Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka mpaka mbavu zimeumaUwekage na namba zake za simu nawewe..!! Uoni watu wanavyoteuliwa?
nyara ,hahqhaaaaaaMwambie hiyo ni mali ya serikali asitumie....
Cc Amber ruthy
Heshima kwenu wakubwa na wadogo
Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwenye mahusiano yapata mwaka sasa.Siku za hivi karibuni ameanza kuniogopesha baada ya kukiri kwamba anataka anipe mkund* nijilie.
Binafsi sio muumini wa mambo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile mana toka nizaliwe sijawahi kutamani kufanya mapenzi na mwanamke kwa kutumia mlango wa pili na ndio maana kauli yale imenishangaza kiasi flani.
Nilimuuliza je ushawahi kufanya mapenzi kinyume na maumbile kasema hapana sasa nikamwambia mbona huogopi akasema anaogopa ila anataka nijaribu kumfanya nyuma mana anaona mitandaoni wanawake wakihadithia kwamna ule mchezo ni mtamu so anataka mimi nimuingilie ili aone kama ni kweli kinachosemekana.
Binafsi nimemuelezea baadhi ya athari za kufanya mapenzi kinyume na maumbile mfano kupata tabu wakati wa kujifungua, kupata magonjwa ya zinaa kirahisi ikiwemo HIV ila tatizo lake anapenda sana kuangalia Anal Sex kitu kinachompelekea kuzidi kutamani kushiriki mapenzi ya namna hiyo.
Imefikia wakiti nimehisi huenda alishawahi kufanya siku za nyuma ila hataki kunambia ukweli kwa kuhisi huenda nitamuacha mana anajua kabisa kwamba mimi sio muumini wa masuala hayo ya kishetani.
Nawaza kumuacha huyu mwanamke ili apate mpenzi mwingine atakae kubali kushiriki nae tendo kinyume na maumbile
Je nikimuacha nitakua nimefanya maamuzi sahihi au nimpe muda nione kama atajirekebisha na kuachana na mawazo hayo ?
Niuzie namba yake nalipa fasta,huyo hakufai kabisa niachie mimi napenda dhambi kubwakubwaHeshima kwenu wakubwa na wadogo
Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwenye mahusiano yapata mwaka sasa.Siku za hivi karibuni ameanza kuniogopesha baada ya kukiri kwamba anataka anipe mkund* nijilie.
Binafsi sio muumini wa mambo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile mana toka nizaliwe sijawahi kutamani kufanya mapenzi na mwanamke kwa kutumia mlango wa pili na ndio maana kauli yale imenishangaza kiasi flani.
Nilimuuliza je ushawahi kufanya mapenzi kinyume na maumbile kasema hapana sasa nikamwambia mbona huogopi akasema anaogopa ila anataka nijaribu kumfanya nyuma mana anaona mitandaoni wanawake wakihadithia kwamna ule mchezo ni mtamu so anataka mimi nimuingilie ili aone kama ni kweli kinachosemekana.
Binafsi nimemuelezea baadhi ya athari za kufanya mapenzi kinyume na maumbile mfano kupata tabu wakati wa kujifungua, kupata magonjwa ya zinaa kirahisi ikiwemo HIV ila tatizo lake anapenda sana kuangalia Anal Sex kitu kinachompelekea kuzidi kutamani kushiriki mapenzi ya namna hiyo.
Imefikia wakiti nimehisi huenda alishawahi kufanya siku za nyuma ila hataki kunambia ukweli kwa kuhisi huenda nitamuacha mana anajua kabisa kwamba mimi sio muumini wa masuala hayo ya kishetani.
Nawaza kumuacha huyu mwanamke ili apate mpenzi mwingine atakae kubali kushiriki nae tendo kinyume na maumbile
Je nikimuacha nitakua nimefanya maamuzi sahihi au nimpe muda nione kama atajirekebisha na kuachana na mawazo hayo ?
😂 😂 😂Uwekage na namba zake za simu nawewe..!! Uoni watu wanavyoteuliwa?