Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Hudhani muda huo wa kufuatilia maisha ya wengine ungeweza boresha yako zaidi??Never on the Earth kuiga ujinga
Nitafatilia had yako nikikujuwa unaa Mambo ya sivyo vya kawaida
Hahaaahaa ila nimecheka sanaa🤣🤣, mkuu umewaza nini ila🤣🤣🤣🤣🙌🏻Epuka sana kuchunguza chanzo cha kipato cha mwanaume mwenzio.
Katika process ya kuchunguza unaweza kukigundua na wewe pia ukaingiwa tamaa kupelekea kuangukia sehemu mbaya kimaadili.
Jombaa unajua Kila mtu hela anakozitoa Tanzania hapa?Ndio anapata wapj pesa kuzururua ulaya na marekani au mko kampuni mmoja nn
Namzaba makofiNakumbuka alishawai kulijibu ilo swali ,nanukuu
"Muulize Mama yako yule kijana anayemuhoonga ni nani?" - Ommy Dimpoz
Huu umbea ueleze vizuri, anaikalia ya nani?Nasikia anaikalia
Na ndiko napatia riski yanguHudhani muda huo wa kufuatilia maisha ya wengine ungeweza boresha yako zaidi??
Anyways, kila mtu na aina ya maisha aliyojichagulia, yako imekuwa ni kuchunguza ya wenzako.
TRA utakuwa unawaonea, labda umuilize Waziri Dorothy GwajimaKwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Tra ndio wakwanza kuwauliza wanipe faili zake za kikodi nifanye auditing and investigation Kisha nikijiridhisha naelekea wizra ya jinsi na maendeleo Kisha baada ya hapo nielekee kwa janabiTRA utakuwa unawaonea, labda umuilize Waziri Dorothy Gwajima
Kwa Kukuongezea tu wasanii hawa wakubwa wanapata fedha sana ,kwenye Streaming,views,Downloads ,ukiacha hapo kuna matangazo ,kuna ubalozi.
KUna msanii anakunja kila mwezi milioni 100 kwa ajili ya ubalozi(Matangazo).
Itategemeana ubwabwa unapakuliwa na na nani?Ubwabwa ndio ulipe kiasi hicho kweli?😂
Sasa kama unamuonea wivu Ommy na wewe si ukaweke rehani hicho alichoweka?Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Akill za awamu ya 30÷6Kwanza TRA walitakiwa wambinye kende zake aeleze anatoa wapi pesa na kama analipa kodi, shwaiiiin.
Mmm!!...wewe!Nasikia anaikalia
Wewe...utafungwaDimpoz haya............na watu wa jamhuri ya mombasa
Wivu wa kikeKwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Ngoja waku pige😆
Aceheni ungo ninyiUko sahihi kabisa, matumizi mazuri ya social media na hizi technolojia za kisasa zinaweza kukufanya uwe tajiri sana na kuingiza hela ukiwa umekaa tu.
Maisha ganj uanyo mkuu lbda tuanzie Happ Kama unanmaisha Leta majina yako tukujadiliHii sidhani km inanihusu, acha niangalie maisha yangu, umbea ni tabia za kike
🤣🤣🤣 niache bhana🙄🥴Huu umbea ueleze vizuri, anaikalia ya nani?