Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MbupuNje kidogo na mada. Hivi wanaosema ulaya na China zinaendelea kwa kuiba rasilimali za Africa uwa wanafikiria kwa kutumia nini?.
Nahisi anawashwa ubongo,Huo ndio uwezo wa juu kabisa wa kufikiri kwa kiongozi mteule wa Regional kwenye Ulinzi na Usalama....š§
Ujinga tu. Kama abiria amejibinua inamhusu nini mtu mwingine? Angesema labda mtu hajavaa vizuri au anajiachia uchi. Kujibinua ni suala linaweza kutokana na abiria kuhakikisha amejishika vizuri na ni jambo la kibinafsi sana. Haifaa polisi kujiingiza kwenye suala la kibinafsi la raia.Ni onyo kali sana kutoka Jeshi la Polisi Tanzania mkoani Dodoma.
Je kuna athari yoyote ya kiusalama kama mteja akikaa kwa style hio ya kujibinua?
inahatarisha usalama wake?
View attachment 2215030View attachment 2215031