sisi kina mama mkizingua tukatupe hawa viumbe.. Me naona ommy yuko Sawa kabisa iwe mama ndo ana makosa au baba yeye haimuhusu, sasa watu hamna connection yeyote unapata wap nguvu za kujishobokesha. Huyu baba apambane na hali yake ahesabu kama alipiga puchu bao la ommy
 
Mkuu inaonekana upo biased,

Ingawa ommy anachofanya binafsi naona siyo sahihi, lakini at least tuwe balanced na kuheshimu uamuzi wake.

Ommy alichosema baada ya mama yake kufariki, mzee alimkatia line na hakutaka kubeba jukumu la malezi, sasa hapa mwanamke anahusikaje?
We unajua Mama ake Ommy alimuumiza kias gan huyo mzee kias cha kuamua kutengana nae? Au unajua familia ya Mwanamke ilimtreat vipi Baba ake Ommy kipind cha uhai wa bint yao? Ukiamua kuhukun kwa hoja za ya kale basi tafuta kujua vzuri kuhusu pande zote mbili.
 
Sema watu utazama zaidi negativity, hivi kwa mfano mzazi alikutelekeza then ukalazimika ukapambana na hadi ukatoboa kwa hasira, Mimi binafsi kama positive man lazima nikurespect mzazi kwamba kunitelekeza kwako ndipo kumenifanya nifanikiwe, maana ungenilea vyema nisingekaza ningekuwa labda bodaboda, dereva au muajiriwa fulani masikini hivi.
So dimpos, diamond, Elon musk, luck dube wawashukuru baba zao kutokuwa karibu nao kumewafanya watoboe.
Umshawahi fanya utafiti kujua watoto wangapi waliotelekezwa walitoboa maisha baada ya Ku_hussle na wangapi walifeli kabisa!? Unaonaje na wewe uwatelekeze wanao ili watoboe!?
 
kuna huyu halafu kuna na yule mwingine wa tandale[emoji1][emoji1]

yaani hawa pamoja na kutoboa maisha kwa hatua fulani bado roho zao zimejaa magadi.

mimi ninavyojua tajiri hana kisirani,hawa ndugu zetu bado hali ni tia maji tia maji.
Seriouz, Aliefanikiwa anakunjua moyo kila angle ili furaha iingie. Ukiona mtu ana kinyongo basi hali mbaya anaogopa Mizigo[emoji1787]
 
Umshawahi fanya utafiti kujua watoto wangapi waliotelekezwa walitoboa maisha baada ya Ku_hussle na wangapi walifeli kabisa!? Unaonaje na wewe uwatelekeze wanao ili watoboe!?
Siwezi telekeza damu yangu katu,thus niliamua kutozaa hovyo kama dume la nyani.
 
Naomba kueleweshwa...Ommy kasema ana wadogo zake wawili ...Huyu Mzee aliwatelekeza wote ...je hao wawili wote Baba Yao huyu Mzee?

Aliwatelekeza wote watatu?how?...
Kuna sehemu anasema huyo mshua alikuwa wa kufikia.... Pengine hao madogo wawili wengine walikuwa ni hivohivo pia ndiyo maana mzee akawa-delete tu
 
Naomba kueleweshwa...Ommy kasema ana wadogo zake wawili ...Huyu Mzee aliwatelekeza wote ...je hao wawili wote Baba Yao huyu Mzee?

Aliwatelekeza wote watatu?how?...

Labda kama mama yake alizaa watoto wengine na mwanaume mwingine maana jamaa ni wa 14 kwa mzee wake na last born wa 15 mzee ni kama nae hakuwa na habari nae
 
Wanaume tusiwatelekeza watoto japo wanawake ni mabingwa wa kuwalisha sumu anaweza akakuwekea block ya kuonana na mtoto ugomvi wenu wao ukosea uwashirikisha watoto.
Wanawake kwa figisu za kumbania mtu asiweze kumuona mtoto wake huwa hawajambo.
 
Ya Ngoswe.... kuna Ommy Dimpoz, kuna Mond... na kuna Tupac
Msikie Tupac nae alivochefukwa kwenye DEAR MAMA na wala hakuficha hasira zake kwa Babake:
"No love from my daddy, 'cause the coward wasn't there
He passed away and I didn't cry, 'cause my anger
Wouldn't let me feel for a stranger
They say I'm wrong and I'm heartless, but all along

I was lookin' for a father, he was gone...
Soma kwa makini hiyo mistari miwili niliyoBold.... ndicho kinachomsibu Ommy Dimpoz
[emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom