Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wewe ndio kipimo cha werevu?Nimesema ni ujinga sijasema ni kinyume cha sheria. Kuna sehemu umeona nimesema ni kinyume cha sheria?
Kwa maoni yako na Nyerere akiwemo. Since he was an engineer of those catchphrases or expressions.Ukishaona kiongozi mkuu wa nchi anatumia sana neno "Africa, Mabeberu & mabepari" na pia propaganda nyingi ujue hamna kiongozi humo... mfano mzur Tanzania tuliwahi kua na kiongozi wa hivo
Kwa nyakati zile at least Nyerere alikua sahihiKwa maoni yako na Nyerere akiwemo. Since he was an engineer of those catchphrases or expressions.
📍📍NakaziaHuyu jamaa kimuonekano ni kama boya Fulani
We waache moka watakapoona Burkanfaso inanunua ARVs wao wanasubiri za mkopo
😂😂😂View attachment 3217780
Jamaa wameanza kuzalisha gari sasahivi, sisi kiwanda chetu cha nyumbu sijui kipo hali gani
Mambo iko huku mfuajiWorking hard vs working smart
Umenikumbusha nasaa za Marehemu Jim Rohn .... The key is to work smarter not harder
Amua mwenyewe na vipimo vyako boss ila maoni yangu ndo hayo, Kuvaa makombati kila kona ni UJINGA .Wewe ndio kipimo cha werevu?
Ukishaona kiongozi mkuu wa nchi anatumia sana neno "Africa, Mabeberu & mabepari" na pia propaganda nyingi ujue hamna kiongozi humo... mfano mzur Tanzania tuliwahi kua na kiongozi wa hivo
NifahamisheBado hujaijua dunia.
Ya wao....Huwa tunaoneana sisi kwa sisi pia africa tunasahau kitu kimoja vita vyetu sisi havitakiwi kuwa sisi kwa sisi Ni sisi dhidi ya yao💪
Dogo kakataa nchi yake kuwa shamba la bibiBaadhi ya watanzania tumejawa na ujinga, yaani boya afanye mapinduzi na mpaka leo awe madarakani akiongoza Nchi? Acheni ujinga maboya ni sisi tunaoongozwa na kutawaliwa kipuuzi puuzi. Basi atokee boya kama huyo afanye kitu hapa Tanzania. Kaani na Nchi yenu mtawaliwe mpaka vyumbani kwenu
Sio bure wewe ulikosa sifa ama uliomba kujiunga jeshi ukakosa nafasi. Gwanda zinakuumiza sana roho ukiona wajuba wazitinga. Pasuka zaidi miamba hiyo hapo chini imekutana na imeazimia kiume maamuzi mazitoAmua mwenyewe na vipimo vyako boss ila maoni yangu ndo hayo, Kuvaa makombati kila kona ni UJINGA .
JF yote haiwezekani ikubaliane na uvaaji wa huyo umpendaye, usitokote na maswali zaidi hata kama hupendi akosolewe.