ONYO kwa akina dada wote kuhusu huduma ya kukuza makalio itakayoanza kutolewa Mloganzila

ONYO kwa akina dada wote kuhusu huduma ya kukuza makalio itakayoanza kutolewa Mloganzila

Madaktari wengi wa Tanzania kama walivyo wataalam wa sekta karibu zote ni vilaza. Ndiyo maana wenye fedha wanaenda nje. Kupelekwa kutibiwa nao siyo hoja na hata akiwasifu haiwafanyi wawe wazuri.
Siku upate tumbo la kuhara damu+corona ndio utajua umuhimu wa hawa watu unaowaita vilaza...yaweza kua unawaita vilaza wamekuzidi kila kitu.
 
Kusema walifungua kwa asilimia kubwa ni uwongo wa kuzimu. Watu wamekaa siku 3 Morogoro. Baadaye wakahamishiwa Muhimbili mkawalaza juu ya vitanda badala ya kuwaweka kwenye majokofu watu ambao ngozi (thermoregulator) imeharibiwa na moto. Hata hivyo huko Muhimbili walikaa zaidi ya wiki ndipo wakafa. Ni kukosa weledi. Mpo mpo tu.

Kama unaofanywa na wataalamu toka nje basi andikeni kuwa wataalamu toka nje watakuja Tanzania kukuza makalio. Msiiitaje Mloganzila ambayo huku uraiani inajukqna kama chinjachinja kwasabb ya udumavu wa ujuzi wa madaktari.
Ufahamu wako mdogo sana,unajua mtu akiungua sababu kubwa ya kifo chake hua ni nini?acha ujuaji...hao unaowaponda utumbo ukifunga utawakimbilia wakupasue,...lakin umekaa nyuma ya keyboard unajifanya hero kuponda watu ambao wanafanya kazi kubwa kuokoa uhai wa watu tena wakati mwingine wana risk maisha yao...wewe ni mjinga.
 
I love this post. I showed this post to my family & they also loved this post.we bought a projector & showed this post to the whole neighborhood & they also loved this post. Our lives have changed because of this post. We are grateful to you for this post,Thank you so much for this post..
 
Mwisho wa siku kuzeeka kuko pale pale na thamani kushuka iko pale pale...tena stress zitaongezeka unajua unaelekea kufa urudi kwa muumba wako na tako Feki ambalo hakukupa.... 🤣
 
Uzi Tayari 😂😂

Uzi wako wa ujumla wake una kejeli taaluma ya udaktari na madaktari wa Tanzania.

Mapungufu unayosema yanaonesha jinsi gani una chuki binafsi.

Ajali ya moto

Mtu akisha ungua 80% ya mwili, hata India au Marekani huko uwezekano wa kupona ni mdogo, lakini pia kwenye hiyo ajali wapo walio pona kwa matibabu ya madaktari hao hao.

Kupasua kichwa badala ya goti.

Issue ilisha kuwa solved kitambo, tena jwa tume iliyoundwa na serikali. Halikuwa kosa la daktari. Ndiyo maana hao madaktari wapo kazini hadi hivi leo, wanaendelea na upasuaji kama kawa.

Mbona husemi kuhusu kupona kwa Prof. J na wagonjwa wengine mahututi ambao wameponea mikononi mwa madaktari hao hao?

Mbona husemi kupona kwa yule jamaa alipata ajali ya mwendokasi? Hata watu maarufu kama Mufti na Askofu Ruwa 'ichi walipata changamoto na wakatibiwa hapa hapa.

Kila leo operations za moyo zina fanyika Muhimbili, na wagonjwa wana pona.

Licha ya mazingira magumu, na posho kiduchu, na kufanya kazi under pressure za kisiasa (mfano issue ya kusema watoto na wazee bure, issue ya bima kwa watoto, issue ya kusema consultation fee ni hela ya kumuona daktari), madaktari wa Tanzania wana jitahidi sana. Ukiangalia ranks za mishahara na nchi zingine za Afrika Mashariki, utagundua take-home za madokta Bongo ni dhaifu sana. Ndiyo maana mna wachukulia poa.

Facts.

Hata Kenya kuna baadhi ya vitu wanakuja kujifunza Tanzania, mfano Emergency medicine hawana kule kwao. Ila kuna Mtanzania wewe una negative attitude na vya kwenu.

