Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Hudhani muda huo wa kufuatilia maisha ya wengine ungeweza boresha yako zaidi??

Anyways, kila mtu na aina ya maisha aliyojichagulia, yako imekuwa ni kuchunguza ya wenzako.
Na ndiko napatia riski yangu

Ukinipa details zako hakika nitakufatilia una nin ,unafanya nn ,unapenda nn ,unatumiaje pesa , na mamb mengine

Ila kwa saababu wee siyo celebrity siwezi kukufatilia nitapoteza muda
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
TRA utakuwa unawaonea, labda umuilize Waziri Dorothy Gwajima
 
Kwa Kukuongezea tu wasanii hawa wakubwa wanapata fedha sana ,kwenye Streaming,views,Downloads ,ukiacha hapo kuna matangazo ,kuna ubalozi.

KUna msanii anakunja kila mwezi milioni 100 kwa ajili ya ubalozi(Matangazo).

Uko sahihi kabisa, matumizi mazuri ya social media na hizi technolojia za kisasa zinaweza kukufanya uwe tajiri sana na kuingiza hela ukiwa umekaa tu.
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Sasa kama unamuonea wivu Ommy na wewe si ukaweke rehani hicho alichoweka?
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Wivu wa kike
 
Back
Top Bottom