Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Kuna kitu kidogo hapo unachanganya na kingine ulikuwa hauna taarifa nacho au umeamua kupotosha.

Mimi nimezungumzia S550 siyo S500.
Hiyo S550 ni dedicated kama ulivyotoa sifa za dedicated system Kama THAAD.
Msikie hapo chini aliyekuwa waziri wa ulinzi wa Russia juu ya tofauti ya S500 na S550.

Tena Mimi nilitumia neno 'labda S550' makusudi sema moderator wa JF ameondoa neno labda.

Nukuu chini
Russian Defense Minister Sergei Shoigu was first to inform about the S-550 system at the ministry’s conference call on November 9. He said the S-550 system should be used to target ICBMs and satellites while the S-500 Prometheus would shoot down enemy ballistic missiles and aircraft."
Russia Boasts of New S-550 Missile System Capable of Targeting Satellites.
Sorry mkuu nilidhani umeandika S-500. Sasa batteries za S-550 ziko wapi kwa wingi mpaka zizuie ICBM. Unajua kuwa na silaha moja mbili na kuzitumia kwa impact ya maana vitani ni vitu viwili tofauti.
Russia ina Su-57 chache hata kama zingekuwa na uwezo kidogo zaidi ila haziwezi zidi J-20 zaidi ya 200 za China.

Russia kwenye missiles wanapenda kutumia kauli za "should be, will be able, can..." yaani hawana uhakika 100% au system haiko na probability kubwa.

Ukiwauliza Marekani wana Aegis ships ngapi, watakwambia ni meli zaidi ya 100 na zaidi ya 60 ziko planned kuundwa. Ukiwauliza wana THAAD batteries ngapi na zimefungwa wapi inajulikana ni South Korea, Guam na Middle East.

Sasa S-550 zimefungwa wapi na wapi kwamba zina hata namba inayoshawishi.
 
Kwanza hii tabia ya kutoa taarifa kwa marekani kabla ya kushambulia malengo ni kwa nini haswa?
Iran ilipoishambulia israel mara ya kwanza ilitoa taarifa pentagon kwamba masaa 8 yajayo wataishambulia israel. Na wakashambulia.
Jana Russia nao wanawapa taarifa Pentagon kwamba watashambulia huko dnepo. Hii imekaaje?
 
Kwa nini hawalitumii kuwalenga Ukraine kule Kursk ? Supa pawa wa mchongo.
 
Bwashee tatizo sio MIRVs ila Shido ni speed and accuracy ku hit target,kwasasa technology ya silaha za kivita zinawekeza zaidi kwenye utafiti kuhusu speed
Ukiendesha gari kwa speeed ya 250km/h ukapinduka mara nne linakuua, ili ufe kuna haja gani ya kuendesha kwa 350km/hr kwanza likiwa hata na 140km/h unakufa.

Sasa hypersonic speed ya haya makombora mapya ya Urusi unayosema ni kubwa haina mantiki na haibadili chochote. ICBM ya Marekani Minuteman III ni ya mwaka 1970 ina maximum speed ya 15,000km/h hebu tuambie ni mfumo gani duniani unaozuia reentry speed hii?
 
Sijui Kama umesoma na kuelewa au umejibu kwa hisia.
Tafadhali pitia tovuti za BBC, CNN na nyinginezo zenye mlengo wa kuisaidia Ukraine uone taarifa hii niliyo weka hapa.
Ukiona haitoshi nenda za Russia mfano Sputinik na RT news.
Acha kuumiza kichwa na huyo form sex level
 
Na ndo maana ukifika huko level za juu kwenye makombora kila nchi ina doctrine yake hasa kwenye mabomu ya nuclear, maana kila nchi inajua haiwezi kuyazuia ishu inakuja nani atamuwahi mwenzie na kuleta maafa zaidi kuliko mwenzie, tuseme vita ya nuclear ianze Marekani anajua Mrusi anaweza akampiga na Mrusi anajua mmarekani anaweza kumpiga ila kinachotafutwa hapo nani atatandikwa zaidi ili aombe poo
Wanaolazimisha ligi ya makombora hawataki kukubali kwamba ni vita ngumu.

Ndio maana Marekani inazingatia nuclear triad, hata Urusi ina kitu kama hiki.
1. ICBM hizi kama Minuteman III na Sentinel inayokuja. Urusi ardhini wana makombora mengi mengine yanabebwa na magari makubwa kama RS-24 Yars.

2. Submarine launched ballistic missiles. Hapa wana makombora yapo kwenye nyambizi na muda wote wa mwaka ziko majini hazijulikani wapi. Hizi hata nchi nzima ishambuliwe zinaweza shambulia zikiwa deep under water mbali na nyumbani. US Navy wana Ohio class nuclear sub inabeba makombora 24 ya Trident II D5 na kila kombora lina MIRVs kati ya 4 hadi 12. Hizi nyambizi za Ohio zipo 14.
Similarly Urusi ana Borei class nuclear subs 5 zinazobeba makombora 16 ya Bulava yenye MIRVs kadhaa.

3. Nuclear bomber. Marekani ana ndege za kubeba mabomu ya nyuklia B1B Lancer, B-52 Stratofortless, B-2 Spirit, B-21 Raider hizi mbili za mwisho ni stealth. Urusi ana Tu-160 Blackjack "White Swan" na Tu-95.

Ikitokea exchange wataumia wote ila kuna mmoja atachakaa zaidi sababu ya uwezo wake wa delivery ulivyo.
 
Sorry mkuu nilidhani umeandika S-500. Sasa batteries za S-550 ziko wapi kwa wingi mpaka zizuie ICBM. Unajua kuwa na silaha moja mbili na kuzitumia kwa impact ya maana vitani ni vitu viwili tofauti.
Russia ina Su-57 chache hata kama zingekuwa na uwezo kidogo zaidi ila haziwezi zidi J-20 zaidi ya 200 za China.

Russia kwenye missiles wanapenda kutumia kauli za "should be, will be able, can..." yaani hawana uhakika 100% au system haiko na probability kubwa.

Ukiwauliza Marekani wana Aegis ships ngapi, watakwambia ni meli zaidi ya 100 na zaidi ya 60 ziko planned kuundwa. Ukiwauliza wana THAAD batteries ngapi na zimefungwa wapi inajulikana ni South Korea, Guam na Middle East.

Sasa S-550 zimefungwa wapi na wapi kwamba zina hata namba inayoshawishi.
Juzi storm shadow imepiga kurks hakuna hata moja wameintercept naona nadharia zao tu za kujifurahisha baada ya ghawa na alkasusu
 
Kwanza hii tabia ya kutoa taarifa kwa marekani kabla ya kushambulia malengo ni kwa nini haswa?
Iran ilipoishambulia israel mara ya kwanza ilitoa taarifa pentagon kwamba masaa 8 yajayo wataishambulia israel. Na wakashambulia.
Jana Russia nao wanawapa taarifa Pentagon kwamba watashambulia huko dnepo. Hii imekaaje?
Kuna mfumo wa kupeana taarifa unaporusha ballistic missile kuepuka kushambuliana kwa silaha za nuclear kimakosa.
Unaweza kurusha hilo kombora mwenzio akadhani umerusha la nyukilia akajibu shambulizi kwa nuclear missile pia kumbe umerusha la kawaida.
Hiyo inatokana na ballistic missiles za kawaida au za nuclear zote zinatumia teknolojia moja tofauti warheads tu.
Mfumo huo wa taarifa ni automatic, waliwekeana mkataba wafanye hivyo.
 
Juzi storm shadow imepiga kurks hakuna hata moja wameintercept naona nadharia zao tu za kujifurahisha baada ya ghawa na alkasusu
Siyo kweli.
Wamefanya interception makombora yote, mengi hayakufika ardhini Ila moja debris zake zilifika karibu na makazi au facility ya kijeshi.
Otherwise prove hiyo taarifa yako kupitia neutral source ya taarifa yako.
 
Juzi storm shadow imepiga kurks hakuna hata moja wameintercept naona nadharia zao tu za kujifurahisha baada ya ghawa na alkasusu
Hapohapo wanalinganisha na Arrow 3 ABM ya Israel ambayo ilishambuliwa na makombora zaidi ya 200 kwa wakati mmoja wanasema haiwezi kazi. Wakati hata wao hapo Kursk Wakorea Kaskazini wameuwawa na air defense systems zipo nyingi layers tofauti.

Hakuna system iko 100% sure kila kitu ila zipo zinazofanya sana kazi hadi kupenya lazima ushambulie kama full scale war.
 
Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.

Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.

Hakuna mfumo wa kuizuia.

Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).

Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.

Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.

Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.

Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.

Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.

Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.

Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.

CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
Sawa, lakini siamini kama wazungu wote watashindwa kuipiga Urusi
 
Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.

Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.

Hakuna mfumo wa kuizuia.

Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).

Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.

Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.

Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.

Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.

Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.

Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.

Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.

CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
Hizi sifa kwamba hakuna mfumo unazuia duniani wakati haujawahi kutumika kushushambulia mifumo mingine ni hoax
 
Kwanza hii tabia ya kutoa taarifa kwa marekani kabla ya kushambulia malengo ni kwa nini haswa?
Iran ilipoishambulia israel mara ya kwanza ilitoa taarifa pentagon kwamba masaa 8 yajayo wataishambulia israel. Na wakashambulia.
Jana Russia nao wanawapa taarifa Pentagon kwamba watashambulia huko dnepo. Hii imekaaje?
Wanafunzi wasumbufu lazima waripot kwa kiranja mkuu
Maana inaweza ikatokea shambulia likaingiliwa kati mshambuliaji akaumbuka

View: https://x.com/clashreport/status/1859603066783162638?t=vDP8_949Me_nPUCdgOTo-w&s=19
 
Back
Top Bottom