Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

Mshahara wa dhambi ni mauti

Dhambi ni dhambi !

Dunia ya ajabu hii Yani unaona kuna dhambi ni nafuu [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chagua habari ya kusoma Ili usikereke mkuu
 
"khee kheee kheee alo acha ushamba we mwanaume" ndio kauli ya mwisho niliyoambiwa na yule mwanamke.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji1][emoji38]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ahsanteee

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe besti angu unajitambua,Mungu anisaidie mpk ktk umri huu sijawhai na sitarajii naogopaa Sana hyo dhambi no tamaa na ujuha tu wanawake!pese yenyewe mbuzi tu wanayopewa ni upuuzi kwa mwanamke kukubali kuingiliwa nyuma ya maumbile

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
SUBHAAANAAA llaaahh!!!na jina lako lilivyo zuri plus jina la mzazi wako!
Mola wako akusamehe juu ya Hilo na utambue ufanyie ni Kosa kubwa Sana kufanya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Astaghfirullah [emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji848][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unapata mwanamke wa kufafana nae mkuu. Wanawake tunao kuwa nao tupo nao katika tamaduni moja. Kama mie sio mfiraji na jamii yangu haina wafiraji na mke wangu sio mfirwaji. Na haitakaa akafirwa kama vile uaivyoweza kufanya mambo flani pia
Amiyn amiyn Mungu awalindie kizazi chenu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuambii haliwi nyuma mkuu. Na hajawai kuliwa nyuma na haitokaa akaliwa nyuma mzee.. Ebu kuwa muelewa. Unataka kuniambia wanawake wote dunia wanaliwa nyuma au wataliwa nyuma?
Sio kweli Wapo wanaojiheshimu na kuheshimu miiko,wasitake kutuona wanawake wote makahaba wafirwaji tafadhali tupo tunaiheshimu bado Mila na desturi za dini zetu na jamii zetu!
Mimi sipendi hii generalization ya kusema wanawake wote wanafirwa Wapo wanaojiheshimu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watu wameharibikiwa kweli kweli best[emoji22][emoji22]
Mungu atunusuru na vizazi vyetu Bora nionekane mshamba aseehh!Ila sisapoti hyo kitu kwa kweli tena wanaishangilia kabisaa!![emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]daahh!!
Kudhihirisha dhambi ni kibri kikubwa Sana jamani!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuto ku practise anal sex, sio ushamba, bali ujanja na akili timamu. Mtu anae chezea mavi ya mwenzake unafikiri yupo timamu kweli 😳
 
Kuto ku practise anal sex, sio ushamba, bali ujanja na akili timamu. Mtu anae chezea mavi ya mwenzake unafikiri yupo timamu kweli 😳
Kutofautiana mitazamo hakumfanyi MTU kuwa mjanja Wala mjinga, sijui hii dhana watu wanaipata wapi!
 
Waambie mkuu wapashe kabisa tena ikibidi hata wale wenye mtandao wa simu za mkononi wape vipande vyao wabadili jina la kampuni kwasababu lina vimelea vya tabia hizo na ndiyo linawapa kiburi wenye tabia hizo...ushahidi ni misemo yao
  1. Jazwa ujazwe
  2. Cha asubuhi
  3. Nasikia wanajiandaa kuleta kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…