Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Eti ndio uhuru huo wanakwambiaWazazi gani ameshindwa kulea watoto, toto (Jaden) linatamka mbele ya hadhara " I just wanna say Tayler is my boyfriend and I love him so fuvking much, Willow nae haeleweki kabisa
Bure kabisa!
Malezi ya kizungu ukishafikisha miaka 18 unajiamulia unachotaka kufanya hakuna mtu wa kumpelekesha mwenzake Smith anafanya mambo yeke.Wazazi gani ameshindwa kulea watoto, toto (Jaden) linatamka mbele ya hadhara " I just wanna say Tayler is my boyfriend and I love him so fuvking much, Willow nae haeleweki kabisa
Bure kabisa!
Kwahiyo unahisi jada ni wa leo yule?Umesema Jada ana 48? au umri wake ni mchana na usiku kama jela!!
Nilibahatika kufanya kazi kwenye crew yake,hapahapa bongo,nakumbuka ilikuwa 2007,alikuja ku shoot na wakapiga kambi arusha,walikodi magari yetu mawili na mimi nikawa naendesha mojawapo,ila kwa wiki takriban mbili walizokuwa hapo nilibahatika kumwona mara mbili tu,siku kadhaa baada ya kuja na siku wanavunja kambi,jamaa yupo simple sana,alikuja kutusalimu na kutuaga,akaisifia sana Tanzania na kuahidi kurudi tena,mwisho tulienda naye kutembelea kiwanda cha nguo cha AtoZ na alipotoka hapo akasepa zake airport kurudi marekani,tulipiga naye picha kadhaa za pamoja,mwingine niliyebahatika kuwa naye kwa karibu ni jamaa anaitwa BONO huyu alikuwa kiongozi na mpiga gita wa kundi la U2,huyu tulizurura naye kwa siku tatu,yeye alikuwa ni balozi wa WHO kwa kanda ya afrika,aliniachia na vijizawadi kadha wa kadha.mwaka jana mbona walikuja Bongo na familia yake walienda serengeti.
Long time tunamwona kwenye Set it of akiwa kijana kabisa na akina queen LatifahKwahiyo unahisi jada ni wa leo yule?
Zipo nyingiHizi ndoa zingekuwepo Bongo sijui ingekuwaje í ½í¸í ½í¸í ½í¸ kwakeli í ½í´¥
Utaiwezesha ww [emoji23][emoji23]Hii ndiyo ndoa Sasa[emoji41]
Jada ni mtu mzima mzee.Umesema Jada ana 48? au umri wake ni mchana na usiku kama jela!!
Basi mwaka jana alikuja tena lakini alifanya siri hakutaka watu wajue ilikuwa party ya kimya kimya.Nilibahatika kufanya kazi kwenye crew yake,hapahapa bongo,nakumbuka ilikuwa 2007,alikuja ku shoot na wakapiga kambi arusha,walikodi magari yetu mawili na mimi nikawa naendesha mojawapo,ila kwa wiki takriban mbili walizokuwa hapo nilibahatika kumwona mara mbili tu,siku kadhaa baada ya kuja na siku wanavunja kambi,jamaa yupo simple sana,alikuja kutusalimu na kutuaga,akaisifia sana Tanzania na kuahidi kurudi tena,mwisho tulienda naye kutembelea kiwanda cha nguo cha AtoZ na alipotoka hapo akasepa zake airport kurudi marekani,tulipiga naye picha kadhaa za pamoja,mwingine niliyebahatika kuwa naye kwa karibu ni jamaa anaitwa BONO huyu alikuwa kiongozi na mpiga gita wa kundi la U2,huyu tulizurura naye kwa siku tatu,yeye alikuwa ni balozi wa WHO kwa kanda ya afrika,aliniachia na vijizawadi kadha wa kadha.
Nakuelewa vizuri mzee wangu [emoji119]Long time tunamwona kwenye Set it of akiwa kijana kabisa na akina queen Latifah
Bado sana kwetu hizi ndoa zinafungiwa wapi?Zipo nyingi
Yes, alikuwa nidemu wake na Jada alimpenda sana Shakur.Jada si ndo alikua dem wa 2pac.......wengine wanasema walikua washkaji tu!
Hiyo family ina ushetani balaa ..pia huwa inatumika na illuminate kutangaza Sera zao kama Mj alivyokuwa anatumika .. Usishangazwe kabisa na hiloWazazi gani ameshindwa kulea watoto, toto (Jaden) linatamka mbele ya hadhara " I just wanna say Tayler is my boyfriend and I love him so fuvking much, Willow nae haeleweki kabisa
Bure kabisa!
Hata pac nae alimpenda sana.....kuna mashairi yalivuja alikua anamuandikia jada!Yes, alikuwa nidemu wake na Jada alimpenda sana Shakur.
Hii pia TI na Tinny huwa wanafanyaWenzetu wako tofauti kidogo! Sometimes wanandoa wakiboreka kwenye sex wanatafuta other couple then wanabadalishana wapenzi ili kutafuta ladha mpya. Au wanaweza kununua malaya then wanapiga kitu cha three some.
Pia Kuna Swingers Club.
Jada ni mtu mzima mzee.