Kilimanjaro Ni mkoa uliodorora kabisa.Kuna kitu sijakielewa vizuri kuhusu Moshi. Yaani na kelele zote za wachaga kujisifia kwamba sijui wanaongoza kipato kitaifa, katika top 50 kuna halmashauri yao moja tu?? Tena mji wao mkuu??[emoji2][emoji2]
Namba hazidanganyi
Zoom usome hapoWeka vigezo hapa kutoka Tamisemi maana unapenda sana kutunga upuuzi unaokufurahisha wewe..
Nataka maandishi ya kigezo kinachosema wakaazi wawe laki 5 plus,kigezo kinachosema eti ukubwa wa Mji uwe angalau km 15 kutoka CBD.
We boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?Gold crest sio hotel ya serikali ,,ni wapangaji wa pssf ....hamna hotel ya nssf mwanza ...be sound in mind please
Acha kukurupuka,hiyo attachment ni ya Vigezo vya Manispaa.Zoom usome hapoView attachment 2323490
Nssf ni shirika la halmashauri ya mbeya? Punguza uzombi.Soko la Mbeya halijajengwa na Serikalini bali ni mapato ya ndani ya Jiji na Nssf na ni soko la ubia..
Mbeya kuna stand kubwa ipi? Acha ujinga we jamaa,stand ya Uyole ilikuwa kwenye mradi wa strategic cities ambapo na Mwanza ilikuwemo so kila Halmashauri ilichagua mradi wanaotaka..
Hotel ziwe za serikali Ili iweje? Hata hivyo Pale gold crest na Nssf hotel hizo ni za Serikali kupitia hayo mashirika ya umma.
Kila watu wajenge kwa pesa zao tuone kama mtaweza shindana nyieKwan serikali inajengea mapato ya wapi kama sio ya ndani ..au unadhani serikali inatoa wapi pesa kama sio Kodi za wananchi
Hawa ni wapangaji ..hotel sio ya serikali elewa basi .usijifanye kichwa ngumu ..si sawa golden tulip hotel walivyokuwa wapangaji katika jengo golden jubilee tower darWe boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?
Pili hiyo hotel ya gold crest ni jengo la serikali na pia pale junction ya samaki hilo jengo ni la serikali kiufupi mashirika yote ya umma yamejenga majengo huko Mwanza bila hayo kungekuwa hoi.
Junction ya pamba yale ni majengo ya NCU(nyanza corporative union).We boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?
Pili hiyo hotel ya gold crest ni jengo la serikali na pia pale junction ya samaki hilo jengo ni la serikali kiufupi mashirika yote ya umma yamejenga majengo huko Mwanza bila hayo kungekuwa hoi.
Hivi unaelewa kweli wewe wa kukurupuka?Nssf ni shirika la halmashauri ya mbeya? Punguza uzombi.
Hujui kusoma wewe au huoni ..soma hii basi View attachment 5a17e034314be844048999.pdfAcha kukurupuka,hiyo attachment ni ya Vigezo vya Manispaa.
Ncu ya baba yako ndio wanamiliki haya Majengo hapa? 👇Junction ya pamba yale ni majengo ya NCU(nyanza corporative union).
Kumbe unaijua mwanza kupitia Google [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]..Ncu ya baba yako ndio wanamiliki haya Majengo hapa? [emoji116]
Usiruke ruke we mpuuzi,bila Uwekezaji wa Umma hapo Mwanza hakuna kitu.Kumbe unaijua mwanza kupitia Google [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]..
[emoji116][emoji116][emoji116]Tuambie na haya ni majengo ya shirika Gani la serikaliView attachment 2323502
Hakuna kigezo ambacho hatujafikia kwa sababu Jiji la Mbeya Kwa mapana yake ni kuanzia Mbalizi hivyo idadi ya watu imezidi hiyo 500kHujui kusoma wewe au huoni ..soma hii basi View attachment 2323498
Jengo la BOT ambalo waliplan kujenga hotel nzuri lilisimama toka 2015 pia jengo la nssf pale capripoint na lenyewe ujenzi wake umesimama toka 2015, punguza chuki kiufupi mwanza hakuna hotel ya serikali adi hivi sasa labda wakamilishe hizo miradi za BOT na NSSF.We boya kweli Kwa hiyo hicho kihotel chenu hapo jirani na BOT huko Capri point ni nini?
Pili hiyo hotel ya gold crest ni jengo la serikali na pia pale junction ya samaki hilo jengo ni la serikali kiufupi mashirika yote ya umma yamejenga majengo huko Mwanza bila hayo kungekuwa hoi.
Kiukweli mnatia huruma..Jengo la BOT ambalo waliplan kujenga hotel nzuri lilisimama toka 2015 pia jengo la nssf pale capripoint na lenyewe ujenzi wake umesimama toka 2015, punguza chuki kiufupi mwanza hakuna hotel ya serikali adi hivi sasa labda wakamilishe hizo miradi za BOT na NSSF.
Hivi wewe nawe mpuuzi tu! Hata hiyo Dar unavyoiona Posta takribani majengo yote ni ya mashirika ya uma na makampuni mbalimbali! Hata Arusha majengo mengi pale mjini ni mashirika na NHC! Kwa nini wasije kwenu yuko kwenye matope mbeya kuwekeza? Mbeya bado ni jiji kilaza nchi nzima na kujilinganisha na mwanza ni kupoteza mda! Kwanza hata Iringa inamuonekano mzuri kuliko Mbeya! Mbeya hata ukiwa unaingia mjini hakuna msisimko wowote wa misheni town mji umepoa mmebakia kujigamba!Usiruke ruke we mpuuzi,bila Uwekezaji wa Umma hapo Mwanza hakuna kitu.
Hamna kitu Kam hicho ...hata ukijumlisha hyo mbalizi watu laki Tano labda muwe mmefikisha mwaka huu ..ila Kwa sensa ya watu na makazi ya 2012 mlikuwa watu laki 2 na elfu 50.Hakuna kigezo ambacho hatujafikia kwa sababu Jiji la Mbeya Kwa mapana yake ni kuanzia Mbalizi hivyo idadi ya watu imezidi hiyo 500k
Kwa hiyo tunakubaliana kwamba kumbe serikali inapendelea hiyo mikoa yenu na kutenga mikoa yetu hasa Mbeya?Hivi wewe nawe mpuuzi tu! Hata hiyo Dar unavyoiona Posta takribani majengo yote ni ya mashirika ya uma na makampuni mbalimbali! Hata Arusha majengo mengi pale mjini ni mashirika na NHC! Kwa nini wasije kwenu yuko kwenye matope mbeya kuwekeza? Mbeya bado ni jiji kilaza nchi nzima na kujilinganisha na mwanza ni kupoteza mda! Kwanza hata Iringa inamuonekano mzuri kuliko Mbeya! Mbeya hata ukiwa unaingia mjini hakuna msisimko wowote wa misheni town mji umepoa mmebakia kujigamba!
Tena wewe hujuagi tu wanaume nchi hii wenye pesa wanatokea kanda ya ziwa na kaskazini zingine zitabaki ngonjera!