Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Nasikia anaikalia
Na wewe itafute ya kuikalia kama unazani ni kazi nyepesi, wangapi wanaikalia lakini holaaa, hamna kitu.

Unaskia anaikalia, aliyekuambia mwambie na yeye akaikalie kama anazani ni kirahisi rahisi namna hiyo, mwambie wote wanaoikalia ungekuta wanakula bata hivi, au wanamiliki maghorofa,

Kaikalie na wewe tuone kama kuikalia ndo kutoboa.
 
Kwa hyo kampuny yake hyo Ni tenda Moja tun ndio kapewa na gsm

Taja kampuni anazo fanya nayo Kaz ukitoa gsm wenu
 
Watanzania wengi na maskini ni watu wapumbavu.

Mommy kula zaidi Ili waumie na kunadika.
 
Basi atakuwa na utamu sana😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…