MMM ni mtu au kikundi cha watu?? Kauli za tume..., tuta...., tuli.... wakati wewe unajiita mzee mwanakijiji (mmoja) ni kujifananisha na Mungu. Halafu unazidi kujikweza kwa kuongea nasi bila kujionyesha kama mfano wa Mungu alivyoongea na mitume wake. Usijifiche, au unaishi huko kwa kodi zetu??
Kama ndivyo kaa ukijuwa kuwa huo mfereji tutaufukia kwa zege October 25 mwaka huu. Ulaghai wako hautasaidia kitu watz wa leo siyo wa jana.
Kama ndivyo kaa ukijuwa kuwa huo mfereji tutaufukia kwa zege October 25 mwaka huu. Ulaghai wako hautasaidia kitu watz wa leo siyo wa jana.