Orodha ya Miji na Wilaya zenye mzunguko mkubwa wa Fedha na Uhakika wa Mapato

Ukirudi 2025 utakuta tofauti Sana maana saizi serikali imeongeza bajeti za barabara,maji na masuala ya Afya na Elimu.La umeme tayari kwa hiyo hakuna haja tena ya kukimbilia miji mikubwa.
 
CC = City Council na DC = District Council sasa hapo inabaki mipAka ya kiutawala
Sio kwanba sikujua tofauti ya DC na CC... tatizo sijajua mipaka ya kiutawala iko wapi... Na hiyo mbona hatuioni Dar Es Salaam? Ningependa kuona Ilala CC na Ilala DC i
 
Tuomeshwe na Ilala CC Vs Ilala DC kama ipo mipaka ya kiutawala.

Kiongozi ulidhanj nilikuwa sijui CC ni City Council?
Hii sio maudhui ya Uzi iLa ukienda kwa mkurugenzi au Meya atakupa mipaka ya Ilala CC na ukienda kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala atakupa ramani ya mipaka ya Ilala DC .

Hizo unazoona zina DC pekee inamaanisha makao makuu ya Wilaya hayajakidhi vigezo vya miji na hivyo kuwa consired as Rural areas tofauti na maeneo ya Miji, Manispaa na Majiji(TC,MC na CC) .

Kuna Wilaya yaani DC mfano Mimba DC ina makao makuu ya Wilaya sehemu fulani ni kamji kadogo lakini ndani ya Wilaya husika kuna Mji mkubwa ambao ni Tunduma TC,,hapo Mkuu wa Wilaya ya Momba anaongoza Halmashauri 2 nk.

Pia utashangaa zaidi maana kuna Mkoa ambao makao makuu ya mkoa hayana hadhi ya Mji,Manispaa wala Jiji ni just Mji mdogo kama Mkoa wa Songwe ambao makao makuu yake yako kwenye Mji mdogo unaitwa Vwawa ambao ni makao makuu ya Wilaya ya Mbozi yaani Mbozi DC.
 
Asprin says thank you Opportunity Cost for this useful post
 
Mzunguko wa fedha mbeya kuwa mzuri ni changizo kubwa la kuwa center ya mpaka wa nchi mbili na lango la nchi hizo
Siyo chini ya serikali hii ya kipumbavu.
wanashindwa hata kuendeleza miundombinu tu ya jiji kwa sababu za kibaguzi na kisiasa.
 

Mr Opportunity vipi Makambako haipo mbele ya Njombe?
Vipi takwim za kila mkoa zikoje?
Yaani miji kama Tarime, Korogwe,Namanga, Tabora, Kigoma, Iringa haina kitu? Takwim hizi mmmmh
 
Mr Opportunity vipi Makambako haipo mbele ya Njombe?
Vipi takwim za kila mkoa zikoje?
Yaani miji kama Tarime, Korogwe,Namanga, Tabora, Kigoma, Iringa haina kitu? Takwim hizi mmmmh
Kale kamji ka Makambako na hiyo miji mingine ni Utopolo towns as usual..ni maarufu kwa uchuuzi usio na tija kulinganisha na maeneo yenye shughuli rasmi za maana.

Makambako TC ni aibu tupu yaani wali collect only 2.62 bln na inaaibisha Mkoa wetu ,jina kubwa lakini hamna kitu.
 
Kwahiyo wilaya yangu pendwa ya musoma mjini aipo[emoji23] hakika kumbe nilikuwa sahihi kuikimbia hiyo wilaya kama mpaka tumezidiwa na wilaya ya mwenda zake bac hatuna maana yoyote

Nashangaa sana kuna machimbo ya Lwabasi, Buhemba, kinyambwiga na maeneo mengine ukienda ofisi ya madini mapato yanayokusanywa pale si mchezo eti Musoma haipo wajita wakwaya nimewagwaya
 
Nashangaa sana kuna machimbo ya Lwabasi, Buhemba, kinyambwiga na maeneo mengine ukienda ofisi ya madini mapato yanayokusanywa pale si mchezo eti Musoma haipo wajita wakwaya nimewagwaya
Madini sio chanzo cha Halmashauri bali wizara husika ndio inatoa leseni na kuratibu shughuli zote za Madini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…