Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako

Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao hilo hawalijui

Hakuna kitu kitamuumiza mwanaume kama atambue huyu demu/mwanamke wake/mke alishawahi kutoa kwa mpalange

Na kuna baadhi ya wanawake wengine wanapata ujasiri kabisa ukiwa nao faragha wanakuuliza maswali ya kimtego ili wajue ni mpenzi wa hayo mambo ili wakuachie tundu.

Wanawake wengi wao wanachomoa(wamechomoa)mimba sana hii pia nayo ni changamoto sana kwa hiki kizazi cha sasa

Haya ni mambo ambayo huwa yanaumiza sana sana kwa sisi wanaume endapo yakitokea kujua(background) huwa INAUMA na KUVUNJA MOYO

Utafiti wangu katika wanawake 10 bhas wanawake 4 katika 10 wameshashiriki mapenzi na kinyume na maumbile hii ni mbaya sana kidini na kiafya

KATIKA JAMBO LA KUHITAJI MWANAMKE WA MAISHA INAKUPASA UMLIMLIE MOLA WAKO SANA KAMA MUISLAM SWALI SANA HUKU UKIOMBA HILO NA KAMA MKRISTO BHAS NENDA KANISANI


ONYO KWA WADADA: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo hapo unajidanganya hakuna mwanaume mwenye akili hizo kama yupo bhas jua huyo ni TAHIRA MWENZIO
Wapumbavu sana..mi ukiniomba jicho na mapenzi yataishia hapo.
 
Wapumbavu sana..mi ukiniomba jicho na mapenzi yataishia hapo.

Kuna wadada bila kukupa jicho anaona kama hakuna mapenzi... nenda mitaa ya jiji ya Dar es Salaam fanya utafiti.... kwa wale tuliokuwa tunatembea na Watoto wa kike wa uswahilini tunaelewa hii kitu yaani balaa..
Ila Hongera sana kwa msimamo wako @Christina George
 
Kadri miaka inavyokwenda na ndio waoaji wanavyozidi kupungua, walaji jicho/waliwa jicho wanazidi kuongezeka, cha kusikitisha zaidi walaji wa jicho hawataki kuwaoa waliwa jicho.

Tumuombe sana Mungu kwa kweli.​

Lakini wewe unaemla mwenzio jicho unategemea nani aoe mliwa jicho? Na wewe ulieliwa jicho kwanini utake kuolewa na asiekula jicho? Hebu jiulize kwanini mla jicho hataki kuoa alieliwa jicho?

Yatupasa kubadilika, kuna vitendo ni kinyume na utu na ubinadamu. Lakini pia tukumbuke[emoji116][emoji116]
1. Wema hauozi
2. Ubaya hausahauliki
3. Mlipaji yuko hai daima

*Ukifanya jema au baya, malipo ni hapa hapa duniani.
 
Heshima kwenu wakubwa na wadogo

Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwenye mahusiano yapata mwaka sasa.Siku za hivi karibuni ameanza kuniogopesha baada ya kukiri kwamba anataka anipe mkund* nijilie.

Binafsi sio muumini wa mambo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile mana toka nizaliwe sijawahi kutamani kufanya mapenzi na mwanamke kwa kutumia mlango wa pili na ndio maana kauli yale imenishangaza kiasi flani.

Nilimuuliza je ushawahi kufanya mapenzi kinyume na maumbile kasema hapana sasa nikamwambia mbona huogopi akasema anaogopa ila anataka nijaribu kumfanya nyuma mana anaona mitandaoni wanawake wakihadithia kwamna ule mchezo ni mtamu so anataka mimi nimuingilie ili aone kama ni kweli kinachosemekana.

Binafsi nimemuelezea baadhi ya athari za kufanya mapenzi kinyume na maumbile mfano kupata tabu wakati wa kujifungua, kupata magonjwa ya zinaa kirahisi ikiwemo HIV ila tatizo lake anapenda sana kuangalia Anal Sex kitu kinachompelekea kuzidi kutamani kushiriki mapenzi ya namna hiyo.

Imefikia wakiti nimehisi huenda alishawahi kufanya siku za nyuma ila hataki kunambia ukweli kwa kuhisi huenda nitamuacha mana anajua kabisa kwamba mimi sio muumini wa masuala hayo ya kishetani.

Nawaza kumuacha huyu mwanamke ili apate mpenzi mwingine atakae kubali kushiriki nae tendo kinyume na maumbile

Je, nikimuacha nitakua nimefanya maamuzi sahihi au nimpe muda nione kama atajirekebisha na kuachana na mawazo hayo?
 
Back
Top Bottom