Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji2380] shoga wa jf kaibuka ulikuwa wapi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Leo nipo free. Nimeona wadau wamekutolea uvivu. Kaza makalio. Unamwoneaje wivu mwanaume?olewa na wewe basi. Yaani huoni aibu kuja kujadili maisha ya watu hapa JF? Unataka wote wawe mafukara kama wewe na roho za wivu na chuki? Ndo maana mnaolewa sana siku hizi. Hadi wanawake wamekuchana umejawa aibu ulidhani umeandika jambo la maana. Sisi wanaume tumeshangaa sana. Na wanawake nao wamekushangaa. Unataka huyo jamaa akuoe? 😳
 
[emoji23][emoji23]kama unaamini hyo story uliyoiweka hapa , basi bado unasafari ndefu ya maisha , hyo kampuni ipo wapi ??? Imeajiri kina nani wengine ??? Na je kufanya matanagazo ya gsm tu ndo yanampa hela ile...kwani design hii ya fikra mbona CCM isituone vilaza kama taifa
 
Huyu shoga unafanya nn humu [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706].

Nenda kafirane kule bhan acha kuzogelea huku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bora umemuhoji wewe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nitajadili had ya mama ako mzazi ukichezaa huu uchiz umepata kwenye kutinduliwa siyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umerudisha Uzi wangu on trending

Hongera shoga mzoefu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
punguza ushamba na wivu
 
Amekuibia!? Amevunja Sheria? Akila Bata inakupunguzia nini? Umasikini ni Laana!! Mnajikuta na Roho mbaya, Wivu, Chuki, Husda!! Maisha ni mafupi SANA kufatilia maisha binafsi ya watu!
 
Huyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani😂😂😂.
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
Usikute mmezidiwa
 
Mtoa mada uje uchukue khanga zako hapa Katoro,
Ni nzito zimetoka Uganda.
 
Mkuu kwahy mtu kama analipa kodi TRA haruhusiwi kula bata au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…