Uchaguzi 2020 Orodha ya matusi mazito ya Tundu Lissu kwa CCM na Mgombea

Lissu haijawahi sema kwamba hatutalipa kodi,au wewe anaposema tax payer bill of right unaelewa kuwa anafuta kodi?
 
Mwenye kujua definition ya matusi atoke mbele kutunyambulishia maana ni kama maana ya neno matusi halieleweki na wengi
 

Kwani wewe umekwenda kwenye kampeni za wapi ambako hajasema atakacho fanya hujasikia kiwa atapeleka madaraka kwa wananchi kwa kuanzisha serikali za majimbo ili wawe na maamuzi kuhusu maendeleo yao badala ya kuwa ombaomba kuna sera nzuri na ya ukweli kama hiyo ulipe kodi halafu mtu asema hawezi kukujengea barabara sababu umechagua upinzani kukiwa na serikali za majimbo hakutakuwa na mtu wa kuamuwa akenge uwanja wa kimataifa chato badala ya kujenga Njombe ambayo ilikuwepo kwenye ilani, pamoja na mitano mingine.
 
Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.

Mbona kila siku anaeleza atakacho fanya labda wewe umasikiliza mgombea mwengine maana yeye hana media zinazomcover kama huyo ,wenzake lakini kila mkutano anaeleza sera za chama chake. Na alipohojiwa ITV pia hukusikia sera zake au utakuwa huwa unaangalia TBC ndiyo maana huwezi kusikia sera za CDM
 

Imawezekana alimsikiliza Lisu mwengine siyo yule tuliyemsikiliza wote aliyesema atafuta kodi zisizolenga kumwendeleza mfanyabiashara kama hizo za kulipia vitambulisho vya machinga na hizo za kutoza mazao barabarani.
 
Wenyewe wakisoma kichwa hapo wanakimbilia. Wakishasoma wanafunga kimya kimya bila comment!
 
Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.
Inaelekea hufuatulii mikutano yake,maana bila hiana anaelezea nini atakachofanya pindi atakapochaguliwa.
 
Kama haya ndiyo matusi yanayopigiwa kelele, nampa pole nyingi anayedaiwa kutukanwa. Ukiwa ulingoni unazorushiwa na kutua usoni ingawa ni kweli zinaumiza haziitwi matusi, zinaitwa ngumi na kama huzimudu kwa nini unapanda jukwaani? Ningewashauri mashabiki badala ya kulalamika kwa kushindwa kuita koleo kwa jina lake wamtupie bingwa wao taulo...hiyo inaruhusiwa.
 
Yeye Lissu atafanya nini akipewa nchi,watanzania mpaka sasa wanakaa kusubiri labda atatueleza siku zijazo lakini Lissu ameshindwa kabisa kutueleza.
Mkuu wewe nenda kasikilize sera za Diamond na alikiba huko.
 
Kwakweli haya yanaitwa matusi ya nguoni kabisa
 
Haahaa, pale tume makada wanaumia sana bossi wao anavyosemwa...kiujumla walipaswa kujiuzulu ili waende majukwaani kumsaidia bosi wao
 
Walivyo mshambulia Kwa Risasi 38 waliona Raha, wao ma CCM na mamluki wao maneno Tu yanawachoma kweli kweli
 
Replies #74
Likes #80[emoji1536][emoji818][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji1536][emoji818][emoji777][emoji617][emoji777][emoji617][emoji777][emoji617]
 
Mi naona Magufuli aache kumjibu Lissu...

Maana ataumbuka pakubwa.

Sasa hili tusi la jana... Mjomba...mpwa na mme mwenza ...hakuna mccm yeyote anaweza jibu.
 
Hizo hoja azijibu siyo anatufokea
 
Ila Lissu naye apunguze matusi. Lile la 1.5 trillions mbona analisema chini chini?
1.5 trillion naona haigusii inabidi nayo atilie msumali, pia CAG Assad alivyofanyiwa figisu baada ya kugundua ufisadi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…