Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

Hivi Dodoma ni vyanzo gani hasa vinavyofanya iingize pato kubwa hivo? Tusije tukawa tunapromote tu kisa ni makao makuu ya nchi.
Wa promote Ili wavumbue nini? Toka Dom itangazwe Jiji na kupima viwanja enzi za Jiwe kwa mara ya kwanza waliingiza Bil.75..
From there ndio wakarudi kwenye makusanyo halisia..

Dom ni huge construction site na hivyo kuvutia kila aina ya biashara na uwekezaji so with regards to vyanzo vya Halmashauri inavyo vingi kuliko maeneo mengine except Dar.
 
Popote penye watu pana pesa kwa mtafuta fursa ni kujua tu wanataka nini Ili uchukue pesa zao. Uwape bidhaa au huduma.
 
Zipo namba ngapi na namba ngapi hapo?
Namba 7 na namba 12
JamiiForums630235638.jpg
 
Kwa hiyo Katiba ya Nchi inaleta ugali si ndio?
Yawezekana umemaliza form Four mwaka Jana na naamini hata mtihani ulifeli na hujui nn maana ya katiba ndio maana kwa kudhihirisha ukilaza wako umeleta habari za ugali. Sikulaumu sana ndio akili yako imefikia hapo yawezekana nikikulazimisha kufikiri utakufa sasa hivi.kichwa chako bado kidogo sana.
 
Wa promote Ili wavumbue nini? Toka Dom itangazwe Jiji na kupima viwanja enzi za Jiwe kwa mara ya kwanza waliingiza Bil.75..
From there ndio wakarudi kwenye makusanyo halisia..

Dom ni huge construction site na hivyo kuvutia kila aina ya biashara na uwekezaji so with regards to vyanzo vya Halmashauri inavyo vingi kuliko maeneo mengine except Dar.
Tunaipa muda haina vyanzo vya mapato kuliko pengine ni promo za makao makuu tu. Jiwe alivyopima sasa hv ni ujenzi wa miji ngoja patulie ukame uwapige tena. Kama ilitoka 75 hadi sa hiv ni 40+, maboresho ya mju yakipungua utaongelea kumi na kitu. Hakuna biashara kubwa ya mabilion pale
 
Mtoa mada huwez kuongelea mzunguko wa pesa ktk mji fulan kwa kigezo cha makusanyo ya serikali.

Note. Mji fulani unaweza kuwa mdogo sn na ukawa na wakazi wachache sn lkn mzunguko wa pesa ukawa juu sn, japo kwa udogo wa mji ukazidiwa makusanyo na mji mkubwa. Mapato makubwa ya halmashauri huwa ni license, service levy, hotel levy, fees za ardhi na fees za natural resources,

Mfano. Moshi inaweza kuwa na makusanyo mengi kuriko katolo geita, lkn katolo ikawa na mzunguko mkubwa wa pesa.

Mzunguko wa pesa ktk eneo huathiriwa na mambo mengi lkn kubwa ni geographic location ya eneo, shughuli za uzarishaji mali na idadi ya watu ktk eneo husika.

Dodoma inakuj juu ya mwanza cc shauri ya geography yk imeipa nafas ya kuwa-capital city.. Hivyo shughuli za maendeleo Dom ni nying sn kwass,

Tanga haina mzunguko mzuri wa pesa kuizid mbeya lkn inakuwa juu ya mbeya shauri ya eneo lake lina bandari inayochochea shughuli za ukusanyaji kuwa juu.

Ila kuna maeneo mzunguko wa pesa uko juu na makusanyo yako juu mfano ni DAR, MAFINGA, MWANZA, KAHAMA NA TUNDUMA.
Kama unazungumzia kukatwa kwa maeneo Mwanza ndo mwanga kuliko mikoa yote.Mwanza ilipoteza migodi yote na hifadhi rubondo kwa mkoa wa geita.Pia Mwanza ilipoteza sehemu ya hifadhi ya serengeti na kijereshi na miaro ya uvuvi kwa mkoa wa Simiyu lasivyo hata hiyo Dar ingetoka jasho .Ila bado Mwanza ina muscles Dar ijipange kwa wale waliofika Mwanza hivi karibu wananielewa na sema nini.Mwanza imeisha jijenga kuwa business hub ya east and central africa ndo maana inaendelea kushine without specific kama mikoa mingine hata ukiwauliza serikali kuhusu Mwanza watakupa reason nyingi ila ukweli ni kwamba ni interaction ya nchi kama uganda ,congo,rwanda,burundi,south sudan na kenya na hizi nchi unaweza kwenda ukafanya mambo yako na kurudi mwanza at the same day.
 
