Kwamba wenyeji wamepoa kwenye fursa unauhakika Gani Naona wewe ni ugeni tuu wa Jiji unakusumbua ! Utakuwa umefikia Kwa shangazi Yako ,na hizo ni story za kusubiria msosi,kwahiyo baada ya kukutajia watu wa kijijini kwenu kadhaa waliokimbilia Mwanza ndo ukaja na uharo huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12] ukizurura ukaujua mji hutarudia kuongea uharo kama huo.
Karibu Mjini jombaa.
Naifahamu Mwanza maana ukienda hata kwenye maofisi,na biashara utakuta Wenyeji kibao wanafanya biashara za Mahotel,maduka makubwa ,umiliki wa mabasi,viwanda ,mashule na n.k na wamefanikiwa tuu nenda huko utakuta,Wenyeji wengi na hizo fursa unazozisema Zina Kila mtu aliyekuja kutafuta maisha Mjini na ana nia ya kufanikiwa,by the way Mwanza Ina makabila zaidi ya 120 yaliyoko hapa ndo maana ni Jiji sio Kijiji elimika ndugu