Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Leo nipo free. Nimeona wadau wamekutolea uvivu. Kaza makalio. Unamwoneaje wivu mwanaume?olewa na wewe basi. Yaani huoni aibu kuja kujadili maisha ya watu hapa JF? Unataka wote wawe mafukara kama wewe na roho za wivu na chuki? Ndo maana mnaolewa sana siku hizi. Hadi wanawake wamekuchana umejawa aibu ulidhani umeandika jambo la maana. Sisi wanaume tumeshangaa sana. Na wanawake nao wamekushangaa. Unataka huyo jamaa akuoe? 😳[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji2380] shoga wa jf kaibuka ulikuwa wapi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]kama unaamini hyo story uliyoiweka hapa , basi bado unasafari ndefu ya maisha , hyo kampuni ipo wapi ??? Imeajiri kina nani wengine ??? Na je kufanya matanagazo ya gsm tu ndo yanampa hela ile...kwani design hii ya fikra mbona CCM isituone vilaza kama taifaIla watanzainia tunamajungu sana na sasa watu hawajui ila wameshampakazia kila aina ya kashfa..
Kifupi huyo jamaa anakampuni ya kutengeneza matangazo na anapewa tenda na makampuni makubwa kama gsm unavyoona matangazo yote ya gsm na picha na video za billboards zilizosambaa mjini hapa ni kampuni ya ommy ndio inasimamia na ameajiri vijana wenye degree zao kwa hiyo anatengeneza pesaaa ndefu sana kupitia kampuni yake.
Huyu shoga unafanya nn humu [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706].Huyu nilidhani ni mwanaume niliposoma hii nikajua ndo wale wale. Ana wivu nimeshangaa wewe mwanamke umeonesha ukomavu mkubwa bila wivu but jamaa huyu topetope anaona wivu mwanaume kuwa na maisha mazuri. Inashangaza sana. Mumwite mkae naye chini mmwambie kama vipi akaolewe na mtu mwenye pesa. Sisi wanaume hatuwezi pata muda wa kujadili watu hivi. Mumseme mwenzenu aache kujadili maisha ya watu na kuwaonea wivu.
Bora umemuhoji wewe[emoji23][emoji23]kama unaamini hyo story uliyoiweka hapa , basi bado unasafari ndefu ya maisha , hyo kampuni ipo wapi ??? Imeajiri kina nani wengine ??? Na je kufanya matanagazo ya gsm tu ndo yanampa hela ile...kwani design hii ya fikra mbona CCM isituone vilaza kama taifa
Nitajadili had ya mama ako mzazi ukichezaa huu uchiz umepata kwenye kutinduliwa siyoLeo nipo free. Nimeona wadau wamekutolea uvivu. Kaza makalio. Unamwoneaje wivu mwanaume?olewa na wewe basi. Yaani huoni aibu kuja kujadili maisha ya watu hapa JF? Unataka wote wawe mafukara kama wewe na roho za wivu na chuki? Ndo maana mnaolewa sana siku hizi. Hadi wanawake wamekuchana umejawa aibu ulidhani umeandika jambo la maana. Sisi wanaume tumeshangaa sana. Na wanawake nao wamekushangaa. Unataka huyo jamaa akuoe? [emoji15]
Duh!Wenzenu wameona maisha magumu wameamua kuuza Utu wao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeurudisha Uzi wanting on trending wkt tumeitimisha siku nyingiUmemaliza kila kitu hapa. Uzi ufungwe kabisa. Kumbe ndo ilivyo? Ndo maana ana wivu.
Umerudisha Uzi wangu on trendingLeo nipo free. Nimeona wadau wamekutolea uvivu. Kaza makalio. Unamwoneaje wivu mwanaume?olewa na wewe basi. Yaani huoni aibu kuja kujadili maisha ya watu hapa JF? Unataka wote wawe mafukara kama wewe na roho za wivu na chuki? Ndo maana mnaolewa sana siku hizi. Hadi wanawake wamekuchana umejawa aibu ulidhani umeandika jambo la maana. Sisi wanaume tumeshangaa sana. Na wanawake nao wamekushangaa. Unataka huyo jamaa akuoe? [emoji15]
Acha wivu kwa wanaume dogo. Tafuta pesa. Unaonea wivu wanaume.Umerudisha Uzi wangu on trending
Hongera shoga mzoefu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kijan namba zako ulizo nipa ili nikutafute uje nikubanduee nimezifua ndio maana una hasira na mam kijanAcha wivu kwa wanaume dogo. Tafuta pesa. Unaonea wivu wanaume.
punguza ushamba na wivu[emoji23][emoji23]kama unaamini hyo story uliyoiweka hapa , basi bado unasafari ndefu ya maisha , hyo kampuni ipo wapi ??? Imeajiri kina nani wengine ??? Na je kufanya matanagazo ya gsm tu ndo yanampa hela ile...kwani design hii ya fikra mbona CCM isituone vilaza kama taifa
Usikute mmezidiwaHuyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani😂😂😂.
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
Sasa kama hawajioneshi waning hapa, hapa tuna deal na wanaojioneshaKuna vijana nawajua wanakula maisha huyo Ommy Dimpoz haoni ndani na hawajioneshi wala nini.
Mkuu kwahy mtu kama analipa kodi TRA haruhusiwi kula bata au?Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Ukisikia wanaume kama mabinti ndio hawa sasa aina ya mleta madaInasikitisha wanaume tumefikia huku kweli......