Tunaipa muda haina vyanzo vya mapato kuliko pengine ni promo za makao makuu tu. Jiwe alivyopima sasa hv ni ujenzi wa miji ngoja patulie ukame uwapige tena. Kama ilitoka 75 hadi sa hiv ni 40+, maboresho ya mju yakipungua utaongelea kumi na kitu. Hakuna biashara kubwa ya mabilion pale
Unaota wewe, yaani uliwahi kuona wapi Mji ukafunguliwa fursa afu ukaacha kuvutia wawekezaji?

Sasa hapa utakuwa unawanga mchana maana wenzio huwa wanawanga usiku.

Ni hivi Dom haipoi leo wala kesho na itazidi kupanua gap na Mwanza nk na kupunguza Gap na Dar..

Tunaongea hapa Airport bado,Ring Road bado,Uwanja wa mpira bado, International convention bado,Hotel za nyota 5 zote zinazoendelea kujengwa bado,upanuzi wa barabara njia 4 kila upande bado na awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali bado nk nk..

Hivi kweli unawaza kuna siku Dom itapoa? Wakati unawaza kuna viwanda kibao vinaendelea kujengwa achilia mbali miradi mingine ya Serikali na private sector..

Huko Mwanza labda mjitahidi kile Kiwanda cha Dhahabu kiwa boost kidogo lakini unfortunately hata Dodoma kuna Kiwanda cha Dhahabu.
 
Kama unazungumzia kukatwa kwa maeneo Mwanza ndo mwanga kuliko mikoa yote.Mwanza ilipoteza migodi yote na hifadhi rubondo kwa mkoa wa geita.Pia Mwanza ilipoteza sehemu ya hifadhi ya serengeti na kijereshi na miaro ya uvuvi kwa mkoa wa Simiyu lasivyo hata hiyo Dar ingetoka jasho .Ila bado Mwanza ina muscles Dar ijipange kwa wale waliofika Mwanza hivi karibu wananielewa na sema nini.Mwanza imeisha jijenga kuwa business hub ya east and central africa ndo maana inaendelea kushine without specific kama mikoa mingine hata ukiwauliza serikali kuhusu Mwanza watakupa reason nyingi ila ukweli ni kwamba ni interaction ya nchi kama uganda ,congo,rwanda,burundi,south sudan na kenya na hizi nchi unaweza kwenda ukafanya mambo yako na kurudi mwanza at the same day.
Lini ilitoka jasho wakati wakati hayo maeneo yalipokuwepo?

Mwanza inajikongoja
 
Unaota wewe, yaani uliwahi kuona wapi Mji ukafunguliwa fursa afu ukaacha kuvutia wawekezaji?

Sasa hapa utakuwa unawanga mchana maana wenzio huwa wanawanga usiku.

Ni hivi Dom haipoi leo wala kesho na itazidi kupanua gap na Mwanza nk na kupunguza Gap na Dar..

Tunaongea hapa Airport bado,Ring Road bado,Uwanja wa mpira bado, International convention bado,Hotel za nyota 5 zote zinazoendelea kujengwa bado,upanuzi wa barabara njia 4 kila upande bado na awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali bado nk nk..

Hivi kweli unawaza kuna siku Dom itapoa? Wakati unawaza kuna viwanda kibao vinaendelea kujengwa achilia mbali miradi mingine ya Serikali na private sector..

Huko Mwanza labda mjitahidi kile Kiwanda cha Dhahabu kiwa boost kidogo lakini unfortunately hata Dodoma kuna Kiwanda cha Dhahabu.
Upumbavu mtupu, kasome uchumi uje ufute ujinga wako hapa.
 
Lini ilitoka jasho wakati wakati hayo maeneo yalipokuwepo?

Mwanza inajikongoja
Kama unaelewa maana ya statistics utanielewa nowday Mwanza ni GDP tril 11 na Dar tril 25.Sawa katafute statistics za 4years back then fanya comparison utapata jibu kwanini nasema ina rate nzuri ya ukuaji.
 
