Orodha ya nadharia zenye utata duniani (conspiracies)

I agree with you 100% plus moon is plasma..!
 
World map fake kivip boss......bahelezeeee
 
New world order...

Mathanzua
 
Conspiracy theorist....
 
Duh, utakuwa mjinga wa mwisho kama ukiamini huu uongo.
Kilicho wazi ni kwamba FBI na CIA hawakushirikiana na ndio maana tukio lilitokea, wote walikuwa na taarifa flaniflani nusunusu. 9/11 walitengeneza wenyewe ili kuanza biashara kubwa ya silaha kwa mgongo wa 'vita dhidi ya ugaidi'

USA ni mabingwa wa 'kujitekekenya na kucheka wenyewe'

ni pearl harbor tu ndipo walipoguswa na wakamaliza kabisa mzozo na dunia ikatulia!
 
Umechanganya..kuna vitu umeviweka hapo siyo nadharia..mfano Meditation na Yoga..hivi vipo kwa uhalisia wake na watu wanavifanya..
But still conspiracy maana kuhusu yoga kuna wqtu wanadai ni ushirikina wengine wanadai sio ushirikina km ilivo magic mushroom so still debate hakuna majibu ya moja kwa moja inabase on belief ya mtu
 
Ungeweka na maelezo utata unaupata wapi ingependeza.
Siyo kila moja anaweza kuilezea, ni muda wako wewe wa kwenda kutafuta maana zake library mkuu, watoto wa miaka hii tunapenda kutafuniwa kila kitu.

We like Spoon Feeding.......which is bullshit....
 
Siyo kila moja anaweza kuilezea, ni muda wako wewe wa kwenda kutafuta maana zake library mkuu, watoto wa miaka hii tunapenda kutafuniwa kila kitu.

We like Spoon Feeding.......which is bullshit....
Nazani hujanielewa mkuu nini nimemaanisha,, lakini siyo lazima pia aelezee kwa sababu kwa upande wangu nazielewa vizuri tu.
 
[emoji117] The Flat earth Reality
[emoji117] Solar system is scam
[emoji117] Space is fake
[emoji117] Planets are fake...
Mzee umeongea vingi sana,ingekuwa poa ungeanzisha hata uzi tujadili.

Ya dunia kuwa flat ndo naielewa zaidi,
 
Inasadikika namba 13 sio ya bahati na baadhi inasadikika magorofa makubwa duniani lift zake hazina namba 13 inasadikika ni namba ya mkosi
Hadi Hotel rooms
 
Inasadikika namba 13 sio ya bahati na baadhi inasadikika magorofa makubwa duniani lift zake hazina namba 13 inasadikika ni namba ya mkosi
Yeah, inasemekana hivyo kulingana na believes tofauti tofauti lakini kwa upande mwingine wa Numerology namba 13 (1+3)=4 inasemekana ni namba nzuri na yenye maana sana.

Ukiweza tupia pdf hizo mkuu tukifunze zaidi.
 
Lile bara ni utalii tu ....hakuna maisha ya kudumu na kuna theory zinaonyesha ile ni ice berg ilioganda so kwa mantic hio sio salama kwa makazi
Ndio maana nimekuambia sio permanent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…