Sadist, to be more precise 😀 ."Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO."
Hij sasa ndo perfect villain mentality 🤣
Vituko 😅😅😅Tukisema tufanye hivi upupu utaisha huko porini... Kwenye suala la mafuta ya moto chupa ya chai haiwezi kuhimili kukaa na mafuta yaliyochemka hata dakika 3 .
Hii ya body spray itakua haipo sawa sababu hata wewe utalala pamoja na waizi alafu majirani wakija wataona lenu moja 🤣🤣
Mhasibu nina swaliHiyo namba 3 ndio nzuri. Maana utachemsha mafuta weee, siku umeacha ndio wahuni wanaingia
KaribuMhasibu nina swali
Mkeo hajambo?Karibu
SinayeMkeo hajambo?
Mbona ulifungua uzi 2015, au ulipigwa tukio?Sinaye
Niliona nikapuuza. miaka 10 nyuma, consider the time factor. watu hufariki, watu huachanaMbona ulifungua uzi 2015, au ulipigwa tukio?
Hujawahi ibiwa wewe. Na mimi nilikuwaga nawaza kama weweSadist, to be more precise 😀 .
Jamaa anaweza hata mchuna mtu ngozi akiwa hai.
Kwahiyo alifariki au mliachana😜Niliona nikapuuza. miaka 10 nyuma, consider the time factor. watu hufariki, watu huachana
Trust me, nipo na wewe. Mwizi sio wa kuonea huruma.Hujawahi ibiwa wewe. Na mimi nilikuwaga nawaza kama wewe
Sioni ulazima wa kusemaKwahiyo alifariki au mliachana😜
Waizi wanao dokoa uswahilini hawanaga mguu wa kukuUkute wenyewe wana Mguu wa kuku
Sijui kama huo upupu utauona zaidi ya kuingia kwenye uvungu wa meza na ukaenea
PamojaTrust me, nipo na wewe. Mwizi sio wa kuonea huruma.
Hizo mbegu zinapatikana wapi?Njia rahisi sana tafuta mbegu za mint au AJWAIN panda hakuna mwizi wala mchawi sijui mwanga wala gagula atakae sogea kwako! Iwe mchana au Usiku
Sawa mhasibuSioni ulazima wa kusema
Asante pia. How is your weekendSawa mhasibu
Weekend imekua mbaya, nimekutana na nyoka kibarazani hapa sina hata amani.Asante pia. How is your weekend
Yaani kwa mwaka anachemsha mafuta mara 366.unaona ni rahisi kuchemsha mafuta kila siku? hii kazi isiokua na mshahara ya nn mwsho wezi hawaji unaishia kukaangia maandazi.