ONYO kwa akina dada wote kuhusu huduma ya kukuza makalio itakayoanza kutolewa Mloganzila

Madaktari wengi wa Tanzania kama walivyo wataalam wa sekta karibu zote ni vilaza. Ndiyo maana wenye fedha wanaenda nje. Kupelekwa kutibiwa nao siyo hoja na hata akiwasifu haiwafanyi wawe wazuri.
Siku upate tumbo la kuhara damu+corona ndio utajua umuhimu wa hawa watu unaowaita vilaza...yaweza kua unawaita vilaza wamekuzidi kila kitu.
 
Ufahamu wako mdogo sana,unajua mtu akiungua sababu kubwa ya kifo chake hua ni nini?acha ujuaji...hao unaowaponda utumbo ukifunga utawakimbilia wakupasue,...lakin umekaa nyuma ya keyboard unajifanya hero kuponda watu ambao wanafanya kazi kubwa kuokoa uhai wa watu tena wakati mwingine wana risk maisha yao...wewe ni mjinga.
 
I love this post. I showed this post to my family & they also loved this post.we bought a projector & showed this post to the whole neighborhood & they also loved this post. Our lives have changed because of this post. We are grateful to you for this post,Thank you so much for this post..
 
Mwisho wa siku kuzeeka kuko pale pale na thamani kushuka iko pale pale...tena stress zitaongezeka unajua unaelekea kufa urudi kwa muumba wako na tako Feki ambalo hakukupa.... 🤣
 
Thread closed
 
Siku upate tumbo la kuhara damu+corona ndio utajua umuhimu wa hawa watu unaowaita vilaza...yaweza kua unawaita vilaza wamekuzidi kila kitu.
Narudia. Wengi ni vilaza. Na wataalam wazuri wapo. Kama ni kuugua na kutibiwa basi nimeshatibiwa sana na madaktari wetu. Na nimeona wengi sana wakifanya matibabu ya ukilaza.
 
Daktari umejibu kwa uchungu sana pole sana!
 
Ngoja Tako Moja lifike kwenye goti ,lingine kwenye mbavu ndio wataelewa.
 
 
Nimeangalia ID zilizo like hii reply. Ni mawili kuwa umejibu kitaalam zaidi ama waTz tunapenda hizi operation zifanyike hapa hapa nchini.
Ina fikirisha.
 
Wanaofanya sio wao wanakuja wataalam kutoka nje ya nchi wanawafundisha mpaka wapate uzoefu wakutosha ndio watawaachia watanzani.
 
Wadada wenzangu uwe na kalio kama chapati
Liwe na mabonde na milima ya usambara
Baki hivyo hivyo usijaribu kumkufuru muumbaji
Ukijichanganya na huo upasuaji tako likianza kuporomoka na kuoza utamtafuta mchawi kumbe ni wew mwenyew
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani

Ila wanaume eti wanawatisha Sasa...

Hawajui wanachotaka...
hata ujichanue vipi, wanaume hawaridhiki, ni kama kunguru, unampa chakula kizuri anacha anakwenda kula mzoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…