Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

Huyo anafanya/ameshafanya huo mchezo.. Unavyojidai kumuhubiria anakuona boooyya, cha kufanya achana nae kama kweli huna mpango wa kwenda kwa mpalange.

Hiyo ndio itakuwa pona pona yako.
 
hapo huna mpenzi,wala mchumba,wala mke.ukisubutu kufanya anavyotaka umekwisha .hapo Sasa ndo ujue hiyo ndo color yake halisi,hapo awali alikuwa bado anakusoma,Sasa kwa kuwa ameshajiridhisha kuyajua madhaifu yako,ameamua aonyeshe rangi yake halisi.kilichobaki ni kazi kwako,kufanya maamuzi,binafsi yeye ameamua ajionyeshe uhalisia wa tabia yake.
 
Heshima kwenu wakubwa na wadogo

Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwenye mahusiano yapata mwaka sasa.Siku za hivi karibuni ameanza kuniogopesha baada ya kukiri kwamba anataka anipe mkund* nijilie.

Binafsi sio muumini wa mambo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile mana toka nizaliwe sijawahi kutamani kufanya mapenzi na mwanamke kwa kutumia mlango wa pili na ndio maana kauli yale imenishangaza kiasi flani.

Nilimuuliza je ushawahi kufanya mapenzi kinyume na maumbile kasema hapana sasa nikamwambia mbona huogopi akasema anaogopa ila anataka nijaribu kumfanya nyuma mana anaona mitandaoni wanawake wakihadithia kwamna ule mchezo ni mtamu so anataka mimi nimuingilie ili aone kama ni kweli kinachosemekana.

Binafsi nimemuelezea baadhi ya athari za kufanya mapenzi kinyume na maumbile mfano kupata tabu wakati wa kujifungua, kupata magonjwa ya zinaa kirahisi ikiwemo HIV ila tatizo lake anapenda sana kuangalia Anal Sex kitu kinachompelekea kuzidi kutamani kushiriki mapenzi ya namna hiyo.

Imefikia wakiti nimehisi huenda alishawahi kufanya siku za nyuma ila hataki kunambia ukweli kwa kuhisi huenda nitamuacha mana anajua kabisa kwamba mimi sio muumini wa masuala hayo ya kishetani.

Nawaza kumuacha huyu mwanamke ili apate mpenzi mwingine atakae kubali kushiriki nae tendo kinyume na maumbile

Je nikimuacha nitakua nimefanya maamuzi sahihi au nimpe muda nione kama atajirekebisha na kuachana na mawazo hayo ?

TEA.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Heshima kwenu wakubwa na wadogo

Nina mpenzi wangu ambae nimedumu nae kwenye mahusiano yapata mwaka sasa.Siku za hivi karibuni ameanza kuniogopesha baada ya kukiri kwamba anataka anipe mkund* nijilie.

Binafsi sio muumini wa mambo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile mana toka nizaliwe sijawahi kutamani kufanya mapenzi na mwanamke kwa kutumia mlango wa pili na ndio maana kauli yale imenishangaza kiasi flani.

Nilimuuliza je ushawahi kufanya mapenzi kinyume na maumbile kasema hapana sasa nikamwambia mbona huogopi akasema anaogopa ila anataka nijaribu kumfanya nyuma mana anaona mitandaoni wanawake wakihadithia kwamna ule mchezo ni mtamu so anataka mimi nimuingilie ili aone kama ni kweli kinachosemekana.

Binafsi nimemuelezea baadhi ya athari za kufanya mapenzi kinyume na maumbile mfano kupata tabu wakati wa kujifungua, kupata magonjwa ya zinaa kirahisi ikiwemo HIV ila tatizo lake anapenda sana kuangalia Anal Sex kitu kinachompelekea kuzidi kutamani kushiriki mapenzi ya namna hiyo.

Imefikia wakiti nimehisi huenda alishawahi kufanya siku za nyuma ila hataki kunambia ukweli kwa kuhisi huenda nitamuacha mana anajua kabisa kwamba mimi sio muumini wa masuala hayo ya kishetani.

Nawaza kumuacha huyu mwanamke ili apate mpenzi mwingine atakae kubali kushiriki nae tendo kinyume na maumbile

Je nikimuacha nitakua nimefanya maamuzi sahihi au nimpe muda nione kama atajirekebisha na kuachana na mawazo hayo ?
Niuzie namba yake nalipa fasta,huyo hakufai kabisa niachie mimi napenda dhambi kubwakubwa
 
muangalie hiyo sehemu kama pako pwaaa hapo ashaanza mchezo, kama pameingia kwa ndani upo sawa lakini nakushauri usitumie vinyeo mwambie huko hakufai kama ni mke kweli, ni aibu mke kuzibuliwa hapo kitaa ww unadhalilika.
 
Back
Top Bottom