koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,763
- 5,167
👃 Nose wengine walikua wanarekebisha masikioHawa Walikuwa wana kuza vichwa!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👃 Nose wengine walikua wanarekebisha masikioHawa Walikuwa wana kuza vichwa!??
kwa hiyo conclusion ni kuwa watanzania ni vilaza.. karibu sekta zoteMadaktari wengi wa Tanzania kama walivyo wataalam wa sekta karibu zote ni vilaza. Ndiyo maana wenye fedha wanaenda nje. Kupelekwa kutibiwa nao siyo hoja na hata akiwasifu haiwafanyi wawe wazuri.
Ni muhimu kuanza kuliko kuogopa kuanza watakao fanikiwa ni sawa ambao hawatafanikiwa wafanya operation watapata uzoefu kupititia wao,miaka itakavyokwenda ndivyo ubora utakavyo ongezeka ,narudia ni bora kuanza kuliko kuogopa kuanzaMloganzila wanajitangaza kwamba wanataka kuanza kukuza makalio. Lakini najiuliza, kwa utaalamu upi? Kwa umakini upi? Wa watu wapi? Hawa hawa wanaosahau mikasi tumboni mwa wagonjwa? Hawa hawa wanapasua kichwa badala ya mguu?
Hawa hawa walioshindwa kuwaokoa majeruhi wa ajali ya moto ya Msamvu mpaka wakafa wote? Hawa hawa wanaopasua utumbo mpana wakati mgonjwa anaumwa appendicitis??
Mloganzila wataleta maafa makubwa kwa akina dada ktk huduma yao hii mpya ya kukuza makalio. Mpaka leo kule Uingereza huduma hii Ina 67% ya kufanyika vizuri (operesheni 33% za huduma hii huleta madhara huko Uingereza).
Chonde chonde akina dada mtaoza makalio.
Tutegemee kuona TAKO moja refu upande lingine fupiAcha waoze...
Si wanamkosoa Mungu ..
Yes. Ni kitui gani tumeweza kufanya na kikanyooka?kwa hiyo conclusion ni kuwa watanzania ni vilaza.. karibu sekta zote
including sekta uliyopo wewe.
yanaingilia huku, yanatokea kuleHawa ni mbuzi
Mimi nadhani kwa matibabu amabyo ni ya urembo, wanatakiwa wapate ridhaa ya Serikali kwanza, na si kwa wao kujiamulia tuMloganzila wanajitangaza kwamba wanataka kuanza kukuza makalio. Lakini najiuliza, kwa utaalamu upi? Kwa umakini upi? Wa watu wapi? Hawa hawa wanaosahau mikasi tumboni mwa wagonjwa? Hawa hawa wanapasua kichwa badala ya mguu?
Hawa hawa walioshindwa kuwaokoa majeruhi wa ajali ya moto ya Msamvu mpaka wakafa wote? Hawa hawa wanaopasua utumbo mpana wakati mgonjwa anaumwa appendicitis??
Mloganzila wataleta maafa makubwa kwa akina dada ktk huduma yao hii mpya ya kukuza makalio. Mpaka leo kule Uingereza huduma hii Ina 67% ya kufanyika vizuri (operesheni 33% za huduma hii huleta madhara huko Uingereza).
Chonde chonde akina dada mtaoza makalio.
uzi tayari
uzi wako wa ujumla wake una kejeli taaluma ya udaktari na madaktari wa Tanzania..
mapungufu unayosema yanaonesha jinsi gani una chuki binafsi.
Ajali ya Moto .. Mtu akisha ungua 80% ya mwili , hata india huko uwezekano wa kupona ni mdogo.. lakini pia kwenye hiyo ajali wapo walio pona.
Kupasua kichwa badala ya goti. issue ilisha kuwa solved kitambo.. siyo kosa la daktari.. ndiyo maana hao madaktari wapo kazini hadi hivi leo.
Mbona husemi kuhusu kupona kwa prof J, na wagonjwa wengine mahututi,
Mbona husemi kupona kwa yule jamaa alipata ajali ya mwendokasi..
licha ya mazingira magumu, na posho kiduchu na kufanya kazi under pressure ya kisiasa Madaktari wa Tanzania wana jitahidi sana..
Kuhusu hizo operation -
-Kwanza kwa kuanzia watakuwa na madaktari kutoka India
- Ukiona wame amua kufanya hivo, basi ujue wameji ridhisha , na wataalamu wanaweza.
hakuna daktari anayefurahia kufanya kitu kika mdhuru mgonjwa
ni rahis kubwabwaja hapa.. ila siku yaki kufika utapelekwa kwa hao hao madaktari unao wakashfu.. na utakuwa unawasikiliza kwa kila kitu.
Kusema walifungua kwa asilimia kubwa ni uwongo wa kuzimu. Watu wamekaa siku 3 Morogoro. Baadaye wakahamishiwa Muhimbili mkawalaza juu ya vitanda badala ya kuwaweka kwenye majokofu watu ambao ngozi (thermoregulator) imeharibiwa na moto. Hata hivyo huko Muhimbili walikaa zaidi ya wiki ndipo wakafa. Ni kukosa weledi. Mpo mpo tu.Swala la Mafuta kule Morogoro unawalaumu madaktari bure. Wengi waliungua kwa asilimia kubwa sana. Hata hivyo, kuna waliookolewa. Hapa ulifurahisha jukwaa.
mfu mtarajiwa hawezi kumfufua mfu....ukikubaliana nao basi kubali piah wanaweza kuumbaHii dunia bhana!,Maarifa yanatupeleka kubaya kiasi cha kumkufuru Mungu wetu,Juzi kuna Sehemu nimeona andiko kuwa Wanasayansi kufika mwaka 2040 watakuwa na uwezo wa kufufua wafu.Hii ni ajabu.Tuombe tu Mungu aturehemu.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app