Jiulize kwa nini Wasudan wameamua kuja Tanzania na siyo nchi nyingine? Kujifunza kwa hao hao madaktari unaosema vilaza?!

Malawi Zambia hawana kabisa vyuo vya madaktari wa meno. Wana kuja Bongo ku take notes.

Hospitali ya kanda ya Mbeya imepewa tuzo maalumu ukanda huu wa SADEC kwa kufanya vizuri kwenye Kaizen Five S. Mataifa mbalimbali wana kuja kujifunza. Wana jifunza kwa hao hao unao waita vilaza?!

Kuhusu hizo operation

-Kwanza kwa kuanzia watakuwa na madaktari kutoka India.

Hii ni kawaida kufanya na wazoefu.
Ukiona wameamua kufanya hivyo, basi ujue kuna jopo lilisha tumwa kabla na wamejiridhisha na utaalamu wanaweza.
Bilashaka "watu wa system" wameridhia hii kitu. Wameona faida na madhara.

-Hakuna daktari anayefurahia kufanya kitu kika mdhuru mgonjwa.

Ni rahis kubwabwaja hapa. Ila siku yakifika utapelekwa kwa hao hao madaktari unao wakashfu. Na utakuwa unawasikiliza kwa kila kitu.
Thread closed
 
Siku upate tumbo la kuhara damu+corona ndio utajua umuhimu wa hawa watu unaowaita vilaza...yaweza kua unawaita vilaza wamekuzidi kila kitu.
Narudia. Wengi ni vilaza. Na wataalam wazuri wapo. Kama ni kuugua na kutibiwa basi nimeshatibiwa sana na madaktari wetu. Na nimeona wengi sana wakifanya matibabu ya ukilaza.
 
Uzi Tayari 😂😂

Uzi wako wa ujumla wake una kejeli taaluma ya udaktari na madaktari wa Tanzania.

Mapungufu unayosema yanaonesha jinsi gani una chuki binafsi.

Ajali ya moto

Mtu akisha ungua 80% ya mwili, hata India au Marekani huko uwezekano wa kupona ni mdogo, lakini pia kwenye hiyo ajali wapo walio pona kwa matibabu ya madaktari hao hao.

Kupasua kichwa badala ya goti.

Issue ilisha kuwa solved kitambo, tena jwa tume iliyoundwa na serikali. Halikuwa kosa la daktari. Ndiyo maana hao madaktari wapo kazini hadi hivi leo, wanaendelea na upasuaji kama kawa.

Mbona husemi kuhusu kupona kwa Prof. J na wagonjwa wengine mahututi ambao wameponea mikononi mwa madaktari hao hao?

Mbona husemi kupona kwa yule jamaa alipata ajali ya mwendokasi? Hata watu maarufu kama Mufti na Askofu Ruwa 'ichi walipata changamoto na wakatibiwa hapa hapa.

Kila leo operations za moyo zina fanyika Muhimbili, na wagonjwa wana pona.

Licha ya mazingira magumu, na posho kiduchu, na kufanya kazi under pressure za kisiasa (mfano issue ya kusema watoto na wazee bure, issue ya bima kwa watoto, issue ya kusema consultation fee ni hela ya kumuona daktari), madaktari wa Tanzania wana jitahidi sana. Ukiangalia ranks za mishahara na nchi zingine za Afrika Mashariki, utagundua take-home za madokta Bongo ni dhaifu sana. Ndiyo maana mna wachukulia poa.

Facts.

Hata Kenya kuna baadhi ya vitu wanakuja kujifunza Tanzania, mfano Emergency medicine hawana kule kwao. Ila kuna Mtanzania wewe una negative attitude na vya kwenu.

Jiulize kwa nini Wasudan wameamua kuja Tanzania na siyo nchi nyingine? Kujifunza kwa hao hao madaktari unaosema vilaza?!

Malawi Zambia hawana kabisa vyuo vya madaktari wa meno. Wana kuja Bongo ku take notes.

Hospitali ya kanda ya Mbeya imepewa tuzo maalumu ukanda huu wa SADEC kwa kufanya vizuri kwenye Kaizen Five S. Mataifa mbalimbali wana kuja kujifunza. Wana jifunza kwa hao hao unao waita vilaza?!

