Uchaguzi 2020 Orodha ya matusi mazito ya Tundu Lissu kwa CCM na Mgombea

Uchaguzi 2020 Orodha ya matusi mazito ya Tundu Lissu kwa CCM na Mgombea

Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
  1. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
  2. Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano
  3. Kukosekana kwa uhuru wa kutoa maoni kulikopelekea kutungwa sheria kandamizi
  4. Kujali maendeleo ya vitu badala ya watu
  5. Kunyima vyama vya siasa uhuru wa kikatiba wa kufanya siasa
  6. Matumizi mabaya ya fedha za mifuko ya bima ya afya na hifadhi, matumizi kinyume na malengo. Zikikopwa hazirudishwi
  7. Ongezeko kuuuubwa la makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% mpaka 15%
  8. Elimu duni isiyowajenga watoto wetu kujitegemea
  9. Kutokufanyika uchunguzi wa kina wa mauaji, utekaji na kupigwa kwake risasi
  10. Mbinyo kwa vyombo vya habari
  11. Ongeza na wewe matusi mengine, mi nimeweka machache tu
Ku list tu hakutoshi, aseme yeye kama Rais mtarajiwa atafanya nini akipewa nafasi. Wao ni mafundi wa kuweka lists eg. List of shame na nyingine, hawakuonyesha solutions ndio maana pamoja na ma list yote wenzao wanapeta tu na hata oct 28 watapeta vile vile huku yeye akibaki na hayo matusi mkononi. Watanzania sio wajinga, tunajua tufanyacho.
 
Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
  1. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
  2. Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano...

Ni kweli kabisa, unaja watu wengine ukiwaambia ukweli wanakasirika.

Tunaomba utuwekee matusi ya upande wa pili ili tujue mkurugenzi anamzungumzia nani.
 
  • Kuomba wagombea urais washiriki kwenye mdahalo waelezee sera, mipango na maono yao
  • Wakulima wa Korosho na mazao mengine walipwe cash hakuna kuwakopa
  • Kangomba kuruhusiwa kununua mazao ya kilimo maana hata kahawa au chai hununuliwa na kangomba wa kimataifa kwanini kangomba wa kusini wazuiwe
  • Kudai uhuru na haki , yaani mfano wananchi kuwa na uhuru wa kulalamika, kukosoa na ya kulipwa wakibomolewa nyumba n.k
 
Ku list tu hakutoshi, aseme yeye kama Rais mtarajiwa atafanya nini akipewa nafasi. Wao ni mafundi wa kuweka lists eg. List of shame na nyingine, hawakuonyesha solutions ndio maana pamoja na ma list yote wenzao wanapeta tu na hata oct 28 watapeta vile vile huku yeye akibaki na hayo matusi mkononi. Watanzania sio wajinga, tunajua tufanyacho.
Mpaka na wewe umetukanwa!!! Dah kweli Lissu kiboko, Soma Ilani ya CDM afu hudhuria mikutano yake achakwenda kuangalia wakata viuno wa CCM. Miaka mitano yupo jukwaani bado anahitaji msaada wa wasanii? Hi ccm ni yahovyooo na haitakuja kutokea Tena.
 
Ku list tu hakutoshi, aseme yeye kama Rais mtarajiwa atafanya nini akipewa nafasi. Wao ni mafundi wa kuweka lists eg. List of shame na nyingine, hawakuonyesha solutions ndio maana pamoja na ma list yote wenzao wanapeta tu na hata oct 28 watapeta vile vile huku yeye akibaki na hayo matusi mkononi. Watanzania sio wajinga, tunajua tufanyacho.
unadhani hasemi? mfuatilie kampeni na sera za wagombea,usisubiri kuhadisiwa
 
Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
  1. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
  2. Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano...
Hakika amekosa adabu kabisa, matusi mazito namna hiyo?? Bora hata angesema Mxhenzy, materkow, kixaaa, mngeseee, faler, maninor, mbwor, fyceee, ckangeer, nakadharika nakadharika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
  1. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
  2. Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano...
Aisee hivi hadi Sasa bado Kuna watanganyika hawawezi kutambua kuwa maendeleo ya mtu binafsi, nani nani anayeyaleta??
 
Mwanzo nilisikia kuwa kuna wagombea wana kauli kalikali, sasa nasikia kuna matusi, baadae watasema nini?

Wachungaji baadhi hukemea maovu au shetani kwa sauti ya ukali kukemea.

Sasa ikitokea mgombea anakemea dhulma iliyofanyika mnataka awe kama anabembeleza?

Hivi tukiwa wa kweli nani anaongoza kwa kufoka au kauli kalikali kabla na wakati wa kampeni?

Wakubwa vumilieni wananchi wataamua katika makasha ya kura bila makeke. Hofu yenu nini na mna shuhuda nyingi za kukonga nyoyo za wapiga kura?
 
Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
  1. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
  2. Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano
  3. Kukosekana kwa uhuru wa kutoa maoni kulikopelekea kutungwa sheria kandamizi
  4. Kujali maendeleo ya vitu badala ya watu
  5. Kunyima vyama vya siasa uhuru wa kikatiba wa kufanya siasa
  6. Matumizi mabaya ya fedha za mifuko ya bima ya afya na hifadhi, matumizi kinyume na malengo. Zikikopwa hazirudishwi
  7. Ongezeko kuuuubwa la makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% mpaka 15%
  8. Elimu duni isiyowajenga watoto wetu kujitegemea
  9. Kutokufanyika uchunguzi wa kina wa mauaji, utekaji na kupigwa kwake risasi
  10. Mbinyo kwa vyombo vya habari
  11. Ongeza na wewe matusi mengine, mi nimeweka machache tu
Tusi kubwa kuliko yote: Namtaka Rais Magufuli,Msomi wa PhD,kwenye Mdahalo...
 
45. Tusi jingine kudorola mahuasiano kimataifa, leo kajibiwa mbona alichaguliwa M.kiti SADC.Sina hakika kuna uchaguzi SADC bali mzunguko kwa wanachama kila mwaka.
 
Back
Top Bottom