Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

Orodha ya mastaa wa JamiiForums ambao wakipost ni hatari kwa likes na kuchangiwa hoja zao

hadi the bold kaachwa,rudia tena utafiti wako
 
Like huwa napata hasa ninapoongelea NJAA niliyonayo.................!!!!! Humu JF humu ajabu sanaaa.........!!!
 
Mbona mm hujaniweka hapo me staa kuanzia jamiiforums hadi kwenye muziki angalia video yangu nipo na ( jina kapuni ) msanii mkubwa Nigeria. [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom