Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Heading isomeke " Orodha ya mikoa yenye wife material"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia....teta nao wanaoteta nasi...🤣🤣🤣🤣🤣Eehhh baba simama nasi.....
Namna 6 ondo ubwa weee!1.Simiyu
2.Geita
3.Shinyanga
4.Mwanza
5.Mbeya
6.Iringa
7.Njombe
8.Ruvuma
9.Lindi
10.Mtwara
11.Manyara
12.Singida
13.Rukwa.
14.Songwe
15.Dodoma
Mkuu, umesahau Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Kagera, Kigoma, Rukwa, na Katavi.....yaani hawa (hii mikoa) kwa ushamba ni noma.1.Simiyu
2.Geita
3.Shinyanga
4.Mwanza
5.Mbeya
6.Iringa
7.Njombe
8.Ruvuma
9.Lindi
10.Mtwara
11.Manyara
12.Singida
13.Rukwa.
14.Songwe
15.Dodoma
Nakubali Wakunyumba hawana shido.No 8 itoe hapo, wakuja huwa wanalewa na kunogewa mavituzi ya wadada hawa had huwa wanasahau kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiii?
Mtoa mada ni mshamba1.Simiyu
2.Geita
3.Shinyanga
4.Mwanza
5.Mbeya
6.Iringa
7.Njombe
8.Ruvuma
9.Lindi
10.Mtwara
11.Manyara
12.Singida
13.Rukwa.
14.Songwe
15.Dodoma
Haijawahi kuwepo mchagga mshamba.mtoa mada fala hivi anawajua vishoia😂😂
Kuna wale hutongozi, wandamba.ko waluguru na wapogoro ni wajanja😂😂
nimechekaKuna wale hutongozi, wandamba.
Akikukataa mndamba jiondoe mwenyewe FB.
woi vishoia wakubwa nyie😂😂😂Haijawahi kuwepo mchagga mshamba.
Nimeshangaa sana pia😂😂hakunaga mwaisa mshamba
Umetumia vigezo gani kufanya vetting?1.Simiyu
2.Geita
3.Shinyanga
4.Mwanza
5.Mbeya
6.Iringa
7.Njombe
8.Ruvuma
9.Lindi
10.Mtwara
11.Manyara
12.Singida
13.Rukwa.
14.Songwe
15.Dodoma
😂😂😂lazima utetee ila moyoni unajua kama wachaga mna ushamba tena kishumundu, kibosho, umbwe, sijui old mosh kilua 😂 afadhali kdogo wamarangu na wamachameHaijawahi kuwepo mchagga mshamba.
Au sindio😂😂😂lazima utetee ila moyoni unajua kama wachaga mna ushamba tena kishumundu, kibosho, umbwe, sijui old mosh kilua 😂 afadhali kdogo wamarangu na wamachame
Ndo hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ko waluguru na wapogoro ni wajanja[emoji23][emoji23]
Wakunyumbaa wana balaa lao mjiniii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakubali Wakunyumba hawana shido.