Lissu haijawahi sema kwamba hatutalipa kodi,au wewe anaposema tax payer bill of right unaelewa kuwa anafuta kodi?“Mtu anawaambia hamtolipa kodi,halafu akimaliza anaanza kuwachangisha pesa, analeta vibakuli, vinaendana hivyo Ndugu zangu!?, Watanzania mjitambue, si angekuwa hawaombi hata nyinyi anaowahubiria, akiingia fedha zilizokusanywa watazila zote,Majuto ni Mjukuu”-JPM akiwa Kagera
Ku list tu hakutoshi, aseme yeye kama Rais mtarajiwa atafanya nini akipewa nafasi. Wao ni mafundi wa kuweka lists eg. List of shame na nyingine, hawakuonyesha solutions ndio maana pamoja na ma list yote wenzao wanapeta tu na hata oct 28 watapeta vile vile huku yeye akibaki na hayo matusi mkononi. Watanzania sio wajinga, tunajua tufanyacho.
Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.
“Mtu anawaambia hamtolipa kodi,halafu akimaliza anaanza kuwachangisha pesa, analeta vibakuli, vinaendana hivyo Ndugu zangu!?, Watanzania mjitambue, si angekuwa hawaombi hata nyinyi anaowahubiria, akiingia fedha zilizokusanywa watazila zote,Majuto ni Mjukuu”-JPM akiwa Kagera
Inaelekea hufuatulii mikutano yake,maana bila hiana anaelezea nini atakachofanya pindi atakapochaguliwa.Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.
Kama haya ndiyo matusi yanayopigiwa kelele, nampa pole nyingi anayedaiwa kutukanwa. Ukiwa ulingoni unazorushiwa na kutua usoni ingawa ni kweli zinaumiza haziitwi matusi, zinaitwa ngumi na kama huzimudu kwa nini unapanda jukwaani? Ningewashauri mashabiki badala ya kulalamika kwa kushindwa kuita koleo kwa jina lake wamtupie bingwa wao taulo...hiyo inaruhusiwa.Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
- Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
- Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano
- Kukosekana kwa uhuru wa kutoa maoni kulikopelekea kutungwa sheria kandamizi
- Kujali maendeleo ya vitu badala ya watu
- Kunyima vyama vya siasa uhuru wa kikatiba wa kufanya siasa
- Matumizi mabaya ya fedha za mifuko ya bima ya afya na hifadhi, matumizi kinyume na malengo. Zikikopwa hazirudishwi
- Ongezeko kuuuubwa la makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% mpaka 15%
- Elimu duni isiyowajenga watoto wetu kujitegemea
- Kutokufanyika uchunguzi wa kina wa mauaji, utekaji na kupigwa kwake risasi
- Mbinyo kwa vyombo vya habari
- Ongeza na wewe matusi mengine, mi nimeweka machache tu
Hatariiii !!11. Mjomba rais, mpwa chief paymaster (hii ni ya leo leo kutoka pale Mbarali)
Mkuu wewe nenda kasikilize sera za Diamond na alikiba huko.Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.
lakini matusi uneyasikia!Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.
Replies #74Kwa kweli mgombea Tundu Lissu anasikitisha sana kutoa matusi mazito kabisa na kudhalilisha wenzie. Kwa haraka haraka nimeyanyaka baadhi ya matusi yake ambayo yanalalamikiwa sana:
- Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ambao haukufuata utaratibu na haukupitishwa na bunge
- Wafanyakazi kutopata nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano
- Kukosekana kwa uhuru wa kutoa maoni kulikopelekea kutungwa sheria kandamizi
- Kujali maendeleo ya vitu badala ya watu
- Kunyima vyama vya siasa uhuru wa kikatiba wa kufanya siasa
- Matumizi mabaya ya fedha za mifuko ya bima ya afya na hifadhi, matumizi kinyume na malengo. Zikikopwa hazirudishwi
- Ongezeko kuuuubwa la makato ya Bodi ya Mikopo toka 8% mpaka 15%
- Elimu duni isiyowajenga watoto wetu kujitegemea
- Kutokufanyika uchunguzi wa kina wa mauaji, utekaji na kupigwa kwake risasi
- Mbinyo kwa vyombo vya habari
- Ongeza na wewe matusi mengine, mi nimeweka machache tu
1.5 trillion naona haigusii inabidi nayo atilie msumali, pia CAG Assad alivyofanyiwa figisu baada ya kugundua ufisadi huuIla Lissu naye apunguze matusi. Lile la 1.5 trillions mbona analisema chini chini?