Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Nasikia anaikalia
Na wewe itafute ya kuikalia kama unazani ni kazi nyepesi, wangapi wanaikalia lakini holaaa, hamna kitu.

Unaskia anaikalia, aliyekuambia mwambie na yeye akaikalie kama anazani ni kirahisi rahisi namna hiyo, mwambie wote wanaoikalia ungekuta wanakula bata hivi, au wanamiliki maghorofa,

Kaikalie na wewe tuone kama kuikalia ndo kutoboa.
 
Ila watanzainia tunamajungu sana na sasa watu hawajui ila wameshampakazia kila aina ya kashfa..

Kifupi huyo jamaa anakampuni ya kutengeneza matangazo na anapewa tenda na makampuni makubwa kama gsm unavyoona matangazo yote ya gsm na picha na video za billboards zilizosambaa mjini hapa ni kampuni ya ommy ndio inasimamia na ameajiri vijana wenye degree zao kwa hiyo anatengeneza pesaaa ndefu sana kupitia kampuni yake.
Kwa hyo kampuny yake hyo Ni tenda Moja tun ndio kapewa na gsm

Taja kampuni anazo fanya nayo Kaz ukitoa gsm wenu
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Watanzania wengi na maskini ni watu wapumbavu.

Mommy kula zaidi Ili waumie na kunadika.
 
Upunda haipingiki, sasa unaambiwa mwenzio mpaka chumba anacholala muuza magodoro anakijua vizuri, kila uchwao anashinda nyumbani wakati mke mkubwa yupo zake vacation dubai, tena naona siku hizi mahaba na danga lake la kimombasa 001 yamepungua kabisa mambo yote kwa muuza magodoro.
Basi atakuwa na utamu sana😂😂
 
Back
Top Bottom