Uchaguzi 2020 Orodha ya matusi mazito ya Tundu Lissu kwa CCM na Mgombea

Uchaguzi 2020 Orodha ya matusi mazito ya Tundu Lissu kwa CCM na Mgombea

Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
  1. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
  2. Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano
  3. Kukosekana kwa uhuru wa kutoa maoni kulikopelekea kutungwa sheria kandamizi
  4. Kujali maendeleo ya vitu badala ya watu
  5. Kunyima vyama vya siasa uhuru wa kikatiba wa kufanya siasa
  6. Matumizi mabaya ya fedha za mifuko ya bima ya afya na hifadhi, matumizi kinyume na malengo. Zikikopwa hazirudishwi
  7. Ongezeko kuuuubwa la makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% mpaka 15%
  8. Elimu duni isiyowajenga watoto wetu kujitegemea
  9. Kutokufanyika uchunguzi wa kina wa mauaji, utekaji na kupigwa kwake risasi
  10. Mbinyo kwa vyombo vya habari
  11. Ongeza na wewe matusi mengine, mi nimeweka machache tu
Blood thirsity leader must go to hell.
 
Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
  1. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
  2. Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano
  3. Kukosekana kwa uhuru wa kutoa maoni kulikopelekea kutungwa sheria kandamizi
  4. Kujali maendeleo ya vitu badala ya watu
  5. Kunyima vyama vya siasa uhuru wa kikatiba wa kufanya siasa
  6. Matumizi mabaya ya fedha za mifuko ya bima ya afya na hifadhi, matumizi kinyume na malengo. Zikikopwa hazirudishwi
  7. Ongezeko kuuuubwa la makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% mpaka 15%
  8. Elimu duni isiyowajenga watoto wetu kujitegemea
  9. Kutokufanyika uchunguzi wa kina wa mauaji, utekaji na kupigwa kwake risasi
  10. Mbinyo kwa vyombo vya habari
  11. Ongeza na wewe matusi mengine, mi nimeweka machache tu
ccm ni MAZEZETA! MATAHIRA! Yanatapa tapa sana mwaka huu, yatazungumza kila neno lakini bado tunayaona ni mashetani tu
 
Ku list tu hakutoshi, aseme yeye kama Rais mtarajiwa atafanya nini akipewa nafasi. Wao ni mafundi wa kuweka lists eg. List of shame na nyingine, hawakuonyesha solutions ndio maana pamoja na ma list yote wenzao wanapeta tu na hata oct 28 watapeta vile vile huku yeye akibaki na hayo matusi mkononi. Watanzania sio wajinga, tunajua tufanyacho.
Twenzetu chato tukatembee kuna makumbusho wa UWANJA wa ndege inayotua ndege moja tu kwa kila mwaka

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.

“Mtu anawaambia hamtolipa kodi,halafu akimaliza anaanza kuwachangisha pesa, analeta vibakuli, vinaendana hivyo Ndugu zangu!?, Watanzania mjitambue, si angekuwa hawaombi hata nyinyi anaowahubiria, akiingia fedha zilizokusanywa watazila zote,Majuto ni Mjukuu”-JPM akiwa Kagera
 
Leo watanzania tumefinguliwa macho kwa kweli. Kumbe uwanja wa ndege chato ni ufisadi kupindukia????

Ni wakati rasmi wa kumpumzisha magufuli mwaka huu. Yaaani ananyanyasa watu kwa makesi ya kutunga na kufilisi wafanyabiashara kumbe yeye na ndugu zake wanatuibia wananchi wa kawaida mchana mweupe!!
Ushatukana tayari! Wewe sii mzalendo!!😂 Au unatumiwa na ‘mabeberu’!!!?
 
Kuwatimua wafanyakazi na kumwacha BASHITE na vyeti feki kavamia clouds. Hilo nalo ni tusi baya sana
 
ccm gani haujatumia wasanii?

Viva Magu
Heil JPM
Mpaka na wewe umetukanwa!!! Dah kweli Lissu kiboko, Soma Ilani ya CDM afu hudhuria mikutano yake achakwenda kuangalia wakata viuno wa CCM. Miaka mitano yupo jukwaani bado anahitaji msaada wa wasanii? Hi ccm ni yahovyooo na haitakuja kutokea Tena.
 
11. Mjomba rais, mpwa chief paymaster (hii ni ya leo leo kutoka pale Mbarali)

Mjomba anatoa order, mpwa analipa halafu Mtwasi/ Bageshi anajenga. Kweli Lissu ana matusi
 
kuna masheikh zaidi ya 70 Arusha wako jela sababu ya kuipinga BAKWATA, Askofu niwemugizi kaulizwa cheti cha babu yake athibitishe uraia wake, Askofu Zakaria Kakobe kanyang'anywa passport, Askofu Raymond Saba kanyang'anywa passport yake, halafu huyu eti ndo mtu anayejifanya mnyenyekevu mcha Mungu
 
Back
Top Bottom