🚮Iko hivi leo ngoja niwagusie kidgo kuhusu huyu jamaa, kifupi Ommy anatumika km wakala wa mason kwa hapa bongo hizi ni mbinu za kumuweka karibu na raisi wa wasafi ili ukifika wakati wa majamaa kufanya yao kw raisi inakuwa rahisi(si umeona hapa neno raisi na rahisi yanavyoendana) so Ommy kuwa kwenye hzo level ni kawaida kaeni mkao wa kula nakuketeeni makala kamili kuhusu huyu jamaa na hawa mason kuhusu huu mpango wao achaneni na mambo ya ubwabwa sijui kampuni ya mabango. Fiksi
Watanzania ni wambea wambea by nature mkuu!Uzi wa kumsengenya mtu huu. Inawezekana kweli sio riziki lakini hatuoni hata sisi tumechagua tu dhambi ya usengenyaji? Tuache kuufurahia umaskini na kuwachukia waliofanikiwa kwasababu mwisho wake ni upuuzi mtupu. Mleta uzi na wote wanaokusapoti ni ujinga mnafanya.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Kula bata na kupiga picha maeneo flani ni vitu viwili tofauti. Kuna mwanangu mmoja, sometimes anazumba sana na Omary Nyembo. Yeye ana uraia wa EU lakini saa zote yuko Bongo. Ukiwa na passport ya UE unaweza kwenda popote Duniani bila shida. Jamaa ni mtu wa kulipuka pamba sana na ana swagga za kuua, halafu ni photogenic kwelikweli. Mchizi sio ana mkwanja sema huko Dunia ya Instagram na Tiktok wabongo wanamkoma. Yaani yale mapicha kama ya kwenye magazines, New York, Sydney sijui miji makubwa yote Europe. Sasa kuna watu wanafikiria jamaa ni boss kumbe ni style tu ya maisha.
[emoji706][emoji706]Uzi wa kumsengenya mtu huu. Inawezekana kweli sio riziki lakini hatuoni hata sisi tumechagua tu dhambi ya usengenyaji? Tuache kuufurahia umaskini na kuwachukia waliofanikiwa kwasababu mwisho wake ni upuuzi mtupu. Mleta uzi na wote wanaokusapoti ni ujinga mnafanya.
Mitaa yetu hiyo,ndizi kitimoto na matakapela bwelele bei chee tu.😂😂😂😂afu kweli bhana...,juzi nilikuwa kiwira🤣🙌🏿
[emoji706]Inasikitisha wanaume tumefikia huku kweli......
Mkuu naona huu umbea umevuka mipaka. Mtu anawezaje kuanzisha uzi wa kumsengenya mtu na ukapata sapoti kubwa kutoka kwa wanaJF?Watanzania ni wambea wambea by nature mkuu!
Kwa vile bata anakula hadharani mbele yetu, Tuna haki ya kujuaSi mumuache jamani!
Unasikilizia wapi?Nasikia anaikalia
Labda chakula ya wakubwa nasikia ni bi mdogo wa muuza magodoro, wengine wanasema ni punda.
Finance kuu anaitoa Kwa Jamaa Wa GSM...japo yasemwayo Sio mazuri...Si mlisema bwabwa au unasemaje?
Ile kalamu inayomwaga wino