Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

Wawe makini wasijiingize kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na skendo za kijinga mana maisha ya kistaa yana changamoto sana...

[emoji125]
Hahaaaa. Katika siku zote leo ndio umewaza mbali rafiki. [emoji12]

Huu ndio ukweli kwa upande wangu pia. Teh teh
 
Mkuu ishu sio likes ishu ni point, kuna watu wanapost uzi wa maana ila likes mbili ila mtu akipost uzi wa kijinga likes za kumiminika, likes sio kipimo cha u genius kijana, use ur common sense,
Mkuu siku hizi JF imevamiwa na kizazi cha instagram. Watu natafuta like na comments tu
 
List ya watoto wenzako!

Umeacha watu muhimu kama Chief-mkwawa, Mwl Rct, Pascal Mayalla na wengineo...
 
kuna watu mna tabia ya kupenda vibovu, asa list gani mbovu ivo

japo umetutaka kutoa list zetu ila iyo list yako ni mbovu sana. nenda jukwa la intelligence uone wanavyo tupia madude ya maana.
hahaa akili zake. zimechacha huyu ....hii ndio athari ya kushinda kwenye majukwaa ya ukuda
 
Nime amua kuanzisha huu Uzi kulingana na fikra zangu na muda nilio kaa humu jamii forums nimegundua kunanawatu ni mastaa
Yaani waki anzisha Uzi au kuchangia mada za MTU wana kula likes sio mchezo.
*Orodha ya mastaa wa Jamii forums*


1.@Dead body: huyu jamaa maranyingi utamkuta jukwaa LA elimu akijaribu kutoa mada kuhusu changamoto za kielimu na mambo ambayo wanafunzi Maranyingi huyapitia katika kipindi chao cha kukaa shule


2.@GENTAMYCINE:siongei sana nazani wote tunamjua kwa kuibua changamoto za kimaisha


3.@mama Sabrina:huyu mama sijui nisema Dada nae pia anajitahidi huyu anashika tuzo ya 3 kwa ustaa humu jamii forums


4.@Maxence melo:huyu anachukua tuzo japokua ni muanzilishi wa Jamii forums sema tatizo lake hua anatoa mada Mara moja kwa mwezi kulingana na makadirio yangu.


5.@Gudume LA mbegu:huyu jamaa utamkuta kwenye mada za mape**z* akijaribu kutoa mada kulingana na ubora wake

6.@mshana Jr:Siku hizi amepoa sana sijui tatizo nini

7.@bujibuji:anajitahidi kaza buti kijana

Mastaa wanaokuja kwa kasi (upcoming)
Nahuja
Mjuukuu wa chifu
Algorithm==>blog na technology tips
Sijuti===>blogging ideas

N.k

Bado wapo wengi ila hao ni top 7 kama unawajua wengine malizia hio list hapo.
Najua kuna wengine wata nitukana na kusema napoteza muda wangu kuandika gazeti kama hili lisilo na maana ila kama ni kazi nimesha zifanya hapa najaribu tu kuvuta kamda kidogo na kugawa tuzo kwa wanao stahili
Kama haupo kwenye listi usinilaumu haya ni mawazo yangu
Poleni sana kwa wale wanao andika Uzi halafu hakuna hoja yeyote Uzi wao unadoda utafikiri chakula kilicho chacha hata likes hawajawahi kupata na unakuta hakuna hata MTU yeyote anae m PM.
Hongera naona Bado una mature!.
Mwez ujao post zinatoka
 
Back
Top Bottom