Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 832
KinachoShangaza ni kuwa watu wanataka tuamini watu wengi watamchagua Lowassa. Lakini inaonekana hawaamini hilo ni kweli. Kama ni kweli hoja zangu hazina wasikilizaji na hazimbadili yeyote hivyo ni za kupuuzia. Hampuuzii mnaomtaka Lowassa kwanini?
Nitajibu: kwa sababu hamuamini Lowassa atakubaliwa na wengi kama mnavyotamani.
Admittedly you used to be my inspiration, but now my heart is sinking fast at your personal dislike of Lowassa!
No, please no with your grudges. We need changes in the governance system and it's through UKAWA we 'll achieve this goal.
You're becoming a great disappointment at this juncture.