Kuhusu hizo operation

-Kwanza kwa kuanzia watakuwa na madaktari kutoka India.

Hii ni kawaida kufanya na wazoefu.
Ukiona wameamua kufanya hivyo, basi ujue kuna jopo lilisha tumwa kabla na wamejiridhisha na utaalamu wanaweza.
Bilashaka "watu wa system" wameridhia hii kitu. Wameona faida na madhara.

-Hakuna daktari anayefurahia kufanya kitu kika mdhuru mgonjwa.

Ni rahis kubwabwaja hapa. Ila siku yakifika utapelekwa kwa hao hao madaktari unao wakashfu. Na utakuwa unawasikiliza kwa kila kitu.
Daktari umejibu kwa uchungu sana pole sana!
 
Mloganzila wanajitangaza kwamba wanataka kuanza kukuza makalio. Lakini najiuliza, kwa utaalamu upi? Kwa umakini upi? Wa watu wapi? Hawa hawa wanaosahau mikasi tumboni mwa wagonjwa? Hawa hawa wanapasua kichwa badala ya mguu?

Hawa hawa wanaomdunga ganzi nyingi kupitia kiasi (overdose) mama anayejifungua kwa operesheni na kusababisha miguu na mikono kuoza??

Hawa hawa walioshindwa kuwaokoa majeruhi wa ajali ya moto ya Msamvu mpaka wakafa wote? Hawa hawa wanaopasua utumbo mpana wakati mgonjwa anaumwa appendicitis??

Mloganzila wataleta maafa makubwa kwa akina dada ktk huduma yao hii mpya ya kukuza makalio. Mpaka leo kule Uingereza huduma hii Ina 67% ya kufanyika vizuri (operesheni 33% za huduma hii huleta madhara huko Uingereza).

Chonde chonde akina dada mtaoza makalio.
Ngoja Tako Moja lifike kwenye goti ,lingine kwenye mbavu ndio wataelewa.
 
Mloganzila wanajitangaza kwamba wanataka kuanza kukuza makalio. Lakini najiuliza, kwa utaalamu upi? Kwa umakini upi? Wa watu wapi? Hawa hawa wanaosahau mikasi tumboni mwa wagonjwa? Hawa hawa wanapasua kichwa badala ya mguu?

Hawa hawa wanaomdunga ganzi nyingi kupitia kiasi (overdose) mama anayejifungua kwa operesheni na kusababisha miguu na mikono kuoza??

Hawa hawa walioshindwa kuwaokoa majeruhi wa ajali ya moto ya Msamvu mpaka wakafa wote? Hawa hawa wanaopasua utumbo mpana wakati mgonjwa anaumwa appendicitis??

Mloganzila wataleta maafa makubwa kwa akina dada ktk huduma yao hii mpya ya kukuza makalio. Mpaka leo kule Uingereza huduma hii Ina 67% ya kufanyika vizuri (operesheni 33% za huduma hii huleta madhara huko Uingereza).

Chonde chonde akina dada mtaoza makalio.
IMG-20231013-WA0030.jpg
 
Uzi Tayari [emoji23][emoji23]

Uzi wako wa ujumla wake una kejeli taaluma ya udaktari na madaktari wa Tanzania.

Mapungufu unayosema yanaonesha jinsi gani una chuki binafsi.

Ajali ya moto

Mtu akisha ungua 80% ya mwili, hata India au Marekani huko uwezekano wa kupona ni mdogo, lakini pia kwenye hiyo ajali wapo walio pona kwa matibabu ya madaktari hao hao.

Kupasua kichwa badala ya goti.

Issue ilisha kuwa solved kitambo, tena jwa tume iliyoundwa na serikali. Halikuwa kosa la daktari. Ndiyo maana hao madaktari wapo kazini hadi hivi leo, wanaendelea na upasuaji kama kawa.

Mbona husemi kuhusu kupona kwa Prof. J na wagonjwa wengine mahututi ambao wameponea mikononi mwa madaktari hao hao?

Mbona husemi kupona kwa yule jamaa alipata ajali ya mwendokasi? Hata watu maarufu kama Mufti na Askofu Ruwa 'ichi walipata changamoto na wakatibiwa hapa hapa.

