Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
NifundisheHata nikikufundisha umeshalishwa sumu kuwa forex ni utapeli wakati watu wanapiga pesa, NAKUHAKIKISHIA kwenye FOREX wakati natoka mwenge to posta foleni ile mimi naingiza usd 30 kila siku sina presha na mtu.