Hahaaaa. Katika siku zote leo ndio umewaza mbali rafiki. [emoji12]Wawe makini wasijiingize kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na skendo za kijinga mana maisha ya kistaa yana changamoto sana...
[emoji125]
Hahah!!Hahaaaa. Katika siku zote leo ndio umewaza mbali rafiki. [emoji12]
Huu ndio ukweli kwa upande wangu pia. Teh teh
miss youNakazia
Huhuhuhuhu
Jukwaa la wakubwa ndo lipi hiloAtawajuaje watu wa jlw kama yeye hayupo huko ?
Ulijuaje kama kirefu cha jlw ni jukwaa la wakubwa kama wewe haupo huko.Jukwaa la wakubwa ndo lipi hilo
[emoji23][emoji23][emoji23]Huhuhuhuhu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakazia kwa nyumaNakazia
Umemsahau kiranga au al-watanUstaa umeupima vipi, any way mi Nina watu hapa huwa nawafutilia sana
Pascal Mayalla Kuna jmushi1 Sky Eclat na Evelyn Salt BAK Malcom Lumumba tindo hawa watu hawa wana mchango yao fulani kuna na wengine
Aya twedzetu home[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu siku hizi JF imevamiwa na kizazi cha instagram. Watu natafuta like na comments tuMkuu ishu sio likes ishu ni point, kuna watu wanapost uzi wa maana ila likes mbili ila mtu akipost uzi wa kijinga likes za kumiminika, likes sio kipimo cha u genius kijana, use ur common sense,
hahaaa manguli mnajuana wenyew ....huyo ambiele .simchezo .nimenyoosha mikono juu aiseeUnazungumzia majukwaa yote au baadhi.?
Siwaoni akina the bold hapo.. Wa Jf intelligence..
Na kuna jukwaa letu(Jukwaa la wakubwa) tupo na akina Ambiele Kiviele , Funza dume , fimboyaasali , Castr , Jestkilla..
Analysis yako feki nimekubali tu hapo kwa Mshana.
hahaa akili zake. zimechacha huyu ....hii ndio athari ya kushinda kwenye majukwaa ya ukudakuna watu mna tabia ya kupenda vibovu, asa list gani mbovu ivo
japo umetutaka kutoa list zetu ila iyo list yako ni mbovu sana. nenda jukwa la intelligence uone wanavyo tupia madude ya maana.
Hongera naona Bado una mature!.Nime amua kuanzisha huu Uzi kulingana na fikra zangu na muda nilio kaa humu jamii forums nimegundua kunanawatu ni mastaa
Yaani waki anzisha Uzi au kuchangia mada za MTU wana kula likes sio mchezo.
*Orodha ya mastaa wa Jamii forums*
1.@Dead body: huyu jamaa maranyingi utamkuta jukwaa LA elimu akijaribu kutoa mada kuhusu changamoto za kielimu na mambo ambayo wanafunzi Maranyingi huyapitia katika kipindi chao cha kukaa shule
2.@GENTAMYCINE:siongei sana nazani wote tunamjua kwa kuibua changamoto za kimaisha
3.@mama Sabrina:huyu mama sijui nisema Dada nae pia anajitahidi huyu anashika tuzo ya 3 kwa ustaa humu jamii forums
4.@Maxence melo:huyu anachukua tuzo japokua ni muanzilishi wa Jamii forums sema tatizo lake hua anatoa mada Mara moja kwa mwezi kulingana na makadirio yangu.
5.@Gudume LA mbegu:huyu jamaa utamkuta kwenye mada za mape**z* akijaribu kutoa mada kulingana na ubora wake
6.@mshana Jr:Siku hizi amepoa sana sijui tatizo nini
7.@bujibuji:anajitahidi kaza buti kijana
Mastaa wanaokuja kwa kasi (upcoming)
Nahuja
Mjuukuu wa chifu
Algorithm==>blog na technology tips
Sijuti===>blogging ideas
N.k
Bado wapo wengi ila hao ni top 7 kama unawajua wengine malizia hio list hapo.
Najua kuna wengine wata nitukana na kusema napoteza muda wangu kuandika gazeti kama hili lisilo na maana ila kama ni kazi nimesha zifanya hapa najaribu tu kuvuta kamda kidogo na kugawa tuzo kwa wanao stahili
Kama haupo kwenye listi usinilaumu haya ni mawazo yangu
Poleni sana kwa wale wanao andika Uzi halafu hakuna hoja yeyote Uzi wao unadoda utafikiri chakula kilicho chacha hata likes hawajawahi kupata na unakuta hakuna hata MTU yeyote anae m PM.
ule Uzi tunaserereka nao sie tu ..born hia hia .....tunaojua maana ya likehaaa haaa haaa mkuu hao haters hawawezi kuupenda ule Uzi. Ule Uzi wa wajanja
huyo mwamba ....ni genius maandishi ""Sijui kapotelea wapi huyu dada. Namkubali kinoma!