Kila leo operations za moyo zina fanyika Muhimbili, na wagonjwa wana pona.

Licha ya mazingira magumu, na posho kiduchu, na kufanya kazi under pressure za kisiasa (mfano issue ya kusema watoto na wazee bure, issue ya bima kwa watoto, issue ya kusema consultation fee ni hela ya kumuona daktari), madaktari wa Tanzania wana jitahidi sana. Ukiangalia ranks za mishahara na nchi zingine za Afrika Mashariki, utagundua take-home za madokta Bongo ni dhaifu sana. Ndiyo maana mna wachukulia poa.

Facts.

Hata Kenya kuna baadhi ya vitu wanakuja kujifunza Tanzania, mfano Emergency medicine hawana kule kwao. Ila kuna Mtanzania wewe una negative attitude na vya kwenu.

Jiulize kwa nini Wasudan wameamua kuja Tanzania na siyo nchi nyingine? Kujifunza kwa hao hao madaktari unaosema vilaza?!

Malawi Zambia hawana kabisa vyuo vya madaktari wa meno. Wana kuja Bongo ku take notes.

Hospitali ya kanda ya Mbeya imepewa tuzo maalumu ukanda huu wa SADEC kwa kufanya vizuri kwenye Kaizen Five S. Mataifa mbalimbali wana kuja kujifunza. Wana jifunza kwa hao hao unao waita vilaza?!

Kuhusu hizo operation

-Kwanza kwa kuanzia watakuwa na madaktari kutoka India.

Hii ni kawaida kufanya na wazoefu.
Ukiona wameamua kufanya hivyo, basi ujue kuna jopo lilisha tumwa kabla na wamejiridhisha na utaalamu wanaweza.
Bilashaka "watu wa system" wameridhia hii kitu. Wameona faida na madhara.

-Hakuna daktari anayefurahia kufanya kitu kika mdhuru mgonjwa.

Ni rahis kubwabwaja hapa. Ila siku yakifika utapelekwa kwa hao hao madaktari unao wakashfu. Na utakuwa unawasikiliza kwa kila kitu.
Nimeangalia ID zilizo like hii reply. Ni mawili kuwa umejibu kitaalam zaidi ama waTz tunapenda hizi operation zifanyike hapa hapa nchini.
Ina fikirisha.
 
Mloganzila wanajitangaza kwamba wanataka kuanza kukuza makalio. Lakini najiuliza, kwa utaalamu upi? Kwa umakini upi? Wa watu wapi? Hawa hawa wanaosahau mikasi tumboni mwa wagonjwa? Hawa hawa wanapasua kichwa badala ya mguu?

Hawa hawa wanaomdunga ganzi nyingi kupitia kiasi (overdose) mama anayejifungua kwa operesheni na kusababisha miguu na mikono kuoza?

Hawa hawa walioshindwa kuwaokoa majeruhi wa ajali ya moto ya Msamvu mpaka wakafa wote? Hawa hawa wanaopasua utumbo mpana wakati mgonjwa anaumwa appendicitis??

Mloganzila wataleta maafa makubwa kwa akina dada ktk huduma yao hii mpya ya kukuza makalio. Mpaka leo kule Uingereza huduma hii Ina 67% ya kufanyika vizuri (operesheni 33% za huduma hii huleta madhara huko Uingereza).

Chonde chonde akina dada mtaoza makalio.
Wanaofanya sio wao wanakuja wataalam kutoka nje ya nchi wanawafundisha mpaka wapate uzoefu wakutosha ndio watawaachia watanzani.
 
Wadada wenzangu uwe na kalio kama chapati
Liwe na mabonde na milima ya usambara
Baki hivyo hivyo usijaribu kumkufuru muumbaji
Ukijichanganya na huo upasuaji tako likianza kuporomoka na kuoza utamtafuta mchawi kumbe ni wew mwenyew
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani

Ila wanaume eti wanawatisha Sasa...

Hawajui wanachotaka...
hata ujichanue vipi, wanaume hawaridhiki, ni kama kunguru, unampa chakula kizuri anacha anakwenda kula mzoga.
 
Back
Top Bottom