Ontario una kipaji sana, ushawishi wako ni kama mganga wa kienyeji au wachungaji feki

Ontario una kipaji sana, ushawishi wako ni kama mganga wa kienyeji au wachungaji feki

Status
Not open for further replies.
Wangeweka ushahidi,,pia wale wanaoenda darasan kusoma kwa ontario wangesema pia kwanini wasemee pm ina maana wanamuogopa ontario ama?
Si ndo hapo waliowahi kutapeliwa hapa jf wamewaanika wezi wao na wengine wamewakamata kabisa.

Sasa kama kuna aliyetapeliwa kwanini washindwe kusimamia ukweli wao ?

Naona harufu ya Dar forex Academy

Wanahakikisha wanamchafua jamaa wanavyoweza
 
upo tayari tushindane? tutafute mashahidi.. tuone mtu wa forex anayoyasema ni kweli.. na mimi muhuni wa mtaani naekula kwa jasho nani amefanikiwa zaidi? je tuanzishe thread ya kusaka mashahidi?? tuonane weekend... gari natoa na nafuta naweka ya kubeba mashahidi na mizunguko yote

Muhuni wa mtaani kwa kua hujui kusolve log

Sipo kushindana na wewe, shindana na mwalimu wangu alienifundisha fursa ya FOREX
 
mjinga wewe ningekuonesha mtaani tunavyosaka hela kwa jasho sio bla bla eti laki 2 faida kwa saa... unaijua laki mbili wewe kwa saa wewe...

watu under 30 tu ila tuna drive,tuna familia, tunasomesha, tunajenga, tuna biashara ndogo ndogo za jashoooo...

sio dume zima kama demu unajivunia mafanikio ya mwalimu wako... jivunie vya kwako...

na hayo mafanikio ya uliyemtaja mnamchangia nyie mazuzu ada zenu hizo... yeye haziweki forex anaenda ziwekezea kwenye real business zinazo solve real problems kama kilimo...

njoo nikufundishe hata kuprint tshirt bure ukajikomboe bwege wewe... usipende pesa za kufikirika...

toka jasho upate hela hata ukishushia na bia yako baada ya kazi nayo inakuwa inavuja jasho


Muhuni wa mtaani kwa kua hujui kusolve log

Sipo kushindana na wewe, shindana na mwalimu wangu alienifundisha fursa ya FOREX
 
mjinga wewe ningekuonesha mtaani tunavyosaka hela kwa jasho sio bla bla eti laki 2 faida kwa saa... unaijua laki mbili wewe kwa saa wewe...

watu under 30 tu ila tuna drive,tuna familia, tunasomesha, tunajenga, tuna biashara ndogo ndogo za jashoooo...

sio dume zima kama demu unajivunia mafanikio ya mwalimu wako... jivunie vya kwako...

na hayo mafanikio ya uliyemtaja mnamchangia nyie mazuzu ada zenu hizo... yeye haziweki forex anaenda ziwekezea kwenye real business zinazo solve real problems kama kilimo...

njoo nikufundishe hata kuprint tshirt bure ukajikomboe bwege wewe... usipende pesa za kufikirika...

toka jasho upate hela hata ukishushia na bia yako baada ya kazi nayo inakuwa inavuja jasho
Weee jamaa unauzi na kauri zako zakizezeta sasa mtu anayefanya Forex anapata hera kwa jasho lako au usiongee upuuzi jamaa arafu kuorodhesha shughuri zako uwo ni ushamba kwani nani aliyesema kuwa anaefanya Forex ajishughurishi na shughuri nyingine uko ni kufikiria kama mnyoo je ada amawaripia nani ya mafunzo na je pesa ya kuishi week mzima kwenye mafunzo vitu vingine mfikirie sio kuandika andika tu kama uwezi Forex kaa kimya arafu ujaambiwa kwamba Forex ni kwa kila mtu

Forex for talented people
 
5db5a8da28d14888fa272fb8b2bfc6be.jpg
$1450 x 2240 = 3,250,000

Tutatapeli mpaka DSE. Subiri!!
 
mjinga wewe ningekuonesha mtaani tunavyosaka hela kwa jasho sio bla bla eti laki 2 faida kwa saa... unaijua laki mbili wewe kwa saa wewe...

watu under 30 tu ila tuna drive,tuna familia, tunasomesha, tunajenga, tuna biashara ndogo ndogo za jashoooo...

sio dume zima kama demu unajivunia mafanikio ya mwalimu wako... jivunie vya kwako...

na hayo mafanikio ya uliyemtaja mnamchangia nyie mazuzu ada zenu hizo... yeye haziweki forex anaenda ziwekezea kwenye real business zinazo solve real problems kama kilimo...

njoo nikufundishe hata kuprint tshirt bure ukajikomboe bwege wewe... usipende pesa za kufikirika...

toka jasho upate hela hata ukishushia na bia yako baada ya kazi nayo inakuwa inavuja jasho

Moyo utakuchoma sana na utakufa kwa wivu? unajisifia familia, unajisifia kuprinti tsht ambazo naweza kujifunza youtube, unajisifia biashara ndogondogo ambazo hata mimi nafanya

mimi najisifia degree ambayo mpaka unakufa huwezi kuipata, najua ulisoma ila F F F F unazo za kutosha koo kaa pembeni
 
achana nae nyumbu huyo.. anaona watu mazuzu.. ndugu zake maskini na yeye mwenyewe maskini mimi nimejitolea tushindane nae maisha jina halisi nalitaja na tuonane tunapoishi na mali tunazomiliki... nani kamzidi mwenzake...

anafikiri watu mazuzu humu
Huna unachomiliki zaidi ya watoto ambao hamkufuata family planing na mkeo
 
Uyo sio Ontario jamaa namjua niko nae group moja la Forex tunapiga Hera sasa kinachoshangaza watu mwenyewe wanaoifanya Forex awararamiki lakini wengine wasiohusika ndio wanararamika sasa hii kitu mbona aingii kichwani
Hebu ni add huko chap
 
acha kukwepa comment yangu nataka tushindane maisha mimi na wewe ya uhalisia.. je upo tayari..

unataja jina lako la kweli na tunaonana uso kwa uso na mashahidi wa jamiiforums...

tuone hizo laki mbili zako unazopata kila siku kwenye forex zimekupa mali kiasi gani..


mimi ni mkulima tu, mprint ma tshirt, mpiga picha na video na music producer tu wa kwaya...

kazi za mikono yangu zimenibariki... nakula.kwa jasho sio kwa kudownload hela na wizi wa ada za forex.... je upo tayari tusake mashahidi tuonane?
Ole wako uonyeshe magitaa ya kwaya kama asset zako utatukoma wenye hasira kali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom