furniture za bongo ni ovyo mno unanunua furniture mil 2.5 Baada ya mwaka mbao zote zinatoa unga.ni wachache wanaotengeneza furniture zenye ubora
Pipi zinazotoka China je?Dah, kalamu za risasi na vijiti vya kuchokonolea meno daaah...
Yani hadi aibu kabisa, tunashindwa kujaribu vitu vidogovidogo halafu eti tunakamatia vitu vikubwa...Pipi zinazotoka China je?
Yaani best selling items from China here in tz .utashangaa sana yaani utopolo mtupuY
Yani hadi aibu kabisa, tunashindwa kujaribu vitu vidogovidogo halafu eti tunakamatia vitu vikubwa...
Mkuu.Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.
Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.
1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia
8. Miswaki
9. Viwembe
10. Chanuo
11. Makobazi/Ndala/Yeboyebo
12. Kalamu aina zote za risasi na wino
13. Bidhaa zote za stationary
14. Baiskeli
15. Matairi ya gari
16. Vyombo vya jikoni
17. Mapambo
Mkuu.
Sisi tuna mazao kama korosho ni zao kubwa kwa wakulima wa huko lindi na mtwara.
Unadhani wakizuia mfano wa mazao haya nao huko nje tusipeleke hali itakuwaje kwa sisi tunaolima mazao hayo kama chanzo chetu kikubwa cha kipato ?
Tatizo vya kutengezwa ndani bei inakuwa juu sanaMzawa akitengeneza atauza 5,000.
Wewe utanunua wapi?
kama wakizuia wewe bidha yako nani atataka kuninua? si kila siku tunasema tuime sijui mara tuingie kwenye soko la dunia . biashara maana yake ni nani anahitaji nini na kipi kinavutia pamoja kitu gani imara' ndo maana kuna kitu kinaitwa free trade competetitioonBinafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.
Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.
1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia
8. Miswaki
9. Viwembe
10. Chanuo
11. Makobazi/Ndala/Yeboyebo
12. Kalamu aina zote za risasi na wino
13. Bidhaa zote za stationary
14. Baiskeli
15. Matairi ya gari
16. Vyombo vya jikoni
17. Mapambo
Nimeuliza tu ikiwa na wao wataamua kuzuwia wasinunue mazao itakuwaje kwa upande wetu ?Sio kweli..
Ukizuia mashati kutoka China
Utaagiza vitambaa vya mashati na mashine za kutengeneza hayo mashati kutoka huko huko China...
Wachina hawatazuia
Utakua Tu umebadili bidhaa ya kununua
Na hawawezi zuia hizo korosho.
Ndio hata sisi hatuwezi kuzuwia hizo bidhaa.hawawezi zuia hizo korosho
Kuna bidhaa hazipo hivyo.Ukizuia mashati kutoka China
Utaagiza vitambaa vya mashati na mashine za kutengeneza hayo mashati kutoka huko huko China
finishing mbovu ni matokeo ya uwekezaji hafifu unaozaliwa na uoga wa ushindani.Mkuu Dunia kijiji mambo yakufungia aliyaleta jiwe kwenye Ndege unaweza kuona tabu iliyopo labda ungesema waongeze Kodi maana mtu mwenye hela yake utamzuiaje kununua kava ya Simu ya elf 20 yenye muonekano mzuri badala yake ananunue ya bongo ya elf 3 yenye finishing mbovu
Mwenda zake alijaribu mkasema anaua uchumiBaadhi ya bidhaa hazihitaji hilo
Kwani mafagio yakikosekana ndo nchi ita taabika?
Bidhaa ambazo sio za ulazima sana..tuzuie moja kwa moja..
Acha simu ziingie lakini zuia cover za simu
Hakuna atakae andamana kisa kakosa cover
Scarcity yake italeta ubunifu watu wataanza tengeneza wenyewe
wakati mar jk nyerere anapiga kelele kuhusu ushindani hakueleweka,ila hoja yake ilikuwa hapo.Nimeuliza tu ikiwa na wao wataamua kuzuwia wasinunue mazao itakuwaje kwa upande wetu ?
Ndio hata sisi hatuwezi kuzuwia hizo bidhaa.
Hapa tunazungumza endao zitazuwiwa.
Kuna bidhaa hazipo hivyo.
Mfano ukizuwia fagio zisitoke china utaagizia nini huko china ?
Ukizuwia miswaki istoke china utaagiza nini kama mbadala wa mswaki huko china kama ilivyokuwa mbadala wa mashati ni vitambaa ?
Kuna bidhaa ambazo ukizikatisha moja kwa moja uagizaji basi hakuna muamala mwingine unaohusiana na bidhaa hizo.
Sasa mimi ninachouliza ni kuwa,je na wao wakisema wazuwie wasinunue vya kwetu itakuwaje ?
Mwenda zake alijaribu mkasema anaua uchumi
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.
Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.
1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia
8. Miswaki
9. Viwembe
10. Chanuo
11. Makobazi/Ndala/Yeboyebo
12. Kalamu aina zote za risasi na wino
13. Bidhaa zote za stationary
14. Baiskeli
15. Matairi ya gari
16. Vyombo vya jikoni
17. Mapambo
Mbona Sukari ilizuiwa kuingia mwishowe tukapoteana hadi leo bei ipo juu tuVikizuiwa tutalia kwa miez mi4 tuu ila impact yake kwa uchum itakua kubwa..utaona sasa had watu wa kidimbwi wanaenda lima alizet kwa ajil ya mafuta..au wanaenda kima miwa kwaajil ya sukar..hata bakhresa na mo watafungua viwanda vya sukar hapa..si demand kubwa ..
Kwasasa inakua tabu..sabab ya sukar toka nje ambayo ni cheap vibaya mno
Binafsi naamini ukosefu wa ajira unasababishwa na kujilemaza na kuruhusu nchi iagize nje kila aina ya takataka, kuna aina za bidhaa iwapo zitakosekeana Vijana automatically watajifunza namna ya kutengeneza na kujipatia ajira na kipato, na wala sio bidhaa za ulazima kwamba zikikosekana nchi itaathirika ni ni mazoea tu.
Hapa naomba tuoredheshe bidhaa ambazo Serikali ikizuia zisiingie kutoka nje na ikiwezekana Serikali itoe nafuu ya Kodi kwa watakao taka kuanzisha viwanda vidogo vidogo na kuingiza mashine za kutengeneza bidhaa hizi. Na tutajikuta tumepunguza .mno tatizo la ajira.
1. Mafagio
2. Cover za simu
3. Vijiti vya meno
4. Furniture za mbao
5. Car accessories
6. Mabegi
7. Mapazia
8. Miswaki
9. Viwembe
10. Chanuo
11. Makobazi/Ndala/Yeboyebo
12. Kalamu aina zote za risasi na wino
13. Bidhaa zote za stationary
14. Baiskeli
15. Matairi ya gari
16. Vyombo vya jikoni
17. Mapambo