Si ndo hapo waliowahi kutapeliwa hapa jf wamewaanika wezi wao na wengine wamewakamata kabisa.Wangeweka ushahidi,,pia wale wanaoenda darasan kusoma kwa ontario wangesema pia kwanini wasemee pm ina maana wanamuogopa ontario ama?
upo tayari tushindane? tutafute mashahidi.. tuone mtu wa forex anayoyasema ni kweli.. na mimi muhuni wa mtaani naekula kwa jasho nani amefanikiwa zaidi? je tuanzishe thread ya kusaka mashahidi?? tuonane weekend... gari natoa na nafuta naweka ya kubeba mashahidi na mizunguko yote
Muhuni wa mtaani kwa kua hujui kusolve log
Sipo kushindana na wewe, shindana na mwalimu wangu alienifundisha fursa ya FOREX
Weee jamaa unauzi na kauri zako zakizezeta sasa mtu anayefanya Forex anapata hera kwa jasho lako au usiongee upuuzi jamaa arafu kuorodhesha shughuri zako uwo ni ushamba kwani nani aliyesema kuwa anaefanya Forex ajishughurishi na shughuri nyingine uko ni kufikiria kama mnyoo je ada amawaripia nani ya mafunzo na je pesa ya kuishi week mzima kwenye mafunzo vitu vingine mfikirie sio kuandika andika tu kama uwezi Forex kaa kimya arafu ujaambiwa kwamba Forex ni kwa kila mtumjinga wewe ningekuonesha mtaani tunavyosaka hela kwa jasho sio bla bla eti laki 2 faida kwa saa... unaijua laki mbili wewe kwa saa wewe...
watu under 30 tu ila tuna drive,tuna familia, tunasomesha, tunajenga, tuna biashara ndogo ndogo za jashoooo...
sio dume zima kama demu unajivunia mafanikio ya mwalimu wako... jivunie vya kwako...
na hayo mafanikio ya uliyemtaja mnamchangia nyie mazuzu ada zenu hizo... yeye haziweki forex anaenda ziwekezea kwenye real business zinazo solve real problems kama kilimo...
njoo nikufundishe hata kuprint tshirt bure ukajikomboe bwege wewe... usipende pesa za kufikirika...
toka jasho upate hela hata ukishushia na bia yako baada ya kazi nayo inakuwa inavuja jasho
Usikute na wewe ni ONTANARIO umekuja na ID nyingne
sio kweli wamekanushaJAMANI MNA TAARIFA ZA MREMA
Amekufa au?JAMANI MNA TAARIFA ZA MREMA
Umesikitika ivyo ulitaka afe nan?NASIKIA HATUNAE HAPA DUNIANI KABISA ILA NIMESIKIA JUUUJUU
mjinga wewe ningekuonesha mtaani tunavyosaka hela kwa jasho sio bla bla eti laki 2 faida kwa saa... unaijua laki mbili wewe kwa saa wewe...
watu under 30 tu ila tuna drive,tuna familia, tunasomesha, tunajenga, tuna biashara ndogo ndogo za jashoooo...
sio dume zima kama demu unajivunia mafanikio ya mwalimu wako... jivunie vya kwako...
na hayo mafanikio ya uliyemtaja mnamchangia nyie mazuzu ada zenu hizo... yeye haziweki forex anaenda ziwekezea kwenye real business zinazo solve real problems kama kilimo...
njoo nikufundishe hata kuprint tshirt bure ukajikomboe bwege wewe... usipende pesa za kufikirika...
toka jasho upate hela hata ukishushia na bia yako baada ya kazi nayo inakuwa inavuja jasho
Usikute na wewe ni ONTANARIO umekuja na ID nyingne
Uyo sio Ontario jamaa namjua niko nae group moja la Forex tunapiga Hera sasa kinachoshangaza watu mwenyewe wanaoifanya Forex awararamiki lakini wengine wasiohusika ndio wanararamika sasa hii kitu mbona aingii kichwaniUsikute na wewe ni ONTANARIO umekuja na ID nyingne
Mipasho ya nini mkuu?Ko mnataka bure tuuu??? yaani watu watoke SA mje mpewe training bure? imekua training ya kitchen part? hata hiyo ina michango asee
Uyo sio Ontario jamaa namjua niko nae group moja la Forex tunapiga Hera sasa kinachoshangaza watu mwenyewe wanaoifanya Forex awararamiki lakini wengine wasiohusika ndio wanararamika sasa hii kitu mbona aingii kichwani
Huna unachomiliki zaidi ya watoto ambao hamkufuata family planing na mkeoachana nae nyumbu huyo.. anaona watu mazuzu.. ndugu zake maskini na yeye mwenyewe maskini mimi nimejitolea tushindane nae maisha jina halisi nalitaja na tuonane tunapoishi na mali tunazomiliki... nani kamzidi mwenzake...
anafikiri watu mazuzu humu
Mipasho ya nini mkuu?
Hebu ni add huko chapUyo sio Ontario jamaa namjua niko nae group moja la Forex tunapiga Hera sasa kinachoshangaza watu mwenyewe wanaoifanya Forex awararamiki lakini wengine wasiohusika ndio wanararamika sasa hii kitu mbona aingii kichwani
Ole wako uonyeshe magitaa ya kwaya kama asset zako utatukoma wenye hasira kaliacha kukwepa comment yangu nataka tushindane maisha mimi na wewe ya uhalisia.. je upo tayari..
unataja jina lako la kweli na tunaonana uso kwa uso na mashahidi wa jamiiforums...
tuone hizo laki mbili zako unazopata kila siku kwenye forex zimekupa mali kiasi gani..
mimi ni mkulima tu, mprint ma tshirt, mpiga picha na video na music producer tu wa kwaya...
kazi za mikono yangu zimenibariki... nakula.kwa jasho sio kwa kudownload hela na wizi wa ada za forex.... je upo tayari tusake mashahidi tuonane?
Umeshabwia unga?Naonaga nyuzi zinazohusu hii Forex huwa zinamtifuano kama zile za ccm na cdm.
Naomba namimi mnifundishe hii forex ni nn jamani