To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Wee,usiniambieš³??we mrembo umenisisimua natamani uje uikalie yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee,usiniambieš³??we mrembo umenisisimua natamani uje uikalie yangu
kwa jina la dimpozi auWewe...utafungwa
Manula anacheza attacking midfielder.Ila jamaa anakula maisha sana.
Anaishi kama kina Wizkid ila chanzo chake cha mapato hakijulikani
Kwani ubwabwa unalipa sana hadi upate pesa za kuchezea?Si mlisema bwabwa au unasemaje?
Mi ndo najua hiviiIla watanzainia tunamajungu sana na sasa watu hawajui ila wameshampakazia kila aina ya kashfa..
Kifupi huyo jamaa anakampuni ya kutengeneza matangazo na anapewa tenda na makampuni makubwa kama gsm unavyoona matangazo yote ya gsm na picha na video za billboards zilizosambaa mjini hapa ni kampuni ya ommy ndio inasimamia na ameajiri vijana wenye degree zao kwa hiyo anatengeneza pesaaa ndefu sana kupitia kampuni yake.
Huyu lzm tumfatilie mnk dili zake. Haziko wasi wasi Ni vzr ijulikaneWabongo bana badala ya kumfuatilia Samia wanayemlipa na anakula Kodi zao wanamfuatilia mtu binafsi wala hajawahi kuwaomba hata chumvi
Sawa pengine Ana agenda zake na connect kubwa ukiacha kuweka marinda rehaniJamaa nimeliona VIP lipo na kina draymond na kina curry alafu lilipewa invitation na NBA kuhudhuria NBA all stars, limetulia linapiga story na ma baller wa ukweli aloo , sijui alipewa invitation kama nani ? Inashangaza kwakweli sehemu alizokuwepo hakuna maskini hata mmoja wote karibia ni mamilionea yan hata wamarekani kajamba nani hawakanyagi ile red carpet kule unakutana na kina Jay Z na kina King Jamesā¦hawa watu wana reputation kubwa kwenye industry nadhan hata chibu atakuwa anataman angekuwepo kule, jamaa huwa anaendaga hata kwenye nba finals na anakaaga front row seatsā¦
we mtundumtunduWee,usiniambieš³??
Inawezekana ila me sitak kuwa jajimento kwakweli jamaa ana ball kweli kweliā¦Sawa pengine Ana agenda zake na connect kubwa ukiacha kuweka marinda rehani
Spending zake pmn kampuni yake hata kwenda Kenya Ni mtiani kwakweliAcha kufanya watanzania ni mazwazwa kuwa eti wanampakazia
Spending anazofanya ni mbingu na ardhi kama ni hiyo hoja yako ya kampuni kivuli ya kwake
Kidogo mkuuwe mtundumtundu