Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C ndio hapo na mm. Nashanga [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]Ubwabwa ndio ulipe kiasi hicho kweli?[emoji23]
Tra hawafanyi Kaz zao vzr wacha niwe afsa wa TRA Kuna watu nitawatembele Moja kwa mojaIla jamaa anakula maisha sana.
Anaishi kama kina Wizlkid ila chanzo chake cha mapato hakijulikani
Ahhahaha hkn mwenye nazoKwani yeye anasema au taarifa zake za kikodi zikoje?
Si kazi pekee, ila wakishirikiana na benki kuu wana wajibu kufuatilia na kujua vyanzo vya mapato vya raia wake hasa pale kunapokua na hali ya sintofahamu.Hiv TRA ndio kazi pekee wanayoifanya!?
Walau we kdg umeiweka vzr..Huyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani😂😂😂.
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
Nikweli kbsa reference no zito ,mwijaku baba levelSema ilo kabila huwa wanauthubutu sana linapokuja swala pesa, hakuna kitu wanashindwa fanya, hata ikiwa ni kushusha utu na heshima zao.
Hahahahahaha...wabongo mnaumiza kichwa kujua jamaa anatoa wapi hela za kula raha..hahahahahaUbwabwa ndio ulipe kiasi hicho kweli?😂
Hataumuachi atutonye na ss tupate VIP pesaIfike mahali Ommy aachwe na maisha yake jamani. Kila mmoja anajua anakopatia ugali wake.
Na wewe itafute ya kuikalia kama unazani ni kazi nyepesi, wangapi wanaikalia lakini holaaa, hamna kitu.Nasikia anaikalia
Ndio anapata wapj pesa kuzururua ulaya na marekani au mko kampuni mmoja nnSasa mtu kula bata nayo ni issue mpaka kuanzisha uzi jombaa.
Akikutonya upate hizo pesa utakubali ?Hataumuachi atutonye na ss tupate VIP pesa
Kwa hyo kampuny yake hyo Ni tenda Moja tun ndio kapewa na gsmIla watanzainia tunamajungu sana na sasa watu hawajui ila wameshampakazia kila aina ya kashfa..
Kifupi huyo jamaa anakampuni ya kutengeneza matangazo na anapewa tenda na makampuni makubwa kama gsm unavyoona matangazo yote ya gsm na picha na video za billboards zilizosambaa mjini hapa ni kampuni ya ommy ndio inasimamia na ameajiri vijana wenye degree zao kwa hiyo anatengeneza pesaaa ndefu sana kupitia kampuni yake.
Watanzania wengi na maskini ni watu wapumbavu.Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Basi atakuwa na utamu sana😂😂Upunda haipingiki, sasa unaambiwa mwenzio mpaka chumba anacholala muuza magodoro anakijua vizuri, kila uchwao anashinda nyumbani wakati mke mkubwa yupo zake vacation dubai, tena naona siku hizi mahaba na danga lake la kimombasa 001 yamepungua kabisa mambo yote kwa muuza magodoro.
Never on the Earth kuiga ujingaEpuka sana kuchunguza chanzo cha kipato cha mwanaume mwenzio.
Katika process ya kuchunguza unaweza kukigundua na wewe pia ukaingiwa tamaa kupelekea kuangukia sehemu mbaya kimaadili.
Tutafanyaje sasa😂😂Hahahahahaha...wabongo mnaumiza kichwa kujua jamaa anatoa wapi hela za kula raha..hahahahaha