Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu njoo kwanza pm kwenye umaliziaji..😋[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna baby fancy halafu kuna mimi ni vitu viwili tofauti uzur najua kucheza uhusika wa aina tofauti tofauti hivyo mtu kunisoma sio rahis
Umaliziaji kvp?Ebu njoo kwanza pm kwenye umaliziaji..[emoji39]
acha tu mkuuHawa wa sasa ni kama bargaining tu, mbaya zaidi usiombe akawa ana mtoto au watoto wa kando, jiulize kwanini wameshindwa hao na wewe una nini cha kipekee cha kuwazidi waliokutangulia,
Sisemi wanawake wote bali wengi wao wa aina hiyo ni tabu tubu na ni wa ku-fake life eti wao tu ndio hutendwa na kuonewa.
Yaani ndio diamond huyu hapa paaap yaani shetani atakua siku hiyo kaacha kazi zake zoote aje anitege mimi na sijui kama naweza lishinda hilo jaribu kama sijanasa [emoji849][emoji849][emoji849] labda siku hiyo akina gabriel na michael washuke live kuniokoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mbona unauliza maswali ya kitoto kwani we hujui zamaniZamani ipi?
Nimekupendea ukweli wako, Kuna pisi niliwahi kuwa nayo yenyewe ilinihakaikishia kabisa hata aje nani, Kwanza wasanii na watu maarufu au wenye pesa ndo hataki hata kuwasikia, Akawa ananipigiaga story jinsi wenzake wanavyoliwa kijinga, Yaani akanionesha yeye ni special sana Hadi nikamuamini, Hapa nina miezi miwili toka achukuliwe na Mzungu mmoja hivi[emoji26][emoji174]Yaani ndio diamond huyu hapa paaap yaani shetani atakua siku hiyo kaacha kazi zake zoote aje anitege mimi na sijui kama naweza lishinda hilo jaribu kama sijanasa [emoji849][emoji849][emoji849] labda siku hiyo akina gabriel na michael washuke live kuniokoa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ise pole hapa duniani hatuaminiani bali tunajidanganya tuNimekupendea ukweli wako, Kuna pisi niliwahi kuwa nayo yenyewe ilinihakaikishia kabisa hata aje nani, Kwanza wasanii na watu maarufu au wenye pesa ndo hataki hata kuwasikia, Akawa ananipigiaga story jinsi wenzake wanavyoliwa kijinga, Yaani akanionesha yeye ni special sana Hadi nikamuamini, Hapa nina miezi miwili toka achukuliwe na Mzungu mmoja hivi[emoji26][emoji174]