Kama unaelewa maana ya statistics utanielewa nowday Mwanza ni GDP tril 11 na Dar tril 25.Sawa katafute statistics za 4years back then fanya comparison utapata jibu kwanini nasema ina rate nzuri ya ukuaji.
Wewe ndio unatakiwa kuthibisha,hakuna kitu unaongea..

Kwa.hizo Takwimu Mwanza inaingia mara 2 na chenji juu.
 
Unaota wewe, yaani uliwahi kuona wapi Mji ukafunguliwa fursa afu ukaacha kuvutia wawekezaji?

Sasa hapa utakuwa unawanga mchana maana wenzio huwa wanawanga usiku.

Ni hivi Dom haipoi leo wala kesho na itazidi kupanua gap na Mwanza nk na kupunguza Gap na Dar..

Tunaongea hapa Airport bado,Ring Road bado,Uwanja wa mpira bado, International convention bado,Hotel za nyota 5 zote zinazoendelea kujengwa bado,upanuzi wa barabara njia 4 kila upande bado na awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali bado nk nk..

Hivi kweli unawaza kuna siku Dom itapoa? Wakati unawaza kuna viwanda kibao vinaendelea kujengwa achilia mbali miradi mingine ya Serikali na private sector..

Huko Mwanza labda mjitahidi kile Kiwanda cha Dhahabu kiwa boost kidogo lakini unfortunately hata Dodoma kuna Kiwanda cha Dhahabu.
Hvyo vyote unavyovisemea ,,, miradi kama ring road, international airport,ni miradi ambayo ni strategic Kwa majiji yote ..mwanza Yuko phase one ya ujenzi wa terminal ya kimataifa,,,ring road ya buhongwa -igoma-kayenze ipo on the way
 
Jibu hoja,taja Halmashauri 2 za kutoka Mwanza kwenye list hapo..

Ukinitajia najitoa jf
Hoja ni mkoa wa mbeya kuuzidi mkoa Mwanza, na ikatolewa sababu kuwa mkoa wa mbeya ulimegwa ndo maana hivi Sasa unalambishwa mchanga, nikamjibu jamaa nawe ndo ukadandia hoja kwa mbele na hicho kioja chako, ni kwamba haijawahi kutokea na haitatokea mbeya kuizidi Mwanza, iwe Jiji kwa Jiji au mkoa kwa mkoa.
 
Unaota wewe, yaani uliwahi kuona wapi Mji ukafunguliwa fursa afu ukaacha kuvutia wawekezaji?

Sasa hapa utakuwa unawanga mchana maana wenzio huwa wanawanga usiku.

Ni hivi Dom haipoi leo wala kesho na itazidi kupanua gap na Mwanza nk na kupunguza Gap na Dar..

Tunaongea hapa Airport bado,Ring Road bado,Uwanja wa mpira bado, International convention bado,Hotel za nyota 5 zote zinazoendelea kujengwa bado,upanuzi wa barabara njia 4 kila upande bado na awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali bado nk nk..

Hivi kweli unawaza kuna siku Dom itapoa? Wakati unawaza kuna viwanda kibao vinaendelea kujengwa achilia mbali miradi mingine ya Serikali na private sector..

Huko Mwanza labda mjitahidi kile Kiwanda cha Dhahabu kiwa boost kidogo lakini unfortunately hata Dodoma kuna Kiwanda cha Dhahabu.
Mwanza international airport ileee. Daraja la busisi litafungua mizigo kutoka kila kona hadi huko uganda. Kiufupi Dom itasubiri sana.
 
Mwanza international airport ileee. Daraja la busisi litafungua mizigo kutoka kila kona hadi huko uganda. Kiufupi Dom itasubiri sana.
Acha utani Mzee,hako ka airstrip ambako hakaishagi na juzi mkuu was mkoa anasema Sukuma gang wamepiga pesa Ndio international airport?

Hiyo ikiwa international airport na Msalato itaitwaje sasa.
 
Acha utani Mzee,hako ka airstrip ambako hakaishagi na juzi mkuu was mkoa anasema Sukuma gang wamepiga pesa Ndio international airport?

Hiyo ikiwa international airport na Msalato itaitwaje sasa.
Kwa taarifa yako Mwanza international airport ndo ina runway na air tower ndefu kuliko zote east africa.
 
Back
Top Bottom