Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji2380] shoga wa jf kaibuka ulikuwa wapi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Leo nipo free. Nimeona wadau wamekutolea uvivu. Kaza makalio. Unamwoneaje wivu mwanaume?olewa na wewe basi. Yaani huoni aibu kuja kujadili maisha ya watu hapa JF? Unataka wote wawe mafukara kama wewe na roho za wivu na chuki? Ndo maana mnaolewa sana siku hizi. Hadi wanawake wamekuchana umejawa aibu ulidhani umeandika jambo la maana. Sisi wanaume tumeshangaa sana. Na wanawake nao wamekushangaa. Unataka huyo jamaa akuoe? 😳
 
Ila watanzainia tunamajungu sana na sasa watu hawajui ila wameshampakazia kila aina ya kashfa..

Kifupi huyo jamaa anakampuni ya kutengeneza matangazo na anapewa tenda na makampuni makubwa kama gsm unavyoona matangazo yote ya gsm na picha na video za billboards zilizosambaa mjini hapa ni kampuni ya ommy ndio inasimamia na ameajiri vijana wenye degree zao kwa hiyo anatengeneza pesaaa ndefu sana kupitia kampuni yake.
[emoji23][emoji23]kama unaamini hyo story uliyoiweka hapa , basi bado unasafari ndefu ya maisha , hyo kampuni ipo wapi ??? Imeajiri kina nani wengine ??? Na je kufanya matanagazo ya gsm tu ndo yanampa hela ile...kwani design hii ya fikra mbona CCM isituone vilaza kama taifa
 
Huyu nilidhani ni mwanaume niliposoma hii nikajua ndo wale wale. Ana wivu nimeshangaa wewe mwanamke umeonesha ukomavu mkubwa bila wivu but jamaa huyu topetope anaona wivu mwanaume kuwa na maisha mazuri. Inashangaza sana. Mumwite mkae naye chini mmwambie kama vipi akaolewe na mtu mwenye pesa. Sisi wanaume hatuwezi pata muda wa kujadili watu hivi. Mumseme mwenzenu aache kujadili maisha ya watu na kuwaonea wivu.
Huyu shoga unafanya nn humu [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706].

Nenda kafirane kule bhan acha kuzogelea huku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23]kama unaamini hyo story uliyoiweka hapa , basi bado unasafari ndefu ya maisha , hyo kampuni ipo wapi ??? Imeajiri kina nani wengine ??? Na je kufanya matanagazo ya gsm tu ndo yanampa hela ile...kwani design hii ya fikra mbona CCM isituone vilaza kama taifa
Bora umemuhoji wewe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Leo nipo free. Nimeona wadau wamekutolea uvivu. Kaza makalio. Unamwoneaje wivu mwanaume?olewa na wewe basi. Yaani huoni aibu kuja kujadili maisha ya watu hapa JF? Unataka wote wawe mafukara kama wewe na roho za wivu na chuki? Ndo maana mnaolewa sana siku hizi. Hadi wanawake wamekuchana umejawa aibu ulidhani umeandika jambo la maana. Sisi wanaume tumeshangaa sana. Na wanawake nao wamekushangaa. Unataka huyo jamaa akuoe? [emoji15]
Nitajadili had ya mama ako mzazi ukichezaa huu uchiz umepata kwenye kutinduliwa siyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Leo nipo free. Nimeona wadau wamekutolea uvivu. Kaza makalio. Unamwoneaje wivu mwanaume?olewa na wewe basi. Yaani huoni aibu kuja kujadili maisha ya watu hapa JF? Unataka wote wawe mafukara kama wewe na roho za wivu na chuki? Ndo maana mnaolewa sana siku hizi. Hadi wanawake wamekuchana umejawa aibu ulidhani umeandika jambo la maana. Sisi wanaume tumeshangaa sana. Na wanawake nao wamekushangaa. Unataka huyo jamaa akuoe? [emoji15]
Umerudisha Uzi wangu on trending

Hongera shoga mzoefu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23]kama unaamini hyo story uliyoiweka hapa , basi bado unasafari ndefu ya maisha , hyo kampuni ipo wapi ??? Imeajiri kina nani wengine ??? Na je kufanya matanagazo ya gsm tu ndo yanampa hela ile...kwani design hii ya fikra mbona CCM isituone vilaza kama taifa
punguza ushamba na wivu
 
Amekuibia!? Amevunja Sheria? Akila Bata inakupunguzia nini? Umasikini ni Laana!! Mnajikuta na Roho mbaya, Wivu, Chuki, Husda!! Maisha ni mafupi SANA kufatilia maisha binafsi ya watu!
 
Huyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani😂😂😂.
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
Usikute mmezidiwa
 
Mtoa mada uje uchukue khanga zako hapa Katoro,
Ni nzito zimetoka Uganda.
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Mkuu kwahy mtu kama analipa kodi TRA haruhusiwi kula bata au?
 
Back
Top Bottom