Sikupingi...
Ila kwenda mikoa ya watu then mnaishi vikundi vya kikabila sidhani kama inaleta picha nzuri...
Kwamba kunakua na kimtaa mmejaa kabila moja tu, mnakua kama wakimbizi kwenye mikoa ya watu...
Sio vibaya ila mimi hufurahia makabila ambayo yakienda mikoa ya watu hawajitengitengi.
Cha kwanza na wewe ni mbaguzi kama sisi wabaguzi wengine lakini still una mbavu za kunyooshea wengine kidole
Kwanza umetaja "mikoa ya watu" maana yake unabagua wengine which means ni kama ukabila tu
Kununua ardhi mahali au kupata ardhi ni umauzi wa mtu na mfuko wake,huwezi pangia mtu mfuko wake
Hawa watu wanatoka vijiji vimoja huko watotakako,kama kuna ardhi wanaitana,watakuitaje wakati bado hamjafahamiana?
Kwenye vijiji wanakotoka wanaisha kabila moja,unaona sawa ila wakiamia pengine wakiishi pamoja si sawa?Hoja mufilisi kabisa
Kama upo sawa vunja kabisa na vijiji wanakotoka maana bado ni ukabila ule ule sema establishment ni miaka tofauti
Hoja yako ya hovyo sana
Na huwezi pangia watu pa kuishi,kama unapangia basi utakua mtu wa ajabu sana na kwanza hutaweza hiyo kazi ya kupangia watu pa kuishi
Sana sana watakupeleka mahakamani kwa kuvunja basic human rights za watu za kuishi watakako
Umeangalia makabila tu,jee matajiri wanaojitenga Masaki huwaoni?Wahindi wanaojitenga Posta huwaoni?Viongozi wanavyojitenga Mikocheni huwaoni?
Wanajeshi wanaojitenga huwaoni?
Masikini waliojitenga Mbagala na Uwanja wa Fisi mbona huwalalamikii utenganifu wao wanawabagua matajiri na middle class?
Middle class waliojitenga Mbezi bEach,Mbweni,Bahari BEach,etc mbona huwalalamikii?Au huo sio utenganifu?
Waojitenga kwa misingi ya kidini kama waislamu kivyao,walokole kivyao,wakristo huwaoni,etc?
Tukianza kuchambua kabila utakua umefungulia pandora box then anything goes,slippery slope hiyo.
Wee jamaa utakua na kichaa