ONESMO MUSHI; Mbowe alipotangaza maandamano alijikuta na watoto wake na waandishi wa habari mkifanya masihara nextime hata hao waandishi hamtawaona

ONESMO MUSHI; Mbowe alipotangaza maandamano alijikuta na watoto wake na waandishi wa habari mkifanya masihara nextime hata hao waandishi hamtawaona

BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA WA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI JAN21.

Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho Mwenyekiti freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake tu hata hao wanaosema mitano tena hakuwepo hata mmoja.

Sasa Mkifanya masihara mkamchagua, next time akiitisha maandamano hata hao waandishi wa habari hamtawaona labda waje TBC

Nawatakia kazi njema ya Uchaguzi
MBOWE wa sasa ni mali halali ya Samia. MBOWE ni CHAWA mwandamizi
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA WA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI JAN21.

Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho Mwenyekiti freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake tu hata hao wanaosema mitano tena hakuwepo hata mmoja.

Sasa Mkifanya masihara mkamchagua, next time akiitisha maandamano hata hao waandishi wa habari hamtawaona labda waje TBC

Nawatakia kazi njema ya Uchaguzi
Mtoto wake kwani kaolewa?
 
BARUA YA WAZI KWA WAJUMBE WA CHADEMA WA MKUTANO MKUU WA UCHAGUZI JAN21.

Ndugu Wajumbe,

Mara ya mwisho Mwenyekiti freemanmbowetz alipotangaza maandamano alijikuta peke yake barabarani na waandishi wa habari pamoja na watoto wake tu hata hao wanaosema mitano tena hakuwepo hata mmoja.

Sasa Mkifanya masihara mkamchagua, next time akiitisha maandamano hata hao waandishi wa habari hamtawaona labda waje TBC

Nawatakia kazi njema ya Uchaguzi
Ni kweli
 
Back
Top Bottom