ONYO kwa akina dada wote kuhusu huduma ya kukuza makalio itakayoanza kutolewa Mloganzila

Mkuu,
Umeongea ukweli kwa upande wako, ila kama zilivyo kada zingine hapa nchini, mambo mengi yanafanyika chini ya kiwango either kwa kupanga au uwezo duni, na madaktari hawawekwi nyuma katika hili.

Nchi hii negligence ni tatizo sugu, tukiweza kudhibiti hilo hali inaweza kubadilika.
 
Umenifanya machozi yanilenge lenge mkewangu alijifungua kwa kisu miaka 6 iliopita lakini mikono na miguu aifanyi kazi vizuli ganzi,watu weusi alie tuloga alisha kufa jamani
 
Nenda kwa masawe hapo jirani kapate pepsi baridi.
 
Uko na picha tuone?
 
Nabii hakubaliki nyumbani kwake.
Humu wajuaji na wenye kejeli ni wengi.
Wamesema vizuri kwenye Ile taaarifa upasuaji utaongozwa na daktari flani mgeni. Jina lake wamelitaja kabisa.

Watu wamefany a upasuaji wa moyo na kichwa utakuwa huu wa urembo?
 
Chunga Tako lako.
 
Umenifanya machozi yanilenge lenge mkewangu alijifungua kwa kisu miaka 6 iliopita lakini mikono na miguu aifanyi kazi vizuli ganzi,watu weusi alie tuloga alisha kufa jamani
Yaani "madaktari" wa nchi hii wanapswa kuwa jela wote. Nawaita "madaktari" kwenye inverted commas, kwasabb hawana utaalamu wa udaktati hivyo wameua watu wengi sana.

Visa vya kina mama kuoza miguu na mikono kwasabb tu ya utaalamu feki wa hao wanaojiita madaktari. Inauma sana.
 
Nabii hakubaliki nyumbani kwake.
Humu wajuaji na wenye kejeli ni wengi.
Wamesema vizuri kwenye Ile taaarifa upasuaji utaongozwa na daktari flani mgeni. Jina lake wamelitaja kabisa.

Watu wamefany a upasuaji wa moyo na kichwa utakuwa huu wa urembo?
Mxiuuuu!!
 
Pongezi umeona mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…