king gold chain
Member
- Jul 15, 2017
- 61
- 20
Aaah wap hzo code ni za kuingilia MTK MODE mkuu inaingilian vp na BYPASS???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wap hzo code ni za kuingilia MTK MODE mkuu inaingilian vp na BYPASS???
PoaNjoo PM
Pole sana mkuu kama wewe ni mmiliki wa tecno w3Wipe data/factory reset nimefikia hapo nimeshindwa kuendelea simu ni tecno W3 msaada tafadhali.
Imeniletea hayo sasa kwenye power nikibonyeza hicho cha kuzimia simu haijizimiInasemaje???
Mimi similiki Tecno W3 kuna mtu nilikuwa namsaidiaPole sana mkuu kama wewe ni mmiliki wa tecno w3
Sasa ukitaka izime si unatoa battery mkuu. Au mimi ndio sielewi nini hasa shidaImeniletea hayo sasa kwenye power nikibonyeza hicho cha kuzimia simu haijizimi
Kwa zilizo sajiliwa google baada ya kureboot itadai wifi ili kuverify kama ni ww, sasa ukifika kwenye email una add accountMtaalam umesahau sikuhiz kuna security mpya kweny version kuanzia 5 na kuendelea? Ningeona vyema kama ungewaelekeza namna ya kubypass previously google account that was used to sign in
Sasa ukitoa battery si inakuwa imezimika mazima?? kwa maelezo yake anasema inatakiwa izime na kujiwasha yenyewe ili uweze kuendelea na processSasa ukitaka izime si unatoa battery mkuu. Au mimi ndio sielewi nini hasa shida
Fb yako hta ungechanganya na risasi humo kwa password napita nayo kwa sekunde kma huamin pmKiukweli ukisoma comment za watu ktk hili bandiko,unaelewa bado tupo nyuma sana.! Nnachofahamu mimi,kinachofanya simu za iPhone na Samsung ziuzwe bei ghari ni huo ulinzi wa simu..!
Hivi inawezekaje simu ya milioni 3 uifungue wewe kwa urahisi hivyo wakati hata FBI walishinda kufugua simu ya mtuhumiwa wa ugaidi mpaka wakaipeleka apple mahakamani!??
Ntakubaliana na ww kwa simu km hii yangu itel s31 ambazo hazina ulinzi imara lkn ina features zote km hizo simu za gharama kubwa. Tofauti yangu na mwenye simu ya milioni 1 na nusu au zaidi ni ulinzi wa simu...! Hata ku-hack akaunti ya facebook,si kweli kwamba unaweza ku-hack akaunti yoyote. Me nakuhakikishia,akaunti yangu huwezi hata kwa visu!
Ku-hack akaunti ya facebook au e-mail inatokana na udhaifu wa password,watu wengi hawajui kuweka password. Watu wengi wanaweka majina na namba za simu au mwaka wa kuzaliwa. Hizo mtu anaingia kwa urahisi mno. Password unatakiwa kuchanganya number na maneno na usiweke herufi za kufanana. Unachanganya herufi ndogo na kubwa huku ukipachika number katikati...! Pass ikiwa imara,hackers mpaka wafanye kazi kwelikweli...!!!