Ona wanavyokuwa na adabu wakiwa nje ya nchi bila akina Sirro

Kwamba walichofanya hao wazalendo ni kupoteza muda? Mbona umetumia muda wako kuandika habari za waliopoteza muda?
Kila mtu na maoni yake.

Mimi sina muda wa kupoteza kwenda kukimbizana na Samia….

Hayo ni maoni yangu.
 
Nikajua cha maana kumbe wahuni na wabeba mabosk wamebeba mabango ya kuombea kazi mbuzi kweli waje huku bongo ndio tutawaamini kweli wazalendo sio wabeba mabosk tumemtuma kuja huko kwa kazi maalumu kufungua nchi na kuitangaza nchi
 
Mjinga unadhani watu wanawekeza kwenye kununua viatu.
Wamekeza kwenye Nini?

Maana Mimi najua Heche, Mbowe, Msigwa Sugu, Mnyika na Lissu Ni MATAJIRI WA KUTISHA.

Nyie Mateka wa Mbowe mnaambulia BANDO LA KUFYATUKIA MITANDAONI
 
Najiuliza Mwigulu kilichompeleka huko ni kipi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